Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Wakiwemo wanaofanya kazi kwenye mabenkiMoja kwa moja
Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
🤣Leo mpaka muelewe 😜Duh JF ni kiza kinene!
🤣wameshtuka balaa😜[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana
🤣ke mkuu🤨Kuna dada ulitongoza? Kwa hiyo ww ni ke au me?
Mimi napinga hata kuwapa wanawake ujumbe wa nyumba kumi ...ni ujinga mtaani kunakuwa na majungu mengi kutokana na wanawake kuwa wajumbe na viongozi wa serikali za mitaaMoja kwa moja
Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.
Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"
Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .
Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukitaka kuhakikisha zaidi asemacho mtoa mada tembelea masjara ya mkuu wa wilaya Nyamagana- Mwanza,, pale kuna lundo la maneno machafu na ukali usio sababu yupo mama mmja mbaya mkologo umedunda alafu nahisi ana ukimwi yule maninaa zake.
Ungevaa hiyo suruali yako hapo kwenye dp ukaning'iniza funguo ya gari sidhani kama angekukataa to yeyeUkimtomgoza akatae ndo weee [emoji849] Kuna dada nilitongoza ofisini hakika najuta mpaka sasa,ofisi imekuwa chungu Kwa vijembe[emoji26]
Kuna siku nilikuwa kituo Cha afya wanawake walikuwa wengi wakisubiri kuingia kwa daktari mwanaume huku upande mwingine wa bench ukiwa na wagonjwa wachache kuelekea kwa daktari mwanamke muhudumu wa pale aliuliza kwanini mnajazana upande mmoja!?hamieni huku Lakini hakuna aliyejigusa bahati nzuri zamu ya yule daktari wa kike ulikuwa umeisha akampokea badala yake daktari wa kiume pale pale mabench yakawa na uwiano sawiaMoja kwa moja
Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.
Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"
Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .
Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Inabidi kwa sisi askari tuje na magwanda sasa kwenye hizo ofisi zenu nadhani hii itapunguzaHiyo Huwa ni defensive mechanism maana kikawaida sisi wanawake Huwa ni wadhaifu
Ndio muache dharau jamani, lasivyo tutawatongoza tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana
Ni changamoto sana. Pole sana ndugu yangu. Hili tatizo si la kukaliwa kimya.Tena sana ,kuna ofisi moja nilivaa kilemba kichwani nilimkuta mwanamke alishambulia mpaka kivazi nilichovaa kichwani tena kwa ukali ilinisikitisha sana.
Njoo PM mtoto mzuri[emoji1787][emoji1787]ke mkuu[emoji2955]
We ni me au ke unaniacha njia pandaUkimtomgoza akatae ndo weee [emoji849] Kuna dada nilitongoza ofisini hakika najuta mpaka sasa,ofisi imekuwa chungu Kwa vijembe[emoji26]
Usijali cute wangu...naja😜Njoo PM mtoto mzuri[emoji1787]