Goba next level , huyo anabonga hapajuiAcha uongo jamaa. Kwa kifupi Goba vibaka hakuna kama wako basi no wachache. Ni mara chache sana kukuta vijana wamekaa vijiweni; labda kama **** goba nyingine.
🤣🤣🤣Kuna wakati niliishi niliishi mbagala kizuiani...mpaka mchele utakaonunua dukani kwa mangi utakuta vikunguni vimefiamo au viko hai...
Vyumba Bei rahisi ila gharama za kujitibia kwa mganga itakuwa Bora upange kwingine...daily Nazi zinavunja makutano
agreed! Nitauza kijumba changu nitafute pengine. Lakini Kwa biashara ndogo ndogo kuna utitiri wa watu na hivyo wateja wengiKwa kifupi wilaya yote ya Temeke ardhi yake haina thamani. Uswahili mwingi sana na hali ya kipato pia na hali ya usalama hairidhishi
Huwezi kumshawishi mtu mwenye kipato chake kuishi wilaya ya Temeke na wakati anaona wilaya ya Kinondoni kuna maeneo kama Madale, Goba, Mivumoni, Salasala, Mbweni ni matulivu, yana usalama, yana hadhi na hakuna uswahili
Tatito la miji yenye waislamu wengi wanaamini ushirikina ndiyo maana hawafanyi maendeleo, mfano wakijenga nyumba nzuri wanarogana tabia ya waislamu hawapendi kuona mtu akipata mafanikioa wanachukia hawana ushindani wa kimaendeleo wenyewe roho zao ni za korosho kwenye maswala ya maendeleo.Anachojaribu kueleza ni kuwa maeneo mengi yenye waislamu wengi hayana maendeleo mfano miji ya zamani kama Pangani,Ujiji,Bagamoyo ,Kilwa nk ilitakiwa yawe majiji tena makubwa kuliko Dar,Arusha au Dodoma,au Mbeya,Kahama ,Mwanza nk
Lakini wakazi wake wengi waislamu sijajua shida nini wanasomeshana Alubadiri ili wasifanye maendeleo binafsi makubwa au ni nini? Sababu wengine unakuta pesa wanazo kibao na wasomi sana tu na pesa wanazo lakini hata nyumba tu wanazoishi haziakisi uwezo wa pesa walizonazo!! Tofauti na watu wa dini zingine kama wahindu ,Wakristo na wabudha au wakinga wasio na dini waabudu mizimu .Nyumba za waislamu wengi za kawaida mno !! Pesa wanapeleka wapi?
😂😂😂😂😂Vitu pekee ambavyo Waarabu waliwafundisha na mkaelewa kikamilifu ni KUCHAMBA.
Aisee, kila Muislamu anajivunia hilo.
Mbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa Mtwara ni kama Crimea na Urusi. Mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa Dar.
Soma kuelewa usisome ili ujibu,yeye ametaja mkoa mzima wa Mtwara hakutaja Wamakonde wewe unataja Kabila moja Wachagga unajiona ukiwa na hoja hapo?Kama Kimara inavokaliwa kibabe na wachaga
Hujajibu hoja, ad hominem argument ni dalili za kushindwa kujibu hojaWewe ni mgeni wa Dar ulivyofikia kwa dada yako hapo Goba ukaona ndo eneo zuri zaidi. Jitahidi dada awe anakuachia nauli kidogo uzunguke maeneo mengi hasa Temeke ujionee mijengo yenye hadhi ya New York.
Mimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa wagumu.Weka na mfano kidogo mkuu. Haina thamani kwa misingi ipi?
Mimi mleta mada nimejenga tena nina kiwanja kikubwa over 2000 sq m. lakini sioni pakibadirika.....Ukweli ukanda huo haujawahi nivutia kuishi kwa kuwekeza, japo huwa siweki agano la kukataa kujenga, sababu maisha hayatabitiki.
Uza au pangisha, biashara ndogo ndogo opportunities zipoagreed! Nitauza kijumba changu nitafute pengine. Lakini Kwa biashara ndogo ndogo kuna utitiri wa watu na hivyo wateja wengi
Exactly, nami nimejenga na kiwanga over 2000 sqm. lakini sioni mabadiriko na wa kumuuzia hayupo.Mimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa wagumu.
Mbagala ni changamoto aseeExactly, nami nimejenga na kiwanga over 2000 sqm. lakini sioni mabadiriko na wa kumuuzia hayupo.
Changamoto za MbagalaMimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa
Bongo yote uswazi,uzunguni sebuleni kwako na chumbani,ukitoka nje yaleyale tu.Kwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.