Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

Wanawake wengi ni vyakula vya mabosi hivyo hujawa na kiburi na majivuno kuwa hakuna wa kumfanya chochote.
 
Mi haikuwa ofisini hata, I mean sio ofisi za serikali ni hawa makondakta kwenye ofisi za mabasi ya wilayani.

Alikuwa wa kike na mimi nimekuta mzigo wangu umeondoka na basi kimakosa lakini huyu dada hakutaka kabisa kufuatilia ananiambia eti 'tafuta namba za dreva au konda aliyeondoka umpigie' kumuomba yeye hata namba ye hana!!! nitafute?

Nikashangaa kupewa kazi ya ofisi yake mimi tena mteja! ni uvivu au ni nini hiki?

Ilibidi nitafute mwenyewe, nitafute na sababu ya kuuelewa na kuusamehe huo uvivu wake na niliipata kubwa tu; alikuwa na mimba kubwa tu. Nikashindwa nimmaindi yeye, au bosi wake kutompa likizo[ila atampaje likizo na mshahara ni deiwaka]?, au mwanaume wake? [labda hahudumii mimba].... au maisha magumu [labda hela haitoshi hiyo ya mwanaume wake? All in all niliupata mzigo baadaye.

Vingine tuwaelewe tu wanazidiwa majukumu samtaimu kibaiolojia na kijamii tena tunawaongeza na kiuchumi lazima system izingue tu.
 
Sawa dada ila simamia jinsia yako ili uwe kiigizo chema kwa wanao
Sikumtongoza mbele ya wanangu, nilimtoaga out ya kishost halafu nikatema mistari, akashtuka then akanipromise at night ilikuwa jioni muda huo ... lakini Cha ajabu usiku simu ikawa busy nadhan aliniblock☹️,kesho yake akaanza mafumbo ofisini🙄😏
 
Sikumtongoza mbele ya wanangu,nilimtoaga out ya kishost afu nikatema mistari,akashtuka then akanipromise at night ilikuwa jioni muda huo ...lakini Cha ajabu usiku simu ikawa busy nadhan aliniblock☹️,kesho yake akaanza mafumbo ofisini🙄😏
Aisee..
 
Kuna member avatar yake ina picha ya lijamaa lenye kipara, naona muda wote anatype, nimesoma page 1-4 anatype tu.

Mkuu unatype gazeti??
 
Watongozeni....wapeni haki yao ya msingi tu

Ova
 
Ndio muache dharau jamani, lasivyo tutawatongoza tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenifaanya nicheke kwa nguvu..Hivi Ikitokea si unaanza kukemea pepo bila kutarajia?[emoji2]
Halafu dharau kwenye kazi za Watu sasa... Hapana.
 
Moja kwa moja

Kwa utafiti wangu mfupi usio rasmi niliofanya mimi binafsi kupitia stori na watu mbalimbali, vijiweni, mitandaoni nk. nimegundua mara watu wengi wakilalama kuwa wanapata wakati mgumu mara nyingi wakihudumiwa na watumishi wakike tofauti na wakiume kutokana na jinsi wanavyoreact katika kuhudumia wahitaji.

Mimi binafsi kuna nilikuwa nafuatilia kitambulisho cha uraia NIDA katika moja ya ofisi zao ikatokea kuchaguliwa watu kama wa tano kuingia chumba fulani baada ya kufika mtumishe wa kike alianza kusema kwa ukali "mmefika baada mkae kwenye benchi mnaanza kuganda kama masanamu nyinyi ni watu wa aina gani"

Haikupaswa yeye kutoa kauli kama hiyo tena kwa ukali wakati kuna watu waliokuzidi umri tena wazee bali alipaswa kutuelekeza mahali pa kukaa kwani mabenchi yalitengwa na watu wanakaa sehemu husika kutokana na shida zao .

Kwa kumalizia hali kama hii haipo sehemu moja kwani nimeshuhudia sehemu kibao ikiwemo Rita .Sasa sijui wanawake wanakua na matatizo gani kupelekea hali hiyo mpaka wakati mwingine mtu unajiuliza kama ulishawahi kumkwaza siku fulani au la ..
Tatizo linaanzia kwenu mnaopewa huduma, mnaitwa sanamu hafu mnakaa kimya mlitakiwa kureact immediately.
hawaachi nyondo kwa sababu tunawachekea.
 
Back
Top Bottom