Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Kuna wakati niliishi niliishi mbagala kizuiani...mpaka mchele utakaonunua dukani kwa mangi utakuta vikunguni vimefiamo au viko hai...
Vyumba Bei rahisi ila gharama za kujitibia kwa mganga itakuwa Bora upange kwingine...daily Nazi zinavunja makutano
 
Kuna wakati niliishi niliishi mbagala kizuiani...mpaka mchele utakaonunua dukani kwa mangi utakuta vikunguni vimefiamo au viko hai...
Vyumba Bei rahisi ila gharama za kujitibia kwa mganga itakuwa Bora upange kwingine...daily Nazi zinavunja makutano
🤣🤣🤣
 
Kwa kifupi wilaya yote ya Temeke ardhi yake haina thamani. Uswahili mwingi sana na hali ya kipato pia na hali ya usalama hairidhishi

Huwezi kumshawishi mtu mwenye kipato chake kuishi wilaya ya Temeke na wakati anaona wilaya ya Kinondoni kuna maeneo kama Madale, Goba, Mivumoni, Salasala, Mbweni ni matulivu, yana usalama, yana hadhi na hakuna uswahili
agreed! Nitauza kijumba changu nitafute pengine. Lakini Kwa biashara ndogo ndogo kuna utitiri wa watu na hivyo wateja wengi
 
Anachojaribu kueleza ni kuwa maeneo mengi yenye waislamu wengi hayana maendeleo mfano miji ya zamani kama Pangani,Ujiji,Bagamoyo ,Kilwa nk ilitakiwa yawe majiji tena makubwa kuliko Dar,Arusha au Dodoma,au Mbeya,Kahama ,Mwanza nk

Lakini wakazi wake wengi waislamu sijajua shida nini wanasomeshana Alubadiri ili wasifanye maendeleo binafsi makubwa au ni nini? Sababu wengine unakuta pesa wanazo kibao na wasomi sana tu na pesa wanazo lakini hata nyumba tu wanazoishi haziakisi uwezo wa pesa walizonazo!! Tofauti na watu wa dini zingine kama wahindu ,Wakristo na wabudha au wakinga wasio na dini waabudu mizimu .Nyumba za waislamu wengi za kawaida mno !! Pesa wanapeleka wapi?
Tatito la miji yenye waislamu wengi wanaamini ushirikina ndiyo maana hawafanyi maendeleo, mfano wakijenga nyumba nzuri wanarogana tabia ya waislamu hawapendi kuona mtu akipata mafanikioa wanachukia hawana ushindani wa kimaendeleo wenyewe roho zao ni za korosho kwenye maswala ya maendeleo.
 
Mbagala ni jimbo linalokaliwa kibabe na mkoa wa Mtwara ni kama Crimea na Urusi. Mbagala haiko kwenye himaya ya mkoa wa Dar.
Kama Kimara inavokaliwa kibabe na wachaga
Soma kuelewa usisome ili ujibu,yeye ametaja mkoa mzima wa Mtwara hakutaja Wamakonde wewe unataja Kabila moja Wachagga unajiona ukiwa na hoja hapo?
 
Wewe ni mgeni wa Dar ulivyofikia kwa dada yako hapo Goba ukaona ndo eneo zuri zaidi. Jitahidi dada awe anakuachia nauli kidogo uzunguke maeneo mengi hasa Temeke ujionee mijengo yenye hadhi ya New York.
Hujajibu hoja, ad hominem argument ni dalili za kushindwa kujibu hoja
 
Weka na mfano kidogo mkuu. Haina thamani kwa misingi ipi?
Mimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa wagumu.
 
Ukweli ukanda huo haujawahi nivutia kuishi kwa kuwekeza, japo huwa siweki agano la kukataa kujenga, sababu maisha hayatabitiki.
Mimi mleta mada nimejenga tena nina kiwanja kikubwa over 2000 sq m. lakini sioni pakibadirika.....
 
Mimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa wagumu.
Exactly, nami nimejenga na kiwanga over 2000 sqm. lakini sioni mabadiriko na wa kumuuzia hayupo.
 
Mimi nina eneo mita za mraba 640. Kuna nyumba isiyokamilika ya vyumba 4 na sebule. vyumba vitatu mtu anaweza akaishi. nimeweka umeme. Nimejaribu kuuza kwa milioni 40 sijapata mteja. NI dakika 7 hadi 10 kufika kituo cha basi rangitatu na nyumba za eneo zina mpangilio mzuri. HEBU ONA KUSIVYO NA THAMANI JAPO HATI YA MAKAZI NAYO IPO. Benki ukitaka mkopo uweke dhamana wanakuwa
Changamoto za Mbagala
 
Back
Top Bottom