Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kuna hiyo mbweni na bahari beach ni pazuri sanaKwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hiyo mbweni na bahari beach ni pazuri sanaKwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Sawa msomiNatumia sayansi jamii na theory zake kukuelezea na kuweka Sawa hoja ili Kuna vitu uweze kuvitendea haki ukiwa unafikiria. Wewe unatumia UCHAWI. KALAGA BAHO
Kwenye jamii Kuna matabaka, kwa Tanzania matajiri wakubwa ni waislamu hilo halina ubishi, ila Kuna upper middle class hapa Kuna wakristo wengi Ila waislamu wachache, Kuna lower middle class hapa ni mchanganyiko na poor hapa napo ni mchanganyikoHalafu kitu cha kushangaza hadi hua najiuliza matajiri wengi wakubwa nchi hii ni waislamu na wafanyabiashara wazuri kwenye jiji kwa mfano la Dar ni waislamu lakini hali hiyo ya kutokua mbele ya muda inasababishwa na nini? Temeke na mbagala miji mikongwe kuliko kimara lakini kimara ni kuzuri sana
Mkuu mtaani hali ni shwari tu ila hapa jf huwa Kuna misimu, msimu wa "siasa" ukigoma kama sasa hivi kadema CCM nk hawana jipya sasa upepo umeelekea mwenye DINI!Waislamu mwaka huu watakoma.......yameibuka mashambulizi juu yao hata sielewi kisa ni nini?!!! Ni kejeli, ni matusi, ni shari juu yao mwanzo mwisho. Wengine wanaotukana ni wale waliofundishwa na waislamu hao hao namna ya kuvaa, kuongea na hata ustaarabu wa kuchamba. Walitoka kwao bara huko wakilalia ngozi mbichi za ng'ombe huku wengine wakikaa uchi pamoja na dada zao huku wakitumia magunzi ya mahindi kuchambia. Wakafika pwani (kwa waislamu) wakapokelewa na kuelekezwa wajihi wa kibinadamu ukoje hadi kuelewa, leo wanawatukana bila sababu.
M/Mungu atie wepesi wapite mtihani huu pia kama walivyopita mingine!
Kwa tuliozaliwa Dar me najionea sawa tu labda wanaoishi obey, masaki na upanga. Kuliko baki ni yaleyale tu.
Nenda vingunguti, manzese, tandale hiyo kinondoni yenyewe kuna maeneo na maeneo kinondoni ksiwani mabondeni huko kabali nje nje, nenda mwananyamala kwa mnyamani halafu rudi hapa. Wengi wenu hamuijui Dar mnaisikia tu kwenye taarifa ya habari zunguka Dar nzima ndio uje ukanushe.Kuwa serious kidogo mkuu
Kinachoongeza thamani ya ardhi ni hadhi ya watu wanaoenda kujenga huko!!!… sasa mbagala walala hoi wamejaaa nai aipe thamaniMiaka nenda miaka rudi, ardhi ya Mbagala imekuwa haina thamani pamoja na kuwa na watu wengi. Nenda Goba, kivumbi.... miji ya juzi. Mbagala ya zamani haina hadhi mpaka leo. kwanini?
Hizo story umetoa wapi? Kutoka mbagala mpaka mjini ni dk 30 tu.Thamani ya ardhi ni pamoja na-
-urahisi wa kufika huko(Mbagala iko DSM, lakini kufika huko ni masaa mawili hadi 3)
Mbagala kuna branches zote za bank unazozijua wewe unapata wapi guts za kusema hivyo?-aina ya majirani na kipato chao(Mbagala wananchi wengi wa kipato cha chini)
-biashara zilizopo(predominantly machinga)
Miundo mbinu ya maji huwezi kulinganisha na sehemu yoyote ile' mbagala haijawahi kuwa na changamoto ya maji hata siku moja-miundombinu ya maji, umeme
Mbagala hapajawahi kuwa na panya road panya road wapo temeke,buza, yombo,gongo la mboto na kitunda-hali ya usalama (panya rodi wanazalishwa wapi)
Hebu niambie hiyo goba yako Ina branches zote za bank kushinda mbagala? Uko goba c ndio kila siku watu wanalia na mgao wa maji.n.k.....n.k....n.k....!
Halafu kw Mbagala linganisha na Goba kwa vitu vyote hivyo.
Acha kukariri watu wametoka Upanga nini kino na wako mbagala.Halafu iko hivi mtu ambaye amezaliwa na kukulia wilaya ya Kinondoni au ambaye ameishi wilaya ya Kinondoni kwa muda fulani ni ngumu sana kufikiria anunue eneo ajenge na kuishi wilaya ya Temeke
Hatukatai ila Temeke ndo inaongoza kwa hizo mambo.Nenda vingunguti, manzese, tandale hiyo kinondoni yenyewe kuna maeneo na maeneo kinondoni ksiwani mabondeni huko kabali nje nje, nenda mwananyamala kwa mnyamani halafu rudi hapa. Wengi wenu hamuijui Dar mnaisikia tu kwenye taarifa ya habari zunguka Dar nzima ndio uje ukanushe.
Upanga iko wilaya ya Ilala mkuuAcha kukariri watu wametoka Upanga nini kino na wako mbagala.
Sio kweli, ukibahatika kutembelea mataifa ya kiislamu ya ghuba hutaandika hivi.
Vingunguti iko ilala unajingine! Au Jiografia yako inakwambia vingunguti iko Temeke?Hatukatai ila Temeke ndo inaongoza kwa hizo mambo.
Wewe unaijua Dar unataka kutuambia Vingunguti iko wilaya Kinondoni?? 🤣🤣🤣
Umekimbia jukwaa letuHauwezi kufananisha thamani ya ardhi ya wilaya ya Temeke na Kinondoni
Baki hivyo wakati akina Manji mabilionea walikuwa na maeneo hadi kuwa diwani wa Mbagala kuu.hakuna mtu mwenye "pesa" zake ananunua huko. au mtu wa hadhi anayetafuta kiwanja mbagala
Baki hivyo wakati akina Manji mabilionea walikuwa na maeneo hadi kuwa diwani wa Mbagala kuu.
Kimara kuna uzuri gani mkuu? Au unapozungumzia uzuri wa eneo una maana gani?Halafu kitu cha kushangaza hadi hua najiuliza matajiri wengi wakubwa nchi hii ni waislamu na wafanyabiashara wazuri kwenye jiji kwa mfano la Dar ni waislamu lakini hali hiyo ya kutokua mbele ya muda inasababishwa na nini? Temeke na mbagala miji mikongwe kuliko kimara lakini kimara ni kuzuri sana
Lkn umeonaje maendeleo yao kama NCHI?Mataifa ya kiislam ya ghuba yote hayana demokrasia.
Huko saudi arabia wananchi hawana haki wanatawaliwa kibabe na ukoo mmoja tu. Wakikosoa wanakatwa shingo mfano khashoggi..
Kuna dada aligoma kuolewa na mzee maana dini inaruhusu, wakataka kumuua akakimbila canada
Hakuna nchi inayofata shariah za kiislamu hata moja ambayo inafata demokrasia... hakuna ambayo rais anachaguliwa kwa kupigiwa kura.
Yaani ni ukoo mmoja tu ndio unaendesha nchi kama family business vile
Sisi tunazungumzia maeneo yaliyo wilaya ya Kinondoni na Temeke hatuzungumzii Ilala.Vingunguti iko ilala unajingine! Au Jiografia yako inakwambia vingunguti iko Temeke?
Ushabiki maandazi mwingi kule halafu watu wnalishwa matango pori wanaamini