Kwanini askari wa chini JWTZ awasiliane na DCI?

Kwanini askari wa chini JWTZ awasiliane na DCI?

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Ni suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake.

Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI?

Ni kwanini mwanajeshi alifanya kazi ya upolisi wakati polisi wapo? Je, Command yake ilijua haya aliyokuwa akiyafanya?

Kwenye level ya DCI, Urio hawezi kufanya kazi na Boaz bila Gen. Mabeyo kujua

Je, alifanya haya binafsi kukichafua jeshi au kwa maslahi ya nani? Inafikirisha maana inaonesha wazi ni shahidi wa kutengeneza.
 
FKBHozeXEAQ2E8p.jpg

Huyu Urio ni tatizo
 
swali la msingi je mbowe na kamanda urio walikuwa wakifanya hivyo vikao?
 
Najiuliza swali moja, why aliamua kuwatumia wana kuwaingiza mkenge.. ilhali kuna watu ( ndani ya vitengo vyao) angepenyezewa bwana Mbowe.. hapa ndio ananiacha hoi kabisa akili mwangu.. kila niki digest sipati majibu.. kwanini atumie watovu wa nidhamu kufanya jambo nyeti kama lile
 
😀😀 😀😀 jamaa kama askari tena special force tena ni luteni katoa boko la maana
😄😄 Ila nimejifunza kitu mzee,kumbe sio kila deal mtu analokuitia anafanya kwa roho nzuri kumbe saa nyingine anakupeleka motoni.

Ukicheki hao washkaji makomandoo wastaafu walikua wanafanya kazi decent kabisa,Kuna ambae alikua Ni mkulima wa mahindi, mwingine Ni dereva wa hizi gari za IT, mwingine Yuko Kule Moro na Wale jamaa wa Yepi Merkezi.

Mkuda kawaita masela wanajua jamaa anawapa mchongo wa maana kumbe anawapeleka motoni kimakusudi.
 
swali la msingi je mbowe na kamanda urio walikuwa wakifanya hivyo vikao?
Ndo utuletee uthibitisho wewe Lt Urio Homuboi. Maana unasema hata dereva tax aliyekubeba humkumbuki na hujui alilipwa kiasi gani. Hujawahi hata kurekodi chochote na mteja wako. Basi tuseme ulinogewa na ahadi ya cheo kikubwa baada ya Mbowe kuwa Rais? Maana hukuwahi kudfaidi zaidi ya chenji 4000/- ulizobaki nazo baada ya kuwapa 195000 toka 199000.
 
😄😄 Ila nimejifunza kitu mzee,kumbe sio kila deal mtu analokuitia anafanya kwa roho nzuri kumbe saa nyingine anakupeleka motoni.

Ukicheki hao washkaji makomandoo wastaafu walikua wanafanya kazi decent kabisa,Kuna ambae alikua Ni mkulima wa mahindi, mwingine Ni dereva wa hizi gari za IT, mwingine Yuko Kule Moro na Wale jamaa wa Yepi Merkezi.

Mkuda kawaita masela wanajua jamaa anawapa mchongo wa maana kumbe anawapeleka motoni kimakusudi.
Michongo mingine nuksi, inanikumbusha nilipewa kazi flani.. ile kazi ilinifirisi nikaanza sifuri. Mtu anajua hili pila la moto anakupa tu 😀😀😀.. ila urio kazingua sanaaa.. kuna watu specia na wenye hiyo kazi ndio walitwaki apenyezewe mwamba, hili la kuokota watu kutoka kitaa anatia mashakaa.. labda kama wana nao ni undercover 😀😀😀
 
[emoji1][emoji1] Ila nimejifunza kitu mzee,kumbe sio kila deal mtu analokuitia anafanya kwa roho nzuri kumbe saa nyingine anakupeleka motoni.

Ukicheki hao washkaji makomandoo wastaafu walikua wanafanya kazi decent kabisa,Kuna ambae alikua Ni mkulima wa mahindi, mwingine Ni dereva wa hizi gari za IT, mwingine Yuko Kule Moro na Wale jamaa wa Yepi Merkezi.

Mkuda kawaita masela wanajua jamaa anawapa mchongo wa maana kumbe anawapeleka motoni kimakusudi.
Hawa jamaa wakitoka wasipomfanyizia Urio watakuwa mafala. Wakifungwa ndugu zào Wazae na Urio.
 
Back
Top Bottom