Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.Nimejiuliza swali hilo kila mara.
Nini kinasababisha Aluminium furnitures kuwa ghali sana.
My observation ni kuwa they are not labour intensive...ni kata unganisha kirahisi and all is done!
Au. Material yanyewe ndiyo ghali?
Weka madirisha tu ya mbao MkuuWanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.
Ili iweje?Weka madirisha tu ya mbao Mkuu
Mkuu si kweli kwamba dirisha linalouzwa 230000 material yake 50000 ingekuwa hivyo basi mafundi wangekuwa matajiri sana.Wanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.
Madirisha ya mbao ni ghali kuliko aluminum.Weka madirisha tu ya mbao Mkuu
Mbao zipi mninga au???Weka madirisha tu ya mbao Mkuu
Sio kweli ndenda kwenye madirisha na milango ya vioo.Wanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.
aluminum ni cheap kuliko mbao hasa madirisha. Ukiweka madirisha ya mbao kwa mfano mninga itakuwa ghali zaidi ya aluminum. Labda upvc ndiyo inaweza kuwa ghali zaidi na sijui kwanini materials zake ni ghali wakati ni maplastic fulaniKitu kinachochimbwa mamia ya mita chini ya ardhi, ukakiyeyushe, tutengeneze umbo lake ni lazima kiwe ghali kuliko mbao ambazo zipo juu ya ardhi na uandaaji wake ni wa haraka
Hizo mbao zenyewe unaensa huko vijijini kumejaa miti lakini Mlango unaambiwa bei laki 2 na 50. Sasa si bora Aluminium laki 3 na 50 unachapa. Hamsumbuani usafirina mlango una shineKitu kinachochimbwa mamia ya mita chini ya ardhi, ukakiyeyushe, tutengeneze umbo lake ni lazima kiwe ghali kuliko mbao ambazo zipo juu ya ardhi na uandaaji wake ni wa haraka
Mmh.....haya ndio yale ya kufayatua Tofali mwenyewe kwa kuogopa kununua. Unaokoa kidogo sana na unapoteza muda mwingiSababu ni ujinga wa walaji au ujinga wa wateja ndio maana mafundi wanatumia fursa hiyo kuwapiga bei kubwa wateja. Kama una mradi wako wa aluminum furniture zama sokoni mwenyewe angalia bei za material ya aluminium na vioo kwa bei ya jumla na uvinunue kutokana na mahitaji kwa kumtumia mtaalamu unamlipa kidogo halafu tafuta fundi yeye kazi yake ni kutengeneza tu.
Kwa kutumia kijijini mbao ni cheap sasa leta huku mjini uoneHizo mbao zenyewe unaensa huko vijijini kumejaa miti lakini Mlango unaambiwa bei laki 2 na 50. Sasa si bora Aluminium laki 3 na 50 unachapa. Hamsumbuani usafirina mlango una shine
Rahisi sana mafundi wanajiona profishenal sanaNimejiuliza swali hilo kila mara.
Nini kinasababisha Aluminium furnitures kuwa ghali sana.
My observation ni kuwa they are not labour intensive...ni kata unganisha kirahisi and all is done!
Au. Material yanyewe ndiyo ghali?
Hizo material zinaagizwa kutoka Ulaya na China, kodi kibao.aluminum ni cheap kuliko mbao hasa madirisha. Ukiweka madirisha ya mbao kwa mfano mninga itakuwa ghali zaidi ya aluminum. Labda upvc ndiyo inaweza kuwa ghali zaidi na sijui kwanini materials zake ni ghali wakati ni maplastic fulani
Hata huko huko vijijini bado kwa maisha yao ni ghali mnoKwa kutumia kijijini mbao ni cheap sasa leta huku mjini uone
Ova
Si kweli watu mnaongea tu. Kutengeneza dirisha la aluminum unahitaji materials hizi: cill, jam, mosquito, lock, rollers, rubber ya vioo, ruber ya wavu wa mosquito, kioo, mosquito net, rivert, screws.Rahisi sana mafundi wanajiona profishenal sana
Milango ya bafuni na vyooni inatakiwa kuwa na vipimo gani ili iwe migumu kuharibikaMkuu si kweli kwamba dirisha linalouzwa 230000 material yake 50000 ingekuwa hivyo basi mafundi wangekuwa matajiri sana.
Nimefanya hii biashara naijua tena kipindi hicho square meter tulikuwa tunapiga 150000 na material zilikuwa cheap zaidi ya sasa lakini bado isingewezekana dirisha la 230000 material kuwa 50000.