Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Mabilionea wana maeneo Mbagala kwa ajili ya biashara zao (warehouses, factories & yards) lakini sio kwa makazi yao.

Halafu huko Mbagala cheap labour ni wengi na ardhi ni bei rahisi ndo maana wanakuja kuwekeza

Baada ya hapo wanarudi zao Masaki, Mbezi Beach, Oysterbay, Mikocheni, Mbweni, Madale kupumzika na familia zao
Azam chamazi complex uwanja wa kisasa acha
Je Manji alikuwa anaishi mbagala?

Manji Diwani mbagala huku Anaishi Upanga.

huko Mbagala anafanya uwekezaji tu hasa biashara ya kupangisha ma Godown na yard za Malori
Ana hekalu la maaana sio nyumba
 
Tatizo lililopa Tanzania watu wengi wanatoa maoni yao kuhusu kitu chochote kile huwa kina kuwa driven by emotional sn kuliko uhalisia wa jambo husika na hilo ni tatizo.
Emotion hizo naona zilichagizwa na wimbo wa Mbagala wa miaka kama 12 nyuma, kiuhalisia sehemu za Dar zote zinfanana na hali za maisha hazitofautiani kabisa wapo masikini wa kutupwa na matajiri wa kutupwa kama ukisikiliza stori za watù kama vile huko Mbagala hakuna wanaoendesha Ma V8 na Hummer yaani ni watembea kwa mguu tu, mtu anasema biashara huko ni ya kudunduliza watu wanauza magari wameweka showroom zao na kwa kiasi kikubwa maeneo yana barabara za lami na taa za barabarani.
 
Fremu ni sehemu ya kuishi?

Mbagala kibiashara panafaa sababu pana population kubwa.

Ndio maana matajiri wanafanya biashara kariakoo.. ila huwa hawaishi kariakoo

Huu uzi unaongelea wastani wa ardhi kubwa ya mbagala inachelewa kupanda thamani hasa sehemu za kuishi mbagala ukiacha ardhi ndogoo iliyo sehemu za biashara.. sababu kuu ni middle class kwenye swala la kuishi huwa hawanunui viwanja mbagala ndio maana ardhi kubwa ya mbagala inakuwa haipandi bei.

Ni kipande kidogo sana cha mbagala ambapo ardhi yake ina thamanii..

Mbagala ni mji wa zamani sana.. ila zimekuja Goba, mabwepande , bunju etc thamani za ardhi zake zimepanda sana huku ardhi za mbagala zimeganda bei hazikui
Thamani ipi ya ardhi unazungumzia wakati huko kisemvule tu wachina wanauziwa maeneo kwa billioni
Huko Mbagala 20×20 tu kuna sehemu ni mil 40.
Kuna sehemu mtu anakabeach plot kanatazama bandari kama heka 2 anataka 2.5 billion unataka chukua hutaki acha. Hivi Dar eneo la bei rahisi unazani utalipata sehemu ambazo mji ushachangamka.
 
Maji matitu? Nayo ipo hovyo.
Pa hovyo, mpangilio wa vijumba. Vimebanana kama ndizi kwenye mkungu! Pa hovyo kabisa , napajua sana tena sana. Kule hakufai ni uswazi uliokubuhu
 
Kwa mtazamo wangu thamani hutokana na
1. Ugumu wa wenye ardhi kuuza au urahisi, utashangaa kiwanja ni ghali arusha kuliko dar japo dar kuna maendeleo zaidi sababu watu wa kaskazini hawana utamaduni wa kuuza ardhi.

2. Jamii iliyopo - mbagala imejaa jamii ya chini na pengine watu wenye asili ya kusini hivyo hata anaeuza na kununua wanaendana na hali halisi ya jamii husika. Pia kwao ardhi haina thamani sana ukizingatia hata huko kusini ardhi haitumiki sana kwenye uzalishaji kama kilimo.

3. Huduma muhimu kama usafiri, barabara, maji, umeme, shopping centers, mabaa, migahawa, mashule, mahospitali na miundo mbinu kwa ujumla. Mbagala inakosa baadhi ya hii miundo mbinu muhimu kuvutia wakazi.

4. Usalama

5. Mtazamo/brand au haiba - mbagala inasifa ya kuwa sehemu ya hali ya chini hata diamond aliimba "tatizo kwetu mbagala". Hii imewaaminisha watu wenye kipato kuona mbagala sio eneo la kuishi, kwa kuwa liko "branded" kama eneo.la kimaskini na hali ya chini.

6. Mipango miji....sijui kama kumepimwa na kupangwa au ni "squata" japo hili tatizo la karibia tanzania yote.


-
Umendika vema kabisa. hata wakipima , vijumba vilivyobanana huwezi kupafanya pawe na thamani! Watafanya kitu wanaita maboresho, ambacho hakitavunja vijumba hivyo na weka barabara, sehemu za wazi etc etc.
 
Kwamba huoni tofauti ya salasala na Mbagala ?

Madale na Chamanzi !!!


Akili zako ziko ICU


[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wewe ulipo sasa hivi nina uhakika umepanga wakati mimi nina nyumba na viwanja vikubwa vilivyonunuliwa tangu miaka ya 60s.
Get your damn brain out of your ass.
 
Mimi nilikuwa nafikiri ni Chama cha Nzi wa kijani.
Wengi ufananisha kati ya Kimanzichana na Chamazi, hivyo kuita Chamanzi.

Hasa type ya mtu kama Imhotep [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kuna mambo kadhaa yanaiheshimisha wilaya Kinondoni kuliko wilaya ya Temeke

(1) MAENEO YA KISHUA
•Ukija na list ya maeneo ya ushuani mengi yako wilaya ya Kinondoni

(2)VIWANJA VYA KULA BATA NA BURUDANI
•Ukitaja maeneo ya starehe yenye hadhi kwa Dar mengi yako Kinondoni

(3)NYUMBA ZENYE HADHI
•Hapa nazungumzia mijengo ya kifahari na ya kisasa. Temeke imeachwa kwa mbali sana

(4)KINONDONI INA MATAJIRI WENGI NA WENYE KIPATO CHA KATI
•Nadhani hapa wanangu wa wilaya ya Temeke sijui kama mtabisha

(5)BEI YA VIWANJA KWA SQUARE METRE
•Wilaya Kinondoni bei za viwanja iko juu

(6)MAENEO YA KUFANYIA SHOPPING, OUTING, MIGAHAWA MIZURI, HOTELS, LOUNGES, PUBS, NIGHT CLUBS, MADUKA MAKUBWA YA NGUO
•Ukizungumzia mambo kama malls, supermarkets na mini-supermarkets, na vingine vinavyohusiana na hapo juu wilaya ya Kinondoni ni mbabe kwa wilaya ya Temeke

(7)CELEBRITIES WAKUBWA, WANASIASA WAKUBWA, WAKURUGENZI KWENYE MAKAMPUNI MAKUBWA NA MASHIRIKA YA UMMA NA NGO's, MAPROFESSOR
•In short watu wenye hadhi wengi na wakubwa na waheshimiwa serikalini wanaishi wilaya ya Kinondoni. Sijui kama hapo wanangu wa Temeke mna la kubishia

(8)NI RAHISI KUZIONA NDINGA NYINGI KALI ZA GHARAMA UKIWA WILAYA YA KINONDONI KULIKO UKIWA WILAYA YA TEMEKE

(9)SHULE NYINGI PRIVATE ZA KISHUA HAPA DAR ZIKO WILAYA YA KINONDONI (kindergarten, daycares, primary hadi seco)
•Hii inaonyesha waliosogezewa huduma hiyo ni watu wa aina gani

Wanangu wa wilaya ya Kinondoni kama mna jambo la kuongeza ongezeni hapo na wanetu wa wilaya ya Temeke karibuni kuzipangua hizo hoja japo juu mkiweza
 
Kuna mambo kadhaa yanaiheshimisha wilaya Kinondoni kuliko wilaya ya Temeke

(1) MAENEO YA KISHUA
•Ukija na list ya maeneo ya ushuani mengi yako wilaya ya Kinondoni

(2)VIWANJA VYA KULA BATA NA BURUDANI
•Ukitaja maeneo ya starehe yenye hadhi kwa Dar mengi yako Kinondoni

(3)NYUMBA ZENYE HADHI
•Hapa nazungumzia mijengo ya kifahari na ya kisasa. Temeke imeachwa kwa mbali sana

(4)KINONDONI INA MATAJIRI WENGI NA WENYE KIPATO CHA KATI
•Nadhani hapa wanangu wa wilaya ya Temeke sijui kama mtabisha

(5)BEI YA VIWANJA KWA SQUARE METRE
•Wilaya Kinondoni bei za viwanja iko juu

(6)MAENEO YA KUFANYIA SHOPPING, OUTING, MIGAHAWA MIZURI, HOTELS, LOUNGES, PUBS, NIGHT CLUBS, MADUKA MAKUBWA YA NGUO
•Ukizungumzia mambo kama malls, supermarkets na mini-supermarkets, na vingine vinavyohusiana na hapo juu wilaya ya Kinondoni ni mbabe kwa wilaya ya Temeke

(7)CELEBRITIES WAKUBWA, WANASIASA WAKUBWA, WAKURUGENZI KWENYE MAKAMPUNI MAKUBWA NA MASHIRIKA YA UMMA NA NGO's, MAPROFESSOR
•In short watu wenye hadhi wengi na wakubwa na waheshimiwa serikalini wanaishi wilaya ya Kinondoni. Sijui kama hapo wanangu wa Temeke mna la kubishia

(8)NI RAHISI KUZIONA NDINGA NYINGI KALI ZA GHARAMA UKIWA WILAYA YA KINONDONI KULIKO UKIWA WILAYA YA TEMEKE

(9)SHULE NYINGI PRIVATE ZA KISHUA HAPA DAR ZIKO WILAYA YA KINONDONI (kindergarten, daycares, primary hadi seco)
•Hii inaonyesha waliosogezewa huduma hiyo ni watu wa aina gani

Wanangu wa wilaya ya Kinondoni kama mna jambo la kuongeza ongezeni hapo na wanetu wa wilaya ya Temeke karibuni kuzipangua hizo hoja japo juu mkiweza
Mwanamme jivunie chako, uko kinondoni, hata kitu cha milioni mbili, unachomiliki huna, alafu unajivunia kuishi kinondoni.
Ndiyo maana, mnashindana na Dada zenu, kupaka mafuta ya kuumua makalio.
Kwanza mada haihusiani kabisa kushindanisha Temeke na kinondoni.
 
Mwanamme jivunie chako, uko kinondoni, hata kitu cha milioni mbili, unachomiliki huna, alafu unajivunia kuishi kinondoni.
Ndiyo maana, mnashindana na Dada zenu, kupaka mafuta ya kuumua makalio.
Kwanza mada haihusiani kabisa kushindanisha Temeke na kinondoni.

Mwanamme jivunie chako, uko kinondoni, hata kitu cha milioni mbili, unachomiliki huna, alafu unajivunia kuishi kinondoni.
Ndiyo maana, mnashindana na Dada zenu, kupaka mafuta ya kuumua makalio.
Kwanza mada haihusiani kabisa kushindanisha Temeke na kinondoni.
🤣🤣🤣 povu ruksa mkuu
 
Halafu kitu cha kushangaza hadi hua najiuliza matajiri wengi wakubwa nchi hii ni waislamu na wafanyabiashara wazuri kwenye jiji kwa mfano la Dar ni waislamu lakini hali hiyo ya kutokua mbele ya muda inasababishwa na nini? Temeke na mbagala miji mikongwe kuliko kimara lakini kimara ni kuzuri sana
Sio kwamba Matajiri ni waislam, Hapana, ni kwamba Matajiri wa Tanzania ni watu Wa Asia (na wa Asia ambao ni wazawa ni Waarabu na Wahindi ambao majority ni Waislam).

Hebu nioneshe hao matajiri waislam ambao ni Wazawa/Weusi?
 
Back
Top Bottom