abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
Mama D ,upo ndugu yangu,?Kusikia sio kusikiasikia?๐๐๐
Hivyo vyeo sumu nje nje ,bado wanataka kuwalea wajukuu zao.Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
source: trust me bro. hahaha za kupewa hizi.Kwanza kabisa hizo taarifa tunazihakiki vipi?
Uongo !!!!!!! Nimemuuliza Mama Makinda akabishaTaarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
๐๐๐ Unaruka naniliu unakanyaga naniliu! ndio nini sasa?Kusikia sio kusikiasikia?๐๐๐
Kishakuwa Paroko huyohii nafasi ingemfaa sana mzee wangu Mh. Aggrey Mwanri.
ChaiTaarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
r/l, can't you differentiate these two alphabets?kwanza.pinda na makinda hawa ujasiri wao naweza kusema ni asilimia 40 tu. hivyo mtu ambae hana ujasili wa kutosha usimuamini kwenye kukushauli jambo lolote.maana muda ote yeye ni mwenye kutegemea wengine zaidi kuliko kuamua kufanya jambo mwenyewe.na hata aliewapendekeza wawili hawa sijui alifikilia nini.
Ufipa kinondoni, na makao makuu mapya ya Chadema mikocheni.Fomu walichukua wapi?
Siyo ving'ang'anizi wa Madaraka kama Sultan Mbowe ๐ผTaarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Mimi nafikiri sababu ni zilezile za Lissu pamoja na kuitwa na kuambiwa asigombee nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa na akagoma na akagombea!Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
I told you ๐๐Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?
Kuna mtoto wake mmoja alikuwa campaign manager wake ubunge..kasoma USA..Yuko wapi now?Kuna watu wanaridhika, wote wameshalitumikia taifa kwa miaka mingi.
Kama utakumbuka Makinda wakati anaaga bungeni, hatorudi 2016. Kuna mmoja alimtania au Mfindi maji ya shingo. Akamjibu hakuna wa kunisumbua nikitaka kujimilikisha jimbo milele. Utumishi wangu wa umma unatosha ni muda sahihi kwangu kupumzika.
Tibaijuka nae alifanyiwa utani huo huo na majibu yake yalifanana hakuna wa kumsumbua Muleba ila siasa basi tena muda wa kupimzika.
Wassira yeye inaonekana hatosheki na watoto wake wote ni professionals wanaojitegemea.
Taarifa zinadokeza kwamba Wawili hao ndio ambao walipangwa mmoja wao awe Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara.
Wakaitwa na Mkubwa huko Kizimkazi na kuelezwa jambo hilo lakini walikataa.
Mnadhani kwanini Wawili hao kila mmoja kwa wakati wake walikataa Cheo hicho, Kuna nini au Wametosheka?