Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Utopolo tumevunja sana calculator lakini wapi
FB_IMG_1737212851143.jpg
 
Wewe Kweli Ungeweza Kukubali Nafasi Hiyo Ukijua Wazi Chama Kimepasuka Sana Na Mwaka Huu Kinajifia
Nafurahia mnavyojipa moyo, ngoja uone Chess ya CCM ndiyo utakubali CCM ni chama dume
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Sasa uchaguzi wanafanya wa nini kama anayepewa hiyo nafasi anakuwa anachaguliwa na Mwenyekiti? Uchaguzi unakuwa maigizo tu. Kwanini wasingekuwa wanaacha wanaotaka hiyo nafasi wagombee halafu wapigiwe kura?
 
Uzushi.
Labda wanataka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadomo 😁😁
Mwisho hakuna anaekataaga Cheo hapa Tanzania na ndio maana mnataka Kuuana na kugawana fito huko sembuse CCM kwenye pesa?

vp khs a.kinana ? kwa hiyo kumbe hakuachia mwenyewe? aliondolewa?
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Nilivyosoma nilidhani una ushahidi labda wenyewe walisema...tuwe professional basi ukiweka kitu kma hiki cha story za kwenye kahawa usiandike kwa uhakika hivi.
 
Nilivyosoma nilidhani una ushahidi labda wenyewe walisema...tuwe professional basi ukiweka kitu kma hiki cha story za kwenye kahawa usiandike kwa uhakika hivi.
Hatubahatishi
 
Kuna watu wanaridhika, wote wameshalitumikia taifa kwa miaka mingi.

Kama utakumbuka Makinda wakati anaaga bungeni, hatorudi 2016. Kuna mmoja alimtania au Mfindi maji ya shingo. Akamjibu hakuna wa kunisumbua nikitaka kujimilikisha jimbo milele. Utumishi wangu wa umma unatosha ni muda sahihi kwangu kupumzika.

Tibaijuka nae alifanyiwa utani huo huo na majibu yake yalifanana hakuna wa kumsumbua Muleba ila siasa basi tena muda wa kupimzika.

Wassira yeye inaonekana hatosheki na watoto wake wote ni professionals wanaojitegemea.
Wasira anahitaji kusaidiwa, miaka hiyo ni ya kushukuru Mungu na kujiandaa kuonana naye siku yake ya mwisho hapa duniani.
 
Wasira anahitaji kusaidiwa, miaka hiyo ni ya kushukuru Mungu na kujiandaa kuonana naye siku yake ya mwisho hapa duniani.
I agree

Usishangae ukisikia ndio team leader kwenye kuandaa ilani yao ya uchaguzi.

Ndio mtu ambae wamekuwa wakimtegemea miaka yote kuandaa ilani yao ya uchaguzi toka 90’s.
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?

Nani mwenye akili zake sawa anataka historia yake iwe uchawa na wizi wa kura🤮 zaidi ya watu wa ajabu ajabu kama wasira
 
Back
Top Bottom