Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani ?... Civilization kwako unatafsiri vipi ?... Au kuishi kama wazungu wa Ulaya magharibi na Marekani kaskazini ?Uncivilized population. Hii ni factor muhimu
Waislam dunia sio mahala pao pa starehe hapa ni jahanamu, targert yao sio duniani, kwa hiyo hizo dini ulizotaja zina haki ya kustarehe duniani, ambapo maisha yake ni mafupi, watu wana targert za milele.Anachojaribu kueleza ni kuwa maeneo mengi yenye waislamu wengi hayana maendeleo mfano miji ya zamani kama Pangani,Ujiji,Bagamoyo ,Kilwa nk ilitakiwa yawe majiji tena makubwa kuliko Dar,Arusha au Dodoma,au Mbeya,Kahama ,Mwanza nk
Lakini wakazi wake wengi waislamu sijajua shida nini wanasomeshana Alubadiri ili wasifanye maendeleo binafsi makubwa au ni nini? Sababu wengine unakuta pesa wanazo kibao na wasomi sana tu na pesa wanazo lakini hata nyumba tu wanazoishi haziakisi uwezo wa pesa walizonazo!! Tofauti na watu wa dini zingine kama wahindu ,Wakristo na wabudha au wakinga wasio na dini waabudu mizimu .Nyumba za waislamu wengi za kawaida mno !! Pesa wanapeleka wapi?
Sio kweli, ukibahatika kutembelea mataifa ya kiislamu ya ghuba hutaandika hivi.Uislam ukishamiri mahali tegemea yote hayo
You might be right! Sehemu ambazo hazijapimwa vema ni shida . Mrundikano wa vijumba, ie vianja kama maeneo ya kujenga choo, na ustaarabu wa watu, uncivilised people. Mbagala ni wamakonde, wang'indo, wamatumbi wa Kilwa, Lindi Mtwara. Usitegemee ustaarabu kwa watu tpka huko.Kwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Mimi napapenda pana misambwanda ya kufa mtu. Mambo ya civilisation tuwaachie wazungu na maisha yao.Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Nakuunga mkono tazama kariakoo, magomeni, kimara ni yale yale tu.Kwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Unakubalika matakwa yako, mtu akipendachoMimi napapenda pana misambwanda ya kufa mtu. Mambo ya civilisation tuwaachie wazungu na maisha yao.
Huku kunabebwa na population, population pia upandisha thamani ya eneoBuguruni, Mwananyamala, Tandale na Manzese ni USWAHILINI kuliko Mbagala na Gongolamboto.
Uko sahihi kabisa kabisa. Umenifurahisha na andiko lakoWaislam dunia sio mahala pao pa starehe hapa ni jahanamu, targert yao sio duniani, kwa hiyo hizo dini ulizotaja zina haki ya kustarehe duniani, ambapo maisha yake ni mafupi, watu wana targert za milele.
Ngoja waje wa Mudi, utakoma kuandika habari za MudiUislam ukishamiri mahali tegemea yote hayo
Kijichi ipo Kata ya Mbagala. Kijichi ni MbagalaKijichi ni mtoni Sio mbagala
Kijichi kumepangwa vema na kuna watu sensibleKijichi ipo Kata ya Mbagala. Kijichi ni Mbagala
Kwa hapa Dar asilimia kubwa ya watu wenye pesa zao unawapata Morogoro road na Bagamoyo roadShanty town kule aka uswazi
Ardhi imejaa mchanga wanakaa wazembe.
Wajanja wote wako morogoro road na bagamoyo road
Kuna wakati ninyi wenye dini yenu mnakuwa kama ”wapumbavu na mambumbumbu”,sote tunajua binadamu yeyote kadiri anavyokua ndivyo anavyozidi kupata maarifa ya kutumia nyenzo zilizo karibu naye kama maji sasa huo ujinga wa kujisifia kufundisha watu namna ya kujisafisha uchafu wakitoka haja kubwa mnaouringia watu wameutumia miaka na miaka tena wakiwa huko huko kwao bara.Waislamu mwaka huu watakoma.......yameibuka mashambulizi juu yao hata sielewi kisa ni nini?!!! Ni kejeli, ni matusi, ni shari juu yao mwanzo mwisho. Wengine wanaotukana ni wale waliofundishwa na waislamu hao hao namna ya kuvaa, kuongea na hata ustaarabu wa kuchamba Walitoka kwao bara huko wakilalia ngozi mbichi za ng'ombe huku wengine wakikaa uchi pamoja na dada zao huku wakitumia magunzi ya mahindi kuchambia. Wakafika pwani (kwa waislamu) wakapokelewa na kuelekezwa wajihi wa kibinadamu ukoje hadi kuelewa, leo wanawatukana bila sababu.
M/Mungu atie wepesi wapite mtihani huu pia kama walivyopita mingine!
Sehemu kubwa ya watu wa Dar hupata mahitaji yao huko mbagala kwa bei ya shamba! Mihogo, nyanya, vitunguu, ndizi, viazi, nk huuzwa kwa bei rahisi mno kama uko kijijini kabisa! Mama lishe pia huuza kwa bei ndogo sana! Ila mzunguko wa pesa huko ni mkubwa sana!Miaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?