We wadhani mafundi wanafanya kazi kila siku? Unaweza kukuta mwezi mzima fundi anafanya kazi moja au mbili au hafanyi kabisa.
Bishara ya aluminum iko hivi kwa wengi. Anakuwepo mtu ambaye anauza material. Anakuwa kafungua sehemu ya kuuza material na ameweka mashine ya kukata profiles na meza. MAfundi wanakuja wenyewe. So fundi ndiye anatafuta mteja, akimpata anamleta ofisini. Mteja anaambiwa hapa ndo ofisini ashapata na fundi sasa ni chaguo la mteja ela kuilipa ofisini au kumpa fundi itategemea wanaaminiana vipi.
Ssasa fundi atanunua vifaa vyote pale na atatumia umeme na mashine bure. Ela ni ya fundi si ya muuza profile hata kama mteja aliilipa kwa fundi.
So unakuta ni mafundi wengi na si kila fundi anayepata kazi kila siku inawezekana ikawa mara moja au mbili kwe mwezi na wakati mwingine hata mwezi unaisha hapati kabisa.
Assume kazi ya milioni 3.5 ni dirisha nane, wewe ulitaka mtengenezaji apate shilingi ngapi kama labor charge?