Kwanini Aluminium furnitures ni ghali sana?

Kwanini Aluminium furnitures ni ghali sana?

Hizo material zinaagizwa kutoka Ulaya na China, kodi kibao.

Upvc na aluminium zinapendeza sana. Nyumba ikipigwa inavutia mno
Yah nyumba inapendeza sana hasa kwa upvc au aluminum ya cm 10 ambayo watu wanaona kutumia aluminum ya cm 10 bora aweke upvc maana tofauti yake ndogo sana.
 
Mkuu si kweli kwamba dirisha linalouzwa 230000 material yake 50000 ingekuwa hivyo basi mafundi wangekuwa matajiri sana.
Nimefanya hii biashara naijua tena kipindi hicho square meter tulikuwa tunapiga 150000 na material zilikuwa cheap zaidi ya sasa lakini bado isingewezekana dirisha la 230000 material kuwa 50000.
Wakati unasema bei ya material niliosema sio sahihi ungewewka bei sahihi ingependeza.
 
Si kweli watu mnaongea tu. Kutengeneza dirisha la aluminum unahitaji materials hizi: cill, jam, mosquito, lock, rollers, rubber ya vioo, ruber ya wavu wa mosquito, kioo, mosquito net, rivert, screws.
Hapo hujaweka umeme na labor charge na umeme. Ninachoweza kukwambia, kama mtu akikwambia gharama labda 3.5, kama kazi ingeenda sawa hapo anaweza kupata faida ya lak 4-8.
Hii kazi nimeifanya naijua na nina mpango wa kurudi baada ya kuwa nje ya game kwa miaka kama nane.
Mfano tu dirisha..vyuma vyake
Chuma kimoja cha kushika dirisha ni 40000/
Chuma cha kushika vioo 20000 kikoja
Chuma cha kushika nyavu ya uumbu 15000/20000
Sasa hapo ndy ujuwe dirisha moja litaingia vyuma vingapi kutokana na fundi alivyopima
Na bado maloki sjui angles nk 😄

Ova
 
Milango ya bafuni na vyooni inatakiwa kuwa na vipimo gani ili iwe migumu kuharibika
Milango ya aluminum? Milango huwa hata mafundi wengi anapokuwa anakupa hesabu vipimo vyake vinajulikana milango ya chooni na ya vyumba huwa zinatofautina cm kidogo tu kutokana na ujenzi wa fundi milango haiwezi kulingana ila size huwa ni sawa.
Mimi si mpenzi wa milango ya aluminum kwenye nyumba ya makazi binafsi hata chooni sijaweka milango ya alumum nimeweka mbao kasoro master ndipo nimeweka frameless glass door.
Ukiondoa madirisha, mimi si mpenzi a lauminum kabisa.
 
Hizo mbao zenyewe unaensa huko vijijini kumejaa miti lakini Mlango unaambiwa bei laki 2 na 50. Sasa si bora Aluminium laki 3 na 50 unachapa. Hamsumbuani usafirina mlango una shine
Inategemea na mbao, ukubwa wa mlango na eneo ulipo.

Mlango wa mbao wa laki 2½ ni mlango mgumu haswa huwezi linganisha na aluminum... Aluminum itabaki kuwa juu sababu ya process za upatikanaji wake japo kwenye uimara mbao itabaki kuwa imara
 
aluminum ni cheap kuliko mbao hasa madirisha. Ukiweka madirisha ya mbao kwa mfano mninga itakuwa ghali zaidi ya aluminum. Labda upvc ndiyo inaweza kuwa ghali zaidi na sijui kwanini materials zake ni ghali wakati ni maplastic fulani
Ndio, na ukiona mbao ni ghali sana ujue sababu ni aina ya mbao. Kuna miti ili uvune mbao yake itabidi upande wewe alafu aje kuvuna mjukuu
 
Wakati unasema bei ya material niliosema sio sahihi ungewewka bei sahihi ingependeza.
Mkuu itabidi upige hesabu mwenyewe
Mfano:
yale machuma yanayotenggeneza dirisha yako hivi;
Cill ina urefu wa 580 cm: bei yake moja inaanzia 40000-45000 kutegemea ni brand gani
Jam urefu 580cm bei 40000-450000
Mosquito 580cm bei 15000
kuna angle bei nimesahau lakini itakuwa 30000 hivi.
mosquito net mara mwisho roller yake ilikuwa 60000
Rollers za shutter - moja ni kati ya 500-1000 kila shutter inabeba roller 2
Roller za mosquito - 300-500 kila dirisha lina shutter 1 mosquito na kila shutter roller 2
Kuna fesna na lock zake. hii ndo ile ya kubana dirisha - 2000-5000 kutegemea na aina
kuna screw za kuunanisha aluminum box nadhani 5000
kuna screw za kufunga dirisha ukutani sikumbuki bei
kioo 5mm ukubwa w futi 7 kwa 6 ni 95000
bado labor charge, bado umeme,
Sasa hebu piga kwa ukubwa wa dirisha lako utaelewa kuwa haiwezekani dirisha moja linalochajiwa 250000 material zake zikawa 50000 tu.
nimekuwekea vipimo ili ujue kwa urefu wa kila kitu unaweza kutoa dirisha ngapi.
 
Ndio, na ukiona mbao ni ghali sana ujue sababu ni aina ya mbao. Kuna miti ili uvune mbao yake itabidi upande wewe alafu aje kuvuna mjukuu
Hizi mambo sijui za mbao ngumu na mbao laini. Ni kujipa gharama zisizohitajika.

Hapo Dar na miji mingine huko Mikoani wazee wamejenga nyumba za makuti, za udongo zina miaka 50yrs plus.

Ulishawahi kuona mlango kwenye nyumba umechanika eti kwa sababu sio mbao ngumu? Mimi sijawahi ona.

Mbao ni mbao tu unless ni matumizi special
 
Hizi mambo sijui za mbao ngumu na mbao laini. Ni kujipa gharama zisizohitajika.

Hapo Dar na miji mingine huko Mikoani wazee wamejenga nyumba za makuti, za udongo zina miaka 50yrs plus.

Ulishawahi kuona mlango kwenye nyumba umechanika eti kwa sababu sio mbao ngumu? Mimi sijawahi ona.

Mbao ni mbao tu unless ni matumizi special
Tatizo ni biashara
 
Hizi mambo sijui za mbao ngumu na mbao laini. Ni kujipa gharama zisizohitajika.

Hapo Dar na miji mingine huko Mikoani wazee wamejenga nyumba za makuti, za udongo zina miaka 50yrs plus.

Ulishawahi kuona mlango kwenye nyumba umechanika eti kwa sababu sio mbao ngumu? Mimi sijawahi ona.

Mbao ni mbao tu unless ni matumizi special
😄

Ova
 
Mkuu itabidi upige hesabu mwenyewe
Mfano:
yale machuma yanayotenggeneza dirisha yako hivi;
Cill ina urefu wa 580 cm: bei yake moja inaanzia 40000-45000 kutegemea ni brand gani
Jam urefu 580cm bei 40000-450000
Mosquito 580cm bei 15000
kuna angle bei nimesahau lakini itakuwa 30000 hivi.
mosquito net mara mwisho roller yake ilikuwa 60000
Rollers za shutter - moja ni kati ya 500-1000 kila shutter inabeba roller 2
Roller za mosquito - 300-500 kila dirisha lina shutter 1 mosquito na kila shutter roller 2
Kuna fesna na lock zake. hii ndo ile ya kubana dirisha - 2000-5000 kutegemea na aina
kuna screw za kuunanisha aluminum box nadhani 5000
kuna screw za kufunga dirisha ukutani sikumbuki bei
kioo 5mm ukubwa w futi 7 kwa 6 ni 95000
bado labor charge, bado umeme,
Sasa hebu piga kwa ukubwa wa dirisha lako utaelewa kuwa haiwezekani dirisha moja linalochajiwa 250000 material zake zikawa 50000 tu.
nimekuwekea vipimo ili ujue kwa urefu wa kila kitu unaweza kutoa dirisha ngapi.
Dirisha la futi 6 kwa tano, minimum charges ni laki 2 na 50 bila labour. Tena hapo ni Mjini kuna karakana kibao. Akiweka na labour chaji ya 50 inadondokea kwenye laki tatu na upuuzi.

Mteja analia lia punguzo bei inashuka mpaka laki tatu kamili au laki 2 na 90. Hapo maana yake Fundi amepunguza kwenye faida yake kama umempa kazi kubwa
 
Mkuu itabidi upige hesabu mwenyewe
Mfano:
yale machuma yanayotenggeneza dirisha yako hivi;
Cill ina urefu wa 580 cm: bei yake moja inaanzia 40000-45000 kutegemea ni brand gani
Jam urefu 580cm bei 40000-450000
Mosquito 580cm bei 15000
kuna angle bei nimesahau lakini itakuwa 30000 hivi.
mosquito net mara mwisho roller yake ilikuwa 60000
Rollers za shutter - moja ni kati ya 500-1000 kila shutter inabeba roller 2
Roller za mosquito - 300-500 kila dirisha lina shutter 1 mosquito na kila shutter roller 2
Kuna fesna na lock zake. hii ndo ile ya kubana dirisha - 2000-5000 kutegemea na aina
kuna screw za kuunanisha aluminum box nadhani 5000
kuna screw za kufunga dirisha ukutani sikumbuki bei
kioo 5mm ukubwa w futi 7 kwa 6 ni 95000
bado labor charge, bado umeme,
Sasa hebu piga kwa ukubwa wa dirisha lako utaelewa kuwa haiwezekani dirisha moja linalochajiwa 250000 material zake zikawa 50000 tu.
nimekuwekea vipimo ili ujue kwa urefu wa kila kitu unaweza kutoa dirisha ngapi.
Hivyo vipimo ulivyoweka ni vyq kutengeneza dirisha moja? Kama uliwahi kufanya hii biashara lazima ungekuwa unajua cost ya dirisha moja. Kuna mtu hata humu JF alinunua material na kutengeneza yeye mwenyewe kama sijasahau yeye cost ilikuwa 80,000 dirisha moja.
 
Hivyo vipimo ulivyoweka ni vyq kutengeneza dirisha moja? Kama uliwahi kufanya hii biashara lazima ungekuwa unajua cost ya dirisha moja. Kuna mtu hata humu JF alinunua material na kutengeneza yeye mwenyewe kama sijasahau yeye cost ilikuwa 80,000 dirisha moja.
Mkuu dirisha haliwezi kugharimu materials elfu 80. Then likauzwa laki tatu na 50. Big No. Hakuna biashara hiyo dunia hii
 
Back
Top Bottom