Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiri ni njaa iliyompeleka hapoWanajitambua, hauwezi kuwa chini ya mzee mwenzio mkafika. Samia ni mzee anahitaji mtu ambaye badio ana nguvu na wa kumsemea. Wasira hasijidanganye kwamba ananguvu za kuzunguka TZ na kusemea mwenyekiti wake.
Nafurahia mnavyojipa moyo, ngoja uone Chess ya CCM ndiyo utakubali CCM ni chama dumeWewe Kweli Ungeweza Kukubali Nafasi Hiyo Ukijua Wazi Chama Kimepasuka Sana Na Mwaka Huu Kinajifia
Sasa uchaguzi wanafanya wa nini kama anayepewa hiyo nafasi anakuwa anachaguliwa na Mwenyekiti? Uchaguzi unakuwa maigizo tu. Kwanini wasingekuwa wanaacha wanaotaka hiyo nafasi wagombee halafu wapigiwe kura?Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Uzushi.
Labda wanataka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadomo 😁😁
Mwisho hakuna anaekataaga Cheo hapa Tanzania na ndio maana mnataka Kuuana na kugawana fito huko sembuse CCM kwenye pesa?
👏👏👏👏👏👏👏👏👏Sio kweli!hakuna mwenye uwezo wa kukataa uteuzi wa mwenyekiti wa CCM!
Ata najua binafsi namjua mmoja tu alikuwa anaitwa Kambarage na sijui halipo. Hao wengine nawasikia kwa wapambe tu wako vizuri.Kuna mtoto wake mmoja alikuwa campaign manager wake ubunge..kasoma USA..Yuko wapi now?
Sijuivp khs a.kinana ? kwa hiyo kumbe hakuachia mwenyewe? aliondolewa?
kwa ccm hii ya Sasa...makamu na mwenyekiti wake lazima wawe wajinga wa democrasia ....ukiwa mwerevu wa democrasia na utawala Bora huwezi kibali hiyo nafasiTuwekee video mkuu
Sijui
Nilivyosoma nilidhani una ushahidi labda wenyewe walisema...tuwe professional basi ukiweka kitu kma hiki cha story za kwenye kahawa usiandike kwa uhakika hivi.Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
HatubahatishiNilivyosoma nilidhani una ushahidi labda wenyewe walisema...tuwe professional basi ukiweka kitu kma hiki cha story za kwenye kahawa usiandike kwa uhakika hivi.
Wasira anahitaji kusaidiwa, miaka hiyo ni ya kushukuru Mungu na kujiandaa kuonana naye siku yake ya mwisho hapa duniani.Kuna watu wanaridhika, wote wameshalitumikia taifa kwa miaka mingi.
Kama utakumbuka Makinda wakati anaaga bungeni, hatorudi 2016. Kuna mmoja alimtania au Mfindi maji ya shingo. Akamjibu hakuna wa kunisumbua nikitaka kujimilikisha jimbo milele. Utumishi wangu wa umma unatosha ni muda sahihi kwangu kupumzika.
Tibaijuka nae alifanyiwa utani huo huo na majibu yake yalifanana hakuna wa kumsumbua Muleba ila siasa basi tena muda wa kupimzika.
Wassira yeye inaonekana hatosheki na watoto wake wote ni professionals wanaojitegemea.
La Kagera Linaitwa Happy nikuconnect upige kura?Sanduku la kagera ndio zuri likifatiwa na Manyara
Sanduku la dar ni chenga
I agreeWasira anahitaji kusaidiwa, miaka hiyo ni ya kushukuru Mungu na kujiandaa kuonana naye siku yake ya mwisho hapa duniani.
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Watu kama nyie ndio mnatakiwa jfLa Kagera Linaitwa Happy nikuconnect upige kura?