Kwanini ajali nyingi zinazotokea mataa Mbezi Beach huwa zinaua tu Vijana walioanza kufanikiwa kimaisha na kiutajiri?

My experience as hiyo ni njia yangu! Watu wengi wanaopata ajali eneo hilo huwa wamekunywa na pia ajali nyingi huwa late night.
Ntakupa mfano: last week jumamos going to jumapili nilikuwa na flight ya mwanza ya saa kumi na moja asubuh… nilitoka home saa 9 tulipofika hapo njia panda ya tank bovu tulikuta ajali ya fuso na paso ya silver, too bad wa kwenye paso alikuwa anasalimiana na Bwana Yesu ( mliopita hapo mida hiyo nadhani mliona ajali husika) As usual chanzo cha ajali was ulevi!
 
Noma Sana jamaa tumemuaga majuz hapo mbez beach Mungu ampe pumziko jema E ...Yule wife sio kidemu mkuu
 
Daaaah mwamba umeua aisee
Brother kama tuna magari na tunapenda starehe,show off kwamba nadrive nalo ni janga linalouwa vijana wengi.
Ni bora kumhire dereva akuendeshe hadi nyumbani na umkodie boda asepe zake home yake.
 
Sure.

Kipande ambacho kimekula roho za watu wengi ( si madereva wa malori, baiskeli, pikipiki, bajaji, gari ndogo, Watembea kwa miguu nk.) bila kujali usiku au mchana ni kwenye sehemu ya karibu na ZEBRA ya kuingia mabibo hostel.

Na nyingi zinahusisha kutoka ubongo.
 
Mshana Jr pandisha ule uzi wako wa 2014 wa Jems mtoto wa Dando.

The same area more and more wasanii na vijana wengi wameishia pale.

Ni eneo korofi, au halipendi pombe au pana yao waliyoweka
Mtoto wa Dando alipatia ajali kijitonyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…