Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Kwanini Anna Makinda na Mizengo Pinda hawajaweza kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara?

Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Mmmh ! Nadhani wanasoma upepo unavyopepea pea , labda si shwari shwari , mmmh !
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?

Mwamba angependeza zaidi:

Ghgws-PWgAA4Adu.jpeg


Wala asingekataa!
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Chanzo cha habari ?
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Majina yaliyopendekezwa ni Mizengo Pinda VS Wassira.
Na sio huyo Anna wako
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
we ni profesa wa uzushi unajulikana. Mtu km ww hawezi kujua mambo ya CCM, we kamtumikie bwanako Makengeza
 
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.

Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.

Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?

Habari za kusikiasikia
 
Back
Top Bottom