Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?

Mudi amewapoteza sana nyie watu! Kuchamba ni mabo ambayo mtu hafundishwi. Ndiyo maana mnatembea na chapaza maji akimaliza kukojoa anaosha dhakari na anus na bila sabuni anarudi kuepana mikono na watu. halafu mnajisifu ustaarabu. mwarabu hajawahi kuwa mstaarabu
 
kwa biashara ndogo ndogo you are right! short of that hapafai
 
Sasa mtu wa maana akiemda huko ataishi vipi unafikiri, maana wachawi wote watakuangalia wewe, wezi wote watakutolea macho wewe, vibaka na majambazi macho yote kwako, omba omba na wapiga vibomu wote kwako, tell me, utaishi vipi hapo?
 
Haiko standard kijichi gani huko.kulikojaa uswahili kuanzia unapoingia maeneo ya kuingia kuelekea huko kuanzia mbagala mission ,sijui mgeni nani nk

Mtu hata ukiambiwa huko mbele Luna majumba ya nguvu hata hamu ya kwenda huna!!
Tatizo la kijichi ni kupita uko uswahilin
 
Ukikutana na sisi utashangaa mkuu, tumepaukaaaa!
 
Mwai Kibaki road formerly Old Bagamoyo road, point ni kuwa Temeke iko nyuma kwa hapa Dar
Siko hapa kubishana mkuu. Temeke mwananyamala, goba, mbezi kimara, kwa mpalange, kigogo, tabata, tandale sijui.. kote ni uswazi tu. Usijitoe kwenye kundi eti unakaa goba. Mbona hayo mambo prof. LUGALA kayaandika. Research za ardhi chuo kikuu ardhi zinatoa mpaka saabbu
 
Mbona watu wanasema jamii ya ukanda wa pwani ndiyo wastaarabu na ustaarabu ndiyo jadi yao Wabara wao wanaiga tu ustaarabu?
 
Mbona Dar yote uko sawa tu, sioni tofauti kubwa. Ukifika kimara wala hakuna mipango miji yoyote, sioni sewage system kimara wala mbezi "kwa wachagga", sioni barabara nzuri, sioni supermarkets zaidi sana ni vibanda vingi vya mangi na uchafu mwingi kama ilivyo kawaida ya mtanzania, ni mchafu mchafu tu wa mazingira.
 
Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Thamani ya ardhi ni pamoja na-
-urahisi wa kufika huko(Mbagala iko DSM, lakini kufika huko ni masaa mawili hadi 3)
-aina ya majirani na kipato chao(Mbagala wananchi wengi wa kipato cha chini)
-biashara zilizopo(predominantly machinga)
-miundombinu ya maji, umeme
-hali ya usalama (panya rodi wanazalishwa wapi)

n.k.....n.k....n.k....!
Halafu kw Mbagala linganisha na Goba kwa vitu vyote hivyo.
 
Huwezi fananisha na Mbagala
 
Goba, madale in short maisha expensive sana kuanzia vyumba mpaka vitu vya kawaida
 
Mwanangu una silibaa
[emoji1]
Mm nafatilia cmnt tu

Ova

Kaamua kuwasagia kunguni japo ndugu zangu katika imani maeneo mengi kiukweli walipo maendeleo yakuonekana ni kidogo sana .
 

Halafu kitu cha kushangaza hadi hua najiuliza matajiri wengi wakubwa nchi hii ni waislamu na wafanyabiashara wazuri kwenye jiji kwa mfano la Dar ni waislamu lakini hali hiyo ya kutokua mbele ya muda inasababishwa na nini? Temeke na mbagala miji mikongwe kuliko kimara lakini kimara ni kuzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…