Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Hatimae mdini kaingilia kati, kama Dini husababisha maendeleo ya kipato vipi akina Mo Dewji, Bhaharesa, GSM na wengine.
Ni shuguri ipi ya kiuchumi utawakuta wa kristu tupu au Waislam watupu. hivi Tanzania kuna miji ya kikikristo.
Upo sahihi
 
Hakuna utajiri wowote, nimetembea Tanzania kasoro mjini Mugumu msoma.

Kwa idadi yao walitakiwa wawe wamefanikiwa zaidi ila hao mnao waona Dar es Salaam na miji ndio wenye mafanikio wengine wote ni Imbombo ngafu au maisha madim.

Waulize sisi tunajenga kwenye miji yetu ya pwani pamoja na Dar na tunarudi nyumbani.
Wao kwa nini hawatamani rudi kwao? Kujenga kwao? Mpaka kifo ndio tuwatie kwenye coaster kuwarudisha?
 
Umeniita kunguni hivyo umenipa ruhusu ya mimi kukutukana vilevile, wewe jamaa ni k..ma lisiloelewa aisee.
Ni ndugu wa mbali au mpaka niseme wamezaliwa tumbo moja? you don't fucking know who I'm!

Fuk it, I don't care.
Waukae usifike mbali hii ni mitandao tu?
 
Wapi nimesema nina pesa?
Bro tunaweza kuwa kabila moja lakini hatupo level moja, just get over it!
 
Waukae usifike mbali hii ni mitandao tu?
Napenda mabishano lakini ukiniita kunguni na kuniattack personally na directly basi hilo ni tatizo ambalo halivumiliki.
Jamaa analazimisha uhalisa wake.

Namwambia tunaweza kuwa kabila moja na tusiwe level moja vilevile. damn idiot!
 
Hatimae mdini kaingilia kati, kama Dini husababisha maendeleo ya kipato vipi akina Mo Dewji, Bhaharesa, GSM na wengine.
Ni shuguri ipi ya kiuchumi utawakuta wa kristu tupu au Waislam watupu. hivi Tanzania kuna miji ya kikikristo.
Hao uliowataja kizazi na ukoo wa Mohamed wanatokea dini ya Uislamu ilikotokea wanajielewa !! Tofauti na waislamu wa mbagala,bagamoyo,ujiji,Pangani nk

Hata Ukristo wazungu wako mbele ambako Ukristo ulitokea lakini kuna unafuu wakristo sehemu waliko wengi japo hakuna maendeleo kama ya wazungu lakini kuko juu kuliko kule waislamu waleta dino walikoachia waswahili dini ya kiislamu.
 
Kwa sababu Wana pesa?
Ulifanya research lini?
Kusema waislamu wa maeneo tajwa hawajielewi?

Hii nchi huwa inakuwa kiuchumi ikiongozwa na Maraisi toka maeneo tajwa, Sasa hii jeuri unaitolea wapi?

Wewe ni mbaguzi na mdini tu, huna kingine
 
Mimi ni mzaramo wa historic coastal town Bagamoyo.
Hawa wabara wanasumbuliwa na inferiority complex na denial disorder na ndio sababu muda wote wanaona ulazima wa kujisifia na kushusha wengine, wanajishtukia.
kwenye hali njema kielimu na kiuchumi uhalisia ni 10% na 90% ni part ya majivuno na ulimbukeni. Mimi sijisifii kama nimesoma lakini wale wa kule ungeona jinsi wanavyojimwambafy wakati kusoma ni kitu cha kawaida sana.

Hapa nacheka kuona wanashindwa kujibu hoja nyepesi na kugundua kwamba wanajiongopea na kujioverestimate, ni kama kucheza na watoto wadogo wanaoamini wanajua kila kitu. Nothing serious!
 
Religious fanatics kama kawaida mnaendelea kusukuma gurudumu la maisha kwa kuleta utofauti duniani na kukamilisha ule msemo wa binadamu hatufanani.
 
Sasa kama wana unafuu, mbona wanaletwa mjini, kama kwa kuagixiwa kama kuku wa Singida mi niletee watatu, wawili wa kike mmoja wabkiume.
Mwingine akianzisha bar, anaenda kuwasanya watoto wa kike huko utadhani anakusanya maharage kwa wakulima, saa huo utajili mlionao unawasaidiaje.
Au ndiyo utajiri wa kimasai, kwao wanamiki ng'ombe 1,000 lakini kijana wa kimasai, anatembea na biashara ya mtaji wa elfu 20, akiuza vikata kucha Shanga, pochi tano, tena kwa kutembea kwa mguu, mlo mihogo ya kuchoma.
 
Punguza povu sindano ikuingie, hujatumwa kuishi mbagala, ni uwezo wako, kubali mbagala kajamba nani.
 
Punguza povu sindano ikuingie, hujatumwa kuishi mbagala, ni uwezo wako, kubali mbagala kajamba nani.
Part ya ukoo wangu ilihamia mbagala kabla hata ya babu mzaa babu yako hajazaliwa na tumewekeza pakubwa huku considering mbagala nimehamia 2018 sababu nimeishi sehemu nyingi.

So shut the F up. will you?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…