Kwanini Afrika tusichimbe mfereji hadi Israel na Uarabuni kuwauzia maji?

Kwanini Afrika tusichimbe mfereji hadi Israel na Uarabuni kuwauzia maji?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee

Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.

Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.

Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?

Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
 
Huko ulipopaita Uarabuni hawana shida ya maji,wanatumia maji ya Baharini,wanayasafisha kwa kutumia mitambo maalum ili kutoa chumvi,hata Israel ni hivyo hivyo,

Uarabuni huwezi kukuta maji yamekatika,hapa nazungumzia nchi za Gulf,pamoja na Israel.
 
Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee

Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.

Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.

Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?

Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
Ni wazo zuri aisee,
Ngoja tumsikilizie na Infantry Soldier anasemaje kuhusu hili swala.
 
Halafu tunahubirwa eti zimebarikiwa kweli halafu sisi tulilaaniw.
Unalaniwa kisha unapewa ardhi nzuri yenye rutuba mito, maziwa bahari, madini, gesi, mafuta nk.
Waafrika tijitafakari, ujimga mwingine tuwe tunaukataa hata kama umeandikwa.
 
Halafu tunahubirwa eti zimebarikiwa kweli halafu sisi tulilaaniw.
Unalaniwa kisha unapewa ardhi nzuri yenye rutuba mito, maziwa bahari, madini, gesi, mafuta nk.
Waafrika tijitafakari, ujimga mwingine tuwe tunaukataa hata kama umeandikwa.

Tulikaaniwa kichwani mkuu!! Ndyo maana mwanza maji ya shida wakat kuna ziwa victoria

Singida kuna shida ya maji wakat karibu na ziwa tanganyika n victoria

Dodoma hivo hivo
Tuna madini viwanda vipo kwa wazungu

Unaona akili zetu ziko sawa kweli??
Ebu niambie hapo??

Tunaambiwa ili tupewe msaada na world bank na IMF lazma tuue au tubinafsishe viwanda nass tunakubal kumbe n statergy za ku deindustrialize nch tunasema ndyo hyo n akili

S tunalaaana KICHWANI
 
Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee

Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.

Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.

Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?

Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana

Project kama hii haitawezekana mpaka tuache kuamini manabii na waganga feki walioko kila upande
 
Kwahiyo bomba la mafuta mfano TAZAMA unaweza kujichotea tu hapo njiani kijijini kwenu?
Mbongo bhana ivi huwa unafikiria kutumia makamasi.. bomba la mafuta na mfereji vinaingiliana vipi
 
Aisee hapa kijijini kwangu maji tunadamka SAA 9 usiku kuwahi...na kurudi SAA 5 asubuh na ndoo moja ya maji...halafu tuwauzie waarabu maji daaaah
Nyie nao ni wapumbuvu why? Msijenge nyumba zenu karibu na humo mnakofata maji mnajenga mbali kisha mnaenda kuyafata.
 
Back
Top Bottom