Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Uzushi.

Labda wanataka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadomo 😁😁

Mwisho hakuna anaekataaga Cheo hapa Tanzania na ndio maana mnataka Kuuana na kugawana fito huko sembuse CCM kwenye pesa?
 
Anzisha nyuzi kama hizi pia ili tuweze kuichambua Chadema kuhusu uchaguzi wao.

Usiwe mwamba ngoma huvutia kwake! Hiyo ni sifa ya unafiki binti.
 
Anzisha nyuzi kama hizi pia ili tuweze kuichambua Chadema kuhusu uchaguzi wao.

Usiwe mwamba ngoma huvutia kwake! Hiyo ni sifa ya unafiki binti.
Nyuzi za Chadema mbona ziko nyingi sana!
 
Sio kweli!hakuna mwenye uwezo wa kukataa uteuzi wa mwenyekiti wa CCM!
Lakini yupo aliewahi kataa teuzi ya ukurungezi wa halmashauri kipindi Cha jiwe, alikua muajiriwa wa Tigo Kanda ya Ziwa. Na pia yupo aliekataa uteuzi kipindi cha Samia alikua sijui nani wa chama cha walimu.
 
Ndio maana tukashangaa, kulikoni hawa wakatae?
Hakuna anaekataaga Cheo hapa Tanzania huo ni uzushi,mtu kama Makonda ana msururu wa vyeo haiwezekani akarundikiwa kingine.

Pinda na Wasira wote walikuwa watajwa,kapata mmja haiwezekani akatae.
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Upepo wa siasa za tz unaenda kubadilika , wenda walijipima nakuona hawawezi kutoboa, jambo ambalo ni zuri, sasa Wasira si bora chama kingebaki bila makam, mzee hana vibe , za kwendana na mdundo wa siasa zijazo ,tuleteeni lissu na Heche Mengine ccm watajua hawajui
 
Kwani kama wazee wanasita na vijana hawaaminiki, hawezi kuchukua Mzee mzanzibari mmoja wa makamo akaja kutawala upande huu?
Jifunze mambo! Lazima kuwe na Makamu Wenyeviti wawili Bara na visiwani.Zanzibar tayari Ina Makamu Mwenyekiti ambaye ni Rais Hussein Mwinyi.Hiyo ni nafasi ya Makamu Mwenyekiti kutokea Bara.
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Wamenusa hatari CCM inamfia Mama Dula.
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Kwanza kabisa hizo taarifa tunazihakiki vipi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom