Kwanini Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu hakuvaa sare za Jeshi wakati akiwatunuku kamisheni wanajeshi?

Kwanini Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu hakuvaa sare za Jeshi wakati akiwatunuku kamisheni wanajeshi?

Kwahiyo kwa sababu Kikwete havukaa hivyo na Magufuli alitakiwa amgeze Kikwete? sasa si ujinga huo,nina hakika kama sio kujistiri basi Mama Samia angevaa hizo gwanda ili kuonesha kuwa ni Amiri jeshi mkuu pamoja na kuwa ni mwanamke.
Usimuamulie kwa kutaka kubariki maamuzi ya mungu wenu alivyofanya.

Mama Samia hana mambo ya kutafuta masifa
 
Chini ya serikali ya ccm kama kawaida.

Ccm oyee.
Hii siyo ya waramba viatu kama wewe ulivyozoeshwa.
JamiiForums1992601550.jpg
 
Rais yupi wa Marekani aliyewahi kuvaa nguo za jeshi? Sana sana wanavaa jacket tu ya air force. Au Ulaya Magharibi ambae anavaa nguo za kijeshi? Wanajua kabisa kuwa Amiri Jeshi Mkuu kunawafanya wawe wanajeshi. Ni kama yule waziri wa utalii nae alivyokuwa anapenda kuvaa kombat!

Amandla...
Hao woote ni wazee wapenda kiki tu
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Mkuu huna ujualo,acha chuki binafsi,huyu aliyevaa gwanda ni babu yako?
images%20(11).jpg
 
Awamu ya tano tulipatikana sana , naamini hatutokuja kupata Rais kituko na mshamba tena. Kuna siku alivaa gwanda na mikobazi aibu sana..... Na ukifuatilia kwa undani vijana wengi wa CCM hasa wa Mataga ndio Jamii ya Hayati wengi umasikini ndio lugha yao , kutwa kuhubiri umasikini..Tumshukuru mungu katuvusha.
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
JK alikuwa mjeshi kamili lakini hajawahi kufanya huo ulimbukeni
 
Usimuamulie kwa kutaka kubariki maamuzi ya mungu wenu alivyofanya.

Mama Samia hana mambo ya kutafuta masifa
Na Jiwe alivaa kwa uamuzi wake hivyo kulikuwa hakuna haja ya kusema Kikwete hakuvaa hivyo mlitaka na Jiwe nae asivae, kuhusu misifa anayo si ndio maana akamchagua Mwigulu maksudi huku akijua nyie hamtaki na huku akiwaambia wenye kununa na mnune.
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Kwa hiyo Amir jeshi kuvaa combat ni ulimbukeni
 
Mkuu ingawa unaweza ukahisi ni tofauti, ila sio vizuri mkuu/viongozi wa nchi kuvaa nguo za jeshi. Inaleta picha mbaya. Ni vile tumezoea kuona viongozi wetu wakipenda kuvaa magwanda, ila haitakiwi.

Inafifisha dhana ya civilian control of the armed forces, ambayo ni muhimu sana katika mfumo wa kidemokrasia, kijeshi na siasa.
 
Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Raisi Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubir alipotokeza nikazani ni yule Raisi Nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Raisi au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali Ya Jamhuri ya Muungano yaTz ,kwa nini hakuvaa magwanda ??

Japo kwenye sikuku ya Eid avalie hayo magwanda tupige nae picha wakati tnaenda kupokeamkono wa eid. hebu avae tumuone ! Turizike tu ,mana sijaamini kama Mkuu wetu wa majeshi pia ni mwananke.
Kikatiba ni ibara ya ngapi kifungu kidogo cha ngap??
 
Wewe na huo ujanja wako una nn?hiiiii eti mshamba mwenzako alipambana akatengeneza maisha mpaka ya watoto wa vitukuu vyake unamuita mshamba Wewe na ujanja wako nani mshamba hapo?
Kuwa mshamba na kutengeneza maisha havina uhusiano, unaweza kuwa mshamba lakini zari likakudondokea ukawa mpaka Rais ila haiondoi hali ya wewe kuwa mshamba. Ref Jiwe
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
🤠 labda alitaka kuwaogopesha tu, kwamba anauwezo hata wa kuingia msituni
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.

Alikuwa mshamba kweri kweri,

Unaanzaje kubeba wanyama mbugani na kupeleka kwenu kutengeneza mbuga yenu??

Hata nchi alitaka kuongoza kishamba kishamba tuh,hata kina nape na kinana walipodukuliwa walisikika wakisema kuwa JAMAA NI MSHAMBA SANA...!!
 
Rais gani mwingine aliwahi kuvaa uniform za jeshi kwenye shughuli kama ile zaidi ya yule aliyekuwa anajifanya mjuaji wa kila kitu kwahiyo mnataka aige kila kilichofanywa na huyo mtu wenu , mkae mkijua mtu wenu alikuwa mshamba na asiyejiamini yaani ni limbukeni.
Hayati Marehemu MWEHU. Eti nimetoa hela zangu!!!! Pumbavu kama ni zake mbona watoto wake hawajarithi! MWEHU!

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom