Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Hakuna kitu kama hicho,endeleeni na upuuzi wenu huko CDM.
Hao wawili walikuwa waangalizi maalum wa SADC walioteuliwa na RAIS kwenye misheni za uchaguzi,walienda kutoa ripoti zao Ikulu ndogo ya Tunguu,znz!
Yaani unakaa unatunga mwenyewe Uongo halafu unataka maoni ya watu!
MBOWE must go!
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Hivyo vyeo sumu nje nje ,bado wanataka kuwalea wajukuu zao.
 
Labda waliitwa kushauri na kupendekeza nani angefaa!
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Uongo !!!!!!! Nimemuuliza Mama Makinda akabisha
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Chai
 
kwanza.pinda na makinda hawa ujasiri wao naweza kusema ni asilimia 40 tu. hivyo mtu ambae hana ujasili wa kutosha usimuamini kwenye kukushauli jambo lolote.maana muda ote yeye ni mwenye kutegemea wengine zaidi kuliko kuamua kufanya jambo mwenyewe.na hata aliewapendekeza wawili hawa sijui alifikilia nini.
r/l, can't you differentiate these two alphabets?
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Siyo ving'ang'anizi wa Madaraka kama Sultan Mbowe 🐼
 
Nilidhani una TETESI za kitushirikisha kumbe unafuta wapiga ramli?
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Mimi nafikiri sababu ni zilezile za Lissu pamoja na kuitwa na kuambiwa asigombee nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa na akagoma na akagombea!
 
Kuna watu wanaridhika, wote wameshalitumikia taifa kwa miaka mingi.

Kama utakumbuka Makinda wakati anaaga bungeni, hatorudi 2016. Kuna mmoja alimtania au Mfindi maji ya shingo. Akamjibu hakuna wa kunisumbua nikitaka kujimilikisha jimbo milele. Utumishi wangu wa umma unatosha ni muda sahihi kwangu kupumzika.

Tibaijuka nae alifanyiwa utani huo huo na majibu yake yalifanana hakuna wa kumsumbua Muleba ila siasa basi tena muda wa kupimzika.

Wassira yeye inaonekana hatosheki na watoto wake wote ni professionals wanaojitegemea.
Kuna mtoto wake mmoja alikuwa campaign manager wake ubunge..kasoma USA..Yuko wapi now?
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?

Hawataki kuwa sehemu ya UHUNI unaoendelea chini ya awamu hii.
 
Back
Top Bottom