Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Wakiwemo wanaofanya kazi kwenye mabenki
Aisee....
Nikiwa na shida na miamala kama kulipa ada, n.k...bora nimalizie kwenye simu tu
 
Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.

Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"

Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .

Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Mimi napinga hata kuwapa wanawake ujumbe wa nyumba kumi ...ni ujinga mtaani kunakuwa na majungu mengi kutokana na wanawake kuwa wajumbe na viongozi wa serikali za mitaa
 
Ukitaka kuhakikisha zaidi asemacho mtoa mada tembelea masjara ya mkuu wa wilaya Nyamagana- Mwanza,, pale kuna lundo la maneno machafu na ukali usio sababu yupo mama mmja mbaya mkologo umedunda alafu nahisi ana ukimwi yule maninaa zake.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi huwa wanaona mtu anaekuja kufata huduma kwa muda huo anashida saaaana yani utake usitake utahudumiwa na yeye tu hutaki sepaa! na kujiona wamefika halafu pia wengine wanakuaga wanavimba sababu wanal!wa na maboss, wakurungenzi, mameneja zao.
 
Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.

Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"

Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .

Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Kuna siku nilikuwa kituo Cha afya wanawake walikuwa wengi wakisubiri kuingia kwa daktari mwanaume huku upande mwingine wa bench ukiwa na wagonjwa wachache kuelekea kwa daktari mwanamke muhudumu wa pale aliuliza kwanini mnajazana upande mmoja!?hamieni huku Lakini hakuna aliyejigusa bahati nzuri zamu ya yule daktari wa kike ulikuwa umeisha akampokea badala yake daktari wa kiume pale pale mabench yakawa na uwiano sawia
 
Tena sana ,kuna ofisi moja nilivaa kilemba kichwani nilimkuta mwanamke alishambulia mpaka kivazi nilichovaa kichwani tena kwa ukali ilinisikitisha sana.
Ni changamoto sana. Pole sana ndugu yangu. Hili tatizo si la kukaliwa kimya.
 
Ndivyo walivyo. Wanapenda kunyenyekewa, hata kama (Mwanamke) kaishia kidato Cha nne na wewe Elimu yako ni ya Chuo kikuu lakini bado mwanamke atjiona Yuko juu ilimradi tu ajione Yuko katika ofisi nzuri (mfano, masijara).
 
Back
Top Bottom