Kwanini Afrika tusichimbe mfereji hadi Israel na Uarabuni kuwauzia maji?

Kwanini Afrika tusichimbe mfereji hadi Israel na Uarabuni kuwauzia maji?

Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee

Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.

Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.

Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?

Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
Hapa tulips TU maji Shia ,tumeshindwa wasamvazia wananchi wetu I we kuyapeleka Uarabuni?
 
Huko
Nyie nao ni wapumbuvu why? Msijenge nyumba zenu karibu na humo mnakofata maji mnajenga mbali kisha mnaenda kuyafata.
Yanapopatikana maji mkuu hapafai kuishi raia kuna MAJOKA na MIJOKA ya kufa mtu halafu HAKUNA huduma muhimu zaidi ya hayo Maji
 
Kwani gharama yankusafisha maji ya baharini na gharama ya kuchimba huo mfereji ziko ==
 
Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee

Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.

Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.

Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?

Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
ฤฐsrai wana badili maji ya Bahari kuwa ya matumizi, hawana shida ya maji wale,
 
Inawezekana, ila tutaingia kwenye migogoro ya kimataifa...
 
Sisi pamoja na vyanzo vyote vya maji ila bado kina mama wanatembea maili kadhaa kutafuta maji

Hao uliowataja wana maji mengi tu ya kuwatosha
Jordan nimekaa Amman miezi 2 na kwingine kote Middle East nimekaa sana na wana Aquifer sehemu nyingi na kupatikana maji masafi

Tupambane kuwachimbia watu wetu maji ya uhakika kwanza
 
Ukiwa na STRESS wewe ingia tu JF STRESS zote zinakwisha kwa kucheka na siku inasonga mbele kwa kusoma kila aina ya topics zingine zinafikirisha zingine zina chekesha nk.
 
Back
Top Bottom