Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mabilionea wana maeneo Mbagala kwa ajili ya biashara zao (warehouses, factories & yards) lakini sio kwa makazi yao.Baki hivyo wakati akina Manji mabilionea walikuwa na maeneo hadi kuwa diwani wa Mbagala kuu.
Lkn umeonaje maendeleo yao kama NCHI?
Mfano Nchi hizi ndizo hazina mfumo wa Kupiga kura ni absolutely monarchy na ndio NCHI asilimia 100% ni waislam hebu dadavua kidogo tuje unaelewa nini kuhusu maendeleo.
1)Saudi Arabia
2)Qatar
3)U.A.E
4)Kuwait
5)Oman
6)Bahrain
[emoji16][emoji16][emoji16]Mbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa Mtwara ni kama Crimea na Urusi. Mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa Dar.
Sasa mkuu wazaramo kupiga ngoma kila jumapili ndio ifanye nyumba zisipangike.?? Naona pamoja na yote serikali pia ya kulaumiwa kwa hili linalo endeleaMatusi ya nini kiongozi?. Tukiweka udini mbele tutatukana kila mtu. Hapa tunajifunza tu
Nani kasema?. Mbagala ipo kwenye riski sabb watu wengi wa huku ni zao la pwani /kusini. Na huo ukanda wa kusini elimu ya kileo haijafika vizuri nd mana mpaka Sasa kuna tamaduni hazijaachwa. Mf. Wazaramo wameijenga mbagala kuwa sehem ya ngoma na mdundiko kila jumapili. Wamakonde wameijenga kuwa sehem yenye uchawi kias cha kuogofya kidogo.
Ukiichukua kimitazamo wa kileo, uchawi na kupenda ngoma (vigodoro) ni USWAHILI. huku vikiambatana na kukosa elimu (tusiuite Ujinga). Uongoz pia ulaumiwe Kwa kukosa motivesheni y kuwakomboa wat wa huku Kwa nguvu zaidi ya kawaida.
NB: UDINI UNATUTOA KUFIKIRIA NA KUTUPELEKA KUJAJI
Sasa mkuu wazaramo kupiga ngoma kila jumapili ndio ifanye nyumba zisipangike.?? Naona pamoja na yote serikali pia ya kulaumiwa kwa hili linalo endelea
Hawa jamaa walion'gan'gania mbagala sio PA kuishi Kuna engo wako sahihi ila wamejaa mihemko ndo mana hoja haionekani. Mm binafs mbagala nataka kuhama Lakin hawa watu wa kusaidiw sio kutengwa. Ni binadam pia, tatizo Wana Mila zinazopingana na maendeleoSasa mkuu wazaramo kupiga ngoma kila jumapili ndio ifanye nyumba zisipangike.?? Naona pamoja na yote serikali pia ya kulaumiwa kwa hili linalo endelea
Kuna ardhi zilizo barikiwa na zipo ardhi zilizo laaniwaMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
🤣🤣🤣 sawa mkuuHawa jamaa walion'gan'gania mbagala sio PA kuishi Kuna engo wako sahihi ila wamejaa mihemko ndo mana hoja haionekani. Mm binafs mbagala nataka kuhama Lakin hawa watu wa kusaidiw sio kutengwa. Ni binadam pia, tatizo Wana Mila zinazopingana na maendeleo
Maendeleo nini? Naomba kujua hilonchi hizo zina utajiri mkubwa rasilimali Mafuta ila bado Hizo nchi hazina maendeleo kuzizidi nchi ambazo sio za kiislamu.
nchi zinazoongoza kwa maendeleo na utajiri duniani kwa lugha nyingine nchi zenye uchumi mkubwa zinaitwa G7 countries
hakuna nchi hata moja katika hizo ulizozitaja ambayo imefikia level G7 countries
hizo nchi ukizilinganisha na Tanzania utaona zina maendeleo maana zinatuzidi , ni sawa na Burundi wanaiona Tanzania ina maendeleo. ila kwenye level za kidunia hizo nchi hazina maendeleo ya kuzizidi non muslim countries.
nitajie nchi gani hapo ina maendeleo kuzidi G7 countries?
Kwanza kabisa mnatakiwa mjue mbagala ni kubwa, si kila matatizo unayosikia mbagala basi ni mbagala yote, kuna maeneo mbagala watu wanaishi zao kwa utulivu tuSababu kubwa ni mzunguko mdogo wa pesa na usalama..... mpaka leo hii unapata sahani ya wali kwa 500.......
Mambo ya kuvunjiana milango ni vitu vya kawaida sana kule.......
Kule vijana wengi ni wakabaji pindi jua linapozama.......kule ukipata break down ni Bora ukimbie kuliko kubakia hapo........ umaskini umewafanya watu kule kuwa wanyama......
Huijui mbagala. Hiv mnajua nyumba aliyopanga jokate (kwa mamunyange) Analipa kias gan Kwa mwez?watu wenye uwezo huwezi wapangisha sehemu kwenye ngoma ngoma na makelele..
mbagala yote sizani kama kuna nyumba ya kuishi ya kufikia Kodi laki 4 kwa mwezi
Hawez kukuelew huyu. Hajui kama maendeleo ni 'relative'.Maendeleo nini? Naomba kujua hilo
Mtu anayeijua dar hawezi kuishi mbagala,bora nikae kibahaKwanza kabisa mnatakiwa mjue mbagala ni kubwa, si kila matatizo unayosikia mbagala basi ni mbagala yote, kuna maeneo mbagala watu wanaishi zao kwa utulivu tu
Wewe uliyekuja dar kwa msaada wa elimu unaleta wenge .. kijijini kwenu c mlikuwa mnalala na mbuzi leo unajifanya wa kishuaMtu anayeijua dar hawezi kuishi mbagala,bora nikae kibaha
Tatizo lililopa Tanzania watu wengi wanatoa maoni yao kuhusu kitu chochote kile huwa kina kuwa driven by emotional sn kuliko uhalisia wa jambo husika na hilo ni tatizo.Hawez kukuelew huyu. Hajui kama maendeleo ni 'relative'.
Yaani hapa nashangaa sana, sijui wanaichukuliaje Mbagala, na wengi wanaokoment negative humu wako huko kwenye vyumba vya kupanga kinondoni mkwajuniUkiisikia hii kauli unaweza kufikiri muongeaji anatokea Montreal, Canada, kumbe unaweza kukuta yupo zake Simiyu ndaaani huko amepozi mbele ya tembe lao anaponda watu kama hivi. Mitandao bwana!
Hivi unawajua wazawa wa Dar Wandengereko Wazaramo na Wamanyema mkuu?Hao nyumba ikiuzwa wakishapata hela zao kwanza wananunua magari ya kifahari wanawatafuta wale mademu waliokuwa wanawakataa wakati wakiwa bado fukara wanazitumia kwenye starehe.Kwamba mtu auze nyumba/eneo lake Kariakoo, Ilala ama Magomeni kwa zaidi ya milioni 700 ama hata bilioni then ashindwe kwenda kununua kiwanja Mbezi, Madale ama Tegeta kwa bei ya milioni 30 ama 50?
Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea niniMtu anayeijua dar hawezi kuishi mbagala,bora nikae kibaha
Ndugu yangu humu kwenye JF watu wengi sio wakazi au wazaliwa wa DAR ES SALAAM a.k.a Mzizima utapata taabu kuwaelimisha.Mbagala unaijua vizuri wewe au unaandika tu kwa kusimuliwa. Leo Mbagala rangi 3 unaijua Bei ya fremu? Bila milion 1 hupati frem, Kijichi Bado ni Mbagala lakin Kiwanja mpaka milion 100, hiyo Zachkem hupati kiwanja, lazima umvue mtu bila milion 200 hutoi mtu wewe unaongea nini