abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Hakuna kitu kama hicho,endeleeni na upuuzi wenu huko CDM.
Hao wawili walikuwa waangalizi maalum wa SADC walioteuliwa na RAIS kwenye misheni za uchaguzi,walienda kutoa ripoti zao Ikulu ndogo ya Tunguu,znz!
Yaani unakaa unatunga mwenyewe Uongo halafu unataka maoni ya watu!
MBOWE must go!
Hao wawili walikuwa waangalizi maalum wa SADC walioteuliwa na RAIS kwenye misheni za uchaguzi,walienda kutoa ripoti zao Ikulu ndogo ya Tunguu,znz!
Yaani unakaa unatunga mwenyewe Uongo halafu unataka maoni ya watu!
MBOWE must go!