Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Usimuamulie kwa kutaka kubariki maamuzi ya mungu wenu alivyofanya.Kwahiyo kwa sababu Kikwete havukaa hivyo na Magufuli alitakiwa amgeze Kikwete? sasa si ujinga huo,nina hakika kama sio kujistiri basi Mama Samia angevaa hizo gwanda ili kuonesha kuwa ni Amiri jeshi mkuu pamoja na kuwa ni mwanamke.
Mama Samia hana mambo ya kutafuta masifa