Kwanini Aluminium furnitures ni ghali sana?

Kwanini Aluminium furnitures ni ghali sana?

Mkuu si kweli kwamba dirisha linalouzwa 230000 material yake 50000 ingekuwa hivyo basi mafundi wangekuwa matajiri sana.
Nimefanya hii biashara naijua tena kipindi hicho square meter tulikuwa tunapiga 150000 na material zilikuwa cheap zaidi ya sasa lakini bado isingewezekana dirisha la 230000 material kuwa 50000.
hapa nilipo wanafanya 120,000 per sq m
 
Kitu kinachochimbwa mamia ya mita chini ya ardhi, ukakiyeyushe, utengeneze umbo lake ni lazima kiwe ghali kuliko mbao ambazo zipo juu ya ardhi na uandaaji wake ni wa haraka
That is very correct. The value of labour that is embedded in recovering that material from the earth!
 
aluminum ni cheap kuliko mbao hasa madirisha. Ukiweka madirisha ya mbao kwa mfano mninga itakuwa ghali zaidi ya aluminum. Labda upvc ndiyo inaweza kuwa ghali zaidi na sijui kwanini materials zake ni ghali wakati ni maplastic fulani
PVC ni cheap, nilikuwa kwa fundi akasema nikutengenezee ya PVC at 120,000-150,000...nikasema I want aluminium
 
Mkuu nimefanya hii biashara 2016 mpaka 2019 nilikuwa na workshop nilimwachia ndugu yangu. Lazima upige hesabu tu kwa sababu kila cm inahusika kwenye mataerial. Na dirisha unaloambiwa 6 kwa 6 haijawahi kutokea ukalikuta ni 6 kwa 6. Nimekuweka vipimo ili upige mwenyewe chukulia mfano dirisha la 5x6 ft ndipo utajua kuwa faida haikokama unavyowaza.
Yes, ukinunua material ukamlipa fundi labor charge una save lakini hii ni kama una madirisha mengi.
Mkuu wewe unaamini kabisa dirisha la 250000, fundi anachukua 200000 yote? Mafundi aluminum wangekuwa matajiri sana
lot of logic
 
DIRISHA LA FUTI 6X5 NI 3200,000 TSH
MLANGO WA 240X 244 CM NI 800,000 TSH AND ABOVE EXCLUSIVE VAT!
Naona vitu vimepanda kuanzia mwezi wa 8 mwaka jana...Hapa kuna fundi Gypsum anataka mil 1.5 kwa nyumba ndogo sana ya vyumba vitatu ,bila ya skimming.
 
Nimejiuliza swali hilo kila mara.
Nini kinasababisha Aluminium furnitures kuwa ghali sana.
My observation ni kuwa they are not labour intensive...ni kata unganisha kirahisi and all is done!
Au. Material yanyewe ndiyo ghali?
Mimi pia hili suala huwa sijawahi kulielewa, sehemu nyingi duniani furnitures za aluminium ni bei rahisi!
 
Mimi pia hili suala huwa sijawahi kulielewa, sehemu nyingi duniani furnitures za aluminium ni bei rahisi!
Zile profiles na vioo ndo expensive. Kutengeneza aluminium hata dirisha 15 kama vijana watano siku mbili umemaliza. maana nikukata kuunganisha kwa rivert na angle na screws. Sema profiles zinapanda bei kila uchwao. Hivyo si kwamba mafundi wanawapiga bei, ila profiles ndizo bei japokuwa mafundi wana tabia ya kuongeza sqm kama mtu hajui au kama ukitaka nunua materials anaziongeza, kama hutosimamia anazirudisha dukani na hakuna kitu rahisi kuuza kama vifaa vya aluminum hata kama ni kipande kimebaki kinauzika.
 
Mkuu si kweli kwamba dirisha linalouzwa 230000 material yake 50000 ingekuwa hivyo basi mafundi wangekuwa matajiri sana.
Nimefanya hii biashara naijua tena kipindi hicho square meter tulikuwa tunapiga 150000 na material zilikuwa cheap zaidi ya sasa lakini bado isingewezekana dirisha la 230000 material kuwa 50000.
Hiyo Square meter uliyokuwa unapiga wateja 150,000 ulikuwa unainunua kwa shilingi ngapi?
 
Kabisa mkuu kipindi hicho tulikuwa tunanunua mosquito sijui 8000, cill na jam kitu kama 28000, kioo 5mm kati 54000 hadi 72000 na bado mteja tunamlima sqm 150000 hadi 180000.
Na mteja unamlopokea tu labour wakati ule wateja walikuwa hawajui na hawafatilii mambo ya vipimo
Ila sahv mteja kama RRONDO anakuambia nipe quatation
😄 vipimo vyote huku bei za vyuma nk anazichujuwa zote 😄

Ova
 
Mkuu watu wanasema tu. Kuna mwingine anasema eti fundi alimwambia dirisha la upvc 6x6 ni 350000 akaamua kununua material fundi aje atengenezee kwake likagharimu 240000.
Eti fundi alikuja na bench na glinder. Sasa nmemuuliza ana uhakika ameweka upvc kweli Maana upvc inaungwa kwa mashine maalum ambayo bila shaka fundi hawezi kuja nayo site. Na hakuna fundi anayeweza kukwambia upvc 6x6 ni 350000 maana hiyo ni cheap sana sawa na bei ya aluminum.
Nimemwambia basi alitenda miujiza kama mwamposa.
Pamoja na posts zako za kupinga bei wanazosema watu na kusema wewe umefanya hio biashara ila unashindwa kusema gharamaa za dirisha moja ni kiasi gani. Hata kama ulifanya 2016 huko kama ulikuwa na hii biashara utakuwa unajua cost yake kwa dirisha moja ila sijaona popote ukisema bei ni hii.
 
Hiyo Square meter uliyokuwa unapiga wateja 150,000 ulikuwa unainunua kwa shilingi ngapi?
Yani ni kama vile fundi ujenzi anavyokwambia kuwa kujenga ghorofa, piga kila sqm 1 ni laki 5. Hapo inamaana akifanya hivyo hatakula hasara akinunua tofali, cement, mchanga, mabati, tiles, rangi na takataka zote. Hivyo aluminum kipindi hicho faida ilikuwa kubwa mafundi ilikuwa sqm 150000 na mtu akikomaa unaishusha hadi hata 130000.
Nakumbuka ukipata kazi kubwa unaenda nunua sheet za vioo kwa waturuki, bado wafanyakazi wao wanakuuzia sheet labda 3 ndizo unalipia ofisini halafu sheet 6 wanakuibia badala ya 72000 unainunua 45000. Ila jamani wabongo wizi uko damuni mwetu.
 
Na mteja unamlopokea tu labour wakati ule wateja walikuwa hawajui na hawafatilii mambo ya vipimo
Ila sahv mteja kama RRONDO anakuambia nipe quatation
😄 vipimo vyote huku bei za vyuma nk anazichujuwa zote 😄

Ova
Hawa wajanja wajanja. Haya madirisha hayana bei kihivyo huwa nalipia 230,000 iwe 5*6 iwe 6*6 hawakatai na madirisha ya vyoo au stood anakufanyia bure.
 
Pamoja na posts zako za kupinga bei wanazosema watu na kusema wewe umefanya hio biashara ila unashindwa kusema gharamaa za dirisha moja ni kiasi gani. Hata kama ulifanya 2016 huko kama ulikuwa na hii biashara utakuwa unajua cost yake kwa dirisha moja ila sijaona popote ukisema bei ni hii.
Naweza kukupa estimation kwa kipindi hicho gharama ya kutengeneza mfano dirisha la 5x6 kama unanunua kila kitu kwa bei halali ilikuwa si chini ya 280000. Na hiyo bei ya sqm ilikuwa inajumuisha usafiri na kupachika ni juu ya mtengenezaji kama mteja yuko dar es salaam.
 
Si kweli watu mnaongea tu. Kutengeneza dirisha la aluminum unahitaji materials hizi: cill, jam, mosquito, lock, rollers, rubber ya vioo, ruber ya wavu wa mosquito, kioo, mosquito net, rivert, screws.
Hapo hujaweka umeme na labor charge na umeme. Ninachoweza kukwambia, kama mtu akikwambia gharama labda 3.5, kama kazi ingeenda sawa hapo anaweza kupata faida ya lak 4-8.
Hii kazi nimeifanya naijua na nina mpango wa kurudi baada ya kuwa nje ya game kwa miaka kama nane.
Wewe unaona ni sawa utumie gharama za laki 3.5 halafu upate faida zaidi ya laki 4?? Ni biashara gani nyingine utaifanya upate faida maradufu ya gharama?!
 
Back
Top Bottom