Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi, miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
mbagala dahh bora nikaishi mlandizi au chalinze kabisa
 
Ngoja watoto wa shule muendelee kucomment. Lkn waulizeni wasanii wenu kwanini wanakuja kufanyia maigizo katika majumba ya huku, tokea jumba la dhahabu sijui Huba.... huko Goba hakuna mijengo ? Wanakuwa wajinga hadi anajikuta anakusalimia wakati wa.emwambia afanye action.
Wanapoteza uelewa hadi anaigiza jambazi na anavua viatu kuogopa mazulia ya watu.

Ongeeni ila real life imebadilika Dar hakuna cha Obeyi, watu wanajijengea zaidi ya hizo.
Ungesema tuna beach matope ningekuelewa
Wewe hata siwezi kubishana na wewe maana watu wa kusini mkifika mtongani mbaona Dar mmeimaliza.


Ushamba umewajaa sana
 
Punguza povu sindano ikuingie, hujatumwa kuishi mbagala, ni uwezo wako, kubali mbagala kajamba nani.
Umejenga mzee, acha kujivunia kuishi mbezi kitopeni karibu na Stand, au mbezi jogoo wakati nyumba ya kupanga. Kuna watu walivunia kariakoo na Magomeni saa maisha yamewashinda wako mkoa, waliochekwa kwa kuishi mbagara na mbezi shamba sasa hivi mbezi Luis, wako mjini mpaka leo. Nione nikupe eneo huku kwa Sumae. auache kujivunia mji badala ya maendeleo yako.
 
Wewe hata siwezi kubishana na wewe maana watu wa kusini mkifika mtongani mbaona Dar mmeimaliza.


Ushamba umewajaa sana
wewe kwenu wapi, unachokiandika hapa tayari kinaakisi ushamba, kuimaliza dar ndiyo kukoje, ukija na kutambia kuijua dar, basi kazi ipo, maana niko dar ila kutokana shuguri zangu za kiuchumi daraja la Tanzanite nililiona wakati linajengwa, tangu waruhusu magari sijapita kule. Sasa kuimaliza dar sijui ndiyo nini au ndiyo uwe mjanjanjaa.
 
wewe kwenu wapi, unachokiandika hapa tayari kinaakisi ushamba, kuimaliza dar ndiyo kukoje, ukija na kutambia kuijua dar, basi kazi ipo, maana niko dar ila kutokana shuguri zangu za kiuchumi daraja la Tanzanite nililiona wakati linajengwa, tangu waruhusu magari sijapita kule. Sasa kuimaliza dar sijui ndiyo nini au ndiyo uwe mjanjanjaa.
Wakuja utamjua tu, uhitaji kufungua codes nyingi
 
Asilimia kubwa wengi wenu mlifika mbagala mwisho mwa miaka ya 90 huko mkitokea vijijini kwenu mpala kyala
Kwakweli mtu anasema mzunguko wa pesa kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wa mbagala hawaendi Tena kariakoo kununua vitu ... Hata watu wa mbande kuja rangi 3 ni kuamua ila Kila kitu kipo huko. Mbagala imekuwa sana in 10 years almost Kila tarafa itajitegemea kwa Kila kitu
 
Watu wengi wa Mbagala wako uncivilized (sio wastaarabu).
Vibaka wengi, makelele kila kona, kuna hekaheka nyingi sana kiasi kwamba mtu usiyependa hekaheka huwezi kuishi Mbagala.

Binafsi hata wauze kiwanja laki 5 siwezi kukaa Mbagala, kuingia nyumbani kwako saa 3 usiku unaingia kwa wasiwasi maana wakabaji kibao maisha gani hayo sasa
Ulishawahi kaa
 
Miaka ya nyuma mbagala ulikuwa unaweza kuchemsha chai ukaenda dukani kununua sukari vijiko viwili ukanywa chai yako ukatoka
 
Ukanda huo wote kuanzia Temeke,Mbagala na kuendelea huko chini vikindu,kisemvule mpaka huko mkuranga wamejaa waswahili hata Uuzaji wa viwanja ndo ule wa Futi (40ft×50ft) Viwanja vingi vya Mbagala havijapimwa ...wauzaji wanafanya makadirio tuu Unauziwa bila kujali uelekeo ndo maana unakutana na nyumba zimekaa hovyo hovyo

Haya yote yamewafanya watu wengi kuwa discouraged

Lakini ukanda huo ni mzuri sana kwa viwanja vya biashara (viwanja vinavyotazamana na barabara kuu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, mbagala toka miaka ya 80 ikohivyohivyo haijawahi kuwa na hadhi yoyote ile, hata ukiwa na mabilioni lkn ukimwambia mtu unaishi mbagala lazma akuzarau.
 
Hawa waswahili wa jamiiforums ni most arrogant, presumptuous and uppity suckers sijawahi ona full of condescension. Utakuta mtu anaandika haya kama yupo surbubs las vegas, manhattan new york au Massachusetts.
Kumbe kisa anaishi mbezi! au mikoani ndanindani huko vijijini anakula miwa.

Sehemu ninayokaa mimi ni mbagala na kuna nyumba kubwa za kisasa full geti zimejipanga vizuri. au nyie mnaongelea mbagala ipi?
Dar nzima mimi sioni tofauti yoyote, ni vumbi tu. na most wanaoandika hizi pumba utakuta wanatokea mikoani, hawatembei or some jobless idiots.

Na bado kuna wale mbuzi waliokunywa maji ya dini, religious fanatics na nonsense za ajabuajabu. wth? hauna kazi?
So damn strange! na bado kuna mjinga anaongelea civilization na hapohapo yeye anadefine na kugeneralize watu kutokana na dini?

What is this? nashangaa sana upeo wa watu wa JF, Na haya ndio madhara ya kujiona smart na una akili sana kuliko uhalisia.
Mara zote watu wenye uwezo mdogo kiakili huwa wanakosa uwezo wa kutambua udhaifu wao wenyewe, dunning kruger effect.

Watu wa jamiiforums sijawahi kukutana nao maishani kwangu, I guess fake IDs zinafichua uhalisia.

Africans are just a bunch of talking monkies.
Kwamba huoni tofauti ya salasala na Mbagala ?

Madale na Chamanzi !!!


Akili zako ziko ICU


[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lililopa Tanzania watu wengi wanatoa maoni yao kuhusu kitu chochote kile huwa kina kuwa driven by emotional sn kuliko uhalisia wa jambo husika na hilo ni tatizo.
Umeambiwa taja nchi ya kiislam ambayo imefikia uwezo nchi za G7 Acha kulia lia

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom