Usimuamulie kwa kutaka kubariki maamuzi ya mungu wenu alivyofanya.Kwahiyo kwa sababu Kikwete havukaa hivyo na Magufuli alitakiwa amgeze Kikwete? sasa si ujinga huo,nina hakika kama sio kujistiri basi Mama Samia angevaa hizo gwanda ili kuonesha kuwa ni Amiri jeshi mkuu pamoja na kuwa ni mwanamke.
Hii siyo ya waramba viatu kama wewe ulivyozoeshwa.Chini ya serikali ya ccm kama kawaida.
Ccm oyee.
Hao woote ni wazee wapenda kiki tuRais yupi wa Marekani aliyewahi kuvaa nguo za jeshi? Sana sana wanavaa jacket tu ya air force. Au Ulaya Magharibi ambae anavaa nguo za kijeshi? Wanajua kabisa kuwa Amiri Jeshi Mkuu kunawafanya wawe wanajeshi. Ni kama yule waziri wa utalii nae alivyokuwa anapenda kuvaa kombat!
Amandla...
Mkuu huna ujualo,acha chuki binafsi,huyu aliyevaa gwanda ni babu yako?Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Mimi nakukumbusha tu kuwa Mama ni mwana ccm hivyo jipendekeze kwa Mama ila kumbuka hilo.Hii siyo ya waramba viatu kama wewe ulivyozoeshwa.View attachment 1755267
JK alikuwa mjeshi kamili lakini hajawahi kufanya huo ulimbukeniRais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Na Jiwe alivaa kwa uamuzi wake hivyo kulikuwa hakuna haja ya kusema Kikwete hakuvaa hivyo mlitaka na Jiwe nae asivae, kuhusu misifa anayo si ndio maana akamchagua Mwigulu maksudi huku akijua nyie hamtaki na huku akiwaambia wenye kununa na mnune.Usimuamulie kwa kutaka kubariki maamuzi ya mungu wenu alivyofanya.
Mama Samia hana mambo ya kutafuta masifa
Amevaa kwa mapenzi yake lakini siyo takwa la kikatiba kufanya hivyo,na inawezekana mwendazake alimuiga tu huyu mtoto wa mjini.Mkuu huna ujualo,acha chuki binafsi,huyu aliyevaa gwanda ni babu yako?View attachment 1755272
Kwa hiyo Amir jeshi kuvaa combat ni ulimbukeniRais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Kikatiba ni ibara ya ngapi kifungu kidogo cha ngap??Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Raisi Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubir alipotokeza nikazani ni yule Raisi Nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Raisi au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali Ya Jamhuri ya Muungano yaTz ,kwa nini hakuvaa magwanda ??
Japo kwenye sikuku ya Eid avalie hayo magwanda tupige nae picha wakati tnaenda kupokeamkono wa eid. hebu avae tumuone ! Turizike tu ,mana sijaamini kama Mkuu wetu wa majeshi pia ni mwananke.
Na huyu Obama naye? ,punguza chuki mkuu,utakufa kabla ya umri wako,Amevaa kwa mapenzi yake lakini siyo takwa la kikatiba kufanya hivyo,na inawezekana mwendazake alimuiga tu huyu mtoto wa mjini.
Kuwa mshamba na kutengeneza maisha havina uhusiano, unaweza kuwa mshamba lakini zari likakudondokea ukawa mpaka Rais ila haiondoi hali ya wewe kuwa mshamba. Ref JiweWewe na huo ujanja wako una nn?hiiiii eti mshamba mwenzako alipambana akatengeneza maisha mpaka ya watoto wa vitukuu vyake unamuita mshamba Wewe na ujanja wako nani mshamba hapo?
π€ labda alitaka kuwaogopesha tu, kwamba anauwezo hata wa kuingia msituniRais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
ππππππ kwa vile hayupo ee?Labda msitu wa kufugia panzi
Leta ushahidi wa picha.Karibu Marais wote ambao ni maamri Jeshi Wakuu kwa nchi zao huvaa kijeshi ikiwapendeza, sio Africa tuu, hata kwingine.
Hayati Marehemu MWEHU. Eti nimetoa hela zangu!!!! Pumbavu kama ni zake mbona watoto wake hawajarithi! MWEHU!Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.