hhaway
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 326
- 422
Si kweli material ni gharama sanaWanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli material ni gharama sanaWanasema dirisha linalouzwa 230,000 materials zake zinagharimu kama 50,000 tu au pungufu. Ni upigaji na kwasababu bei iliokuwepo imezoeleka na kukubalika.
hizo mbao unazozingumzia hazina ubora wa kutengenezea frame za milango wala madirisha ukiweka tu mchwa wanautafuna dakika tu, miti pori ndio inaaminika kwa ubora wa faniture,sasa upatikaji wake ni wagharama ya juu sana kwa miaka hii ,over.Facts zinaonyesha kuwa maeneo mengi ya baridi hapa nchini ndipo mbao pia huzalishwa. Yaani miti hustawi sana maeneo hayo.
Huko mbao Huwa bei SAWA na Bure mkuu.
Hili neno linatumika sana kwa aluminium dealers. Lina maana gani?profile
Ni yale machuma yanayotengeneza madirisha mkuu ndo yanaitwa profiles ambapo kwa aliminum kuna cill jam, mosquito na nyngne moja nmesahau. Niko nje ya game muda vitu nasahauHili neno linatumika sana kwa aluminium dealers. Lina maana gani?