Hizo ni hadithi za uongo za watesi wetu ili tuendelee kubweteka kwa kuamini kuwa tumelaaniwa
Naunga mkono hojaHakuna uhusiano wa umaskini wa Afrika na mambo ya kiroho.
Umaskini wa Afrika unasababishwa na ujinga na upumbavu wa waafrika.
Kuna Rais aliulizwa kwa nini Tanzania ni maskini akajibu hata yeye hajuiJe mwafrika ni kizazi cha nani? Mtu anaechukiwa na kudharauliwa na kila aina ya mtu hapa duniani. Mtu aliekuwa mtumwa wa kila aina ya mtu duniani.
Au sisi ni nzao ya Ham?, mwana alieona uchi wa baba yake (noah), akacheka, then noah akamlaani na kumwambia atakuwa mtumwa wa wenzio
Gusa vyote katika mwafrika ila lakini hawezi tick kwenye vibox vya high IQs, U-Genius, Innovation na kutumia akili zaidi ya nguvu.
Ni ipi asili yetu? Je akili pana haikuwa hatma yetu basi nguvu ndio ikawa mtaji ndio maana tukatumika kufanya kazi kitumwa katika mashamba yao na leo kulipwa katika michezo kwa kuwa tuko more athletic (kasi, nguvu)
Au matokeo haya ni kuwa hatuku wekeza katika ubunifu wa fikra zetu ila tukazidi kudumisha jadi zetu? Kwa hio kusini mwa jangwa la sahara jamii zote za kiafrika ziliamua kuwa hivi, mmmmh?!!
Au dunia ya kisasa sio asili yetu ndio maana inatuacha nyuma? Kwamba dunia ya sasa sio ridhiki yetu kwa kuwa kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo kwa kuishi kulingana uwezo wetu wa kifikra na kinguvu?
View attachment 3232878
Wacha kuchanganya hoja, nina uhakika unaelewa hoja ya mleta mada japo unajitia unafiki.
Weusi tuna laana, IQ zetu ni low.
Juzi nilikua naangalia majengo ya Warumi miaka 2,000 iliyopita, walikua na majengo mazuri kuzidi ya kwetu leo, ulinganishe maghorofa ya mjini aliyojenga mzungu hapa Afrika, linganisha na nyumba za Kiafrika za leo
Jenga choo cha kisasa kiwe na maji ya kutosha muda wote ila kisiwe na muhudumu eneo la watu wengi km sokoni au stend njoo baada ya wiki mbili utakuta hakifai kwa matumizi....sasa watu ambao hawawezi kutumia choo vizuri watawezaje kutumia maliasili walizojaliwa kuendeleaHakuna uhusiano wa umaskini wa Afrika na mambo ya kiroho.
Umaskini wa Afrika unasababishwa na ujinga na upumbavu wa waafrika.
Upumbavu na Ujinga wa Muafrika ,ulisababishwa na niniHakuna uhusiano wa umaskini wa Afrika na mambo ya kiroho.
Umaskini wa Afrika unasababishwa na ujinga na upumbavu wa waafrika.
Ujinga hausababishwi.Upumbavu na Ujinga wa Muafrika ,ulisababishwa na nini