Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Akili zingine!๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tulips TU maji Shia ,tumeshindwa wasamvazia wananchi wetu I we kuyapeleka Uarabuni?Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee
Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.
Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.
Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?
Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
Hahah daah.Hafu utakuta kuna mtu anamuita Baba uyu jamaa.
Yanapopatikana maji mkuu hapafai kuishi raia kuna MAJOKA na MIJOKA ya kufa mtu halafu HAKUNA huduma muhimu zaidi ya hayo MajiNyie nao ni wapumbuvu why? Msijenge nyumba zenu karibu na humo mnakofata maji mnajenga mbali kisha mnaenda kuyafata.
ฤฐsrai wana badili maji ya Bahari kuwa ya matumizi, hawana shida ya maji wale,Nilikua naangalia nchi kama Jordan walivyo na changamoto ya maji yaani maji ni shida aisee
Nikaangalia na Israel si haba wanajitahidi japo changamoto, nchi nyingi za kiarabu wana shida ya maji kinoma nachomaanisha hawana vyanzo vya uhakika vya maji.
Africa mito mingi huishia baharini tu yaani maji yanapotea bure tu.
Kwanini tusiwauzie hao watu maji wawe wanalipia bili tunaingiza mabilioni ya pesa?
Ni jambo linalowezekana kabisa....tungeingiza pesa ndefu sana
Hapana nafikiria ni nchi kavuKwamba wewe ukisikia mfereji unajua ni mtaro..!!