Kwanini askari wa chini JWTZ awasiliane na DCI?

Kwanini askari wa chini JWTZ awasiliane na DCI?

Sasa Kati ya kamanda urio na nyie Nani anayetakiwa kuleta uthibitisho?
Mwenzenu amesema mbowe alikuwa anampigia simu,alimuita mikocheni akamwamb amtafutie vijana wa kazi,akamtumia na hela.
Sasa ninyi ndo mnatakiwa mlete uthibitisho kuwa kamansa urio NI MUONGO.hayo mbowe hakuyafanya.
Mbona vitu vipo wazi tu.
Mnakwama. Wapi?
Ndo utuletee uthibitisho wewe Lt Urio Homuboi. Maana unasema hata dereva tax aliyekubeba humkumbuki na hujui alilipwa kiasi gani. Hujawahi hata kurekodi chochote na mteja wako. Basi tuseme ulinogewa na ahadi ya cheo kikubwa baada ya Mbowe kuwa Rais? Maana hukuwahi kudfaidi zaidi ya chenji 4000/- ulizobaki nazo baada ya kuwapa 195000 toka 199000.
 
Ni suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake.

Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI?

Ni kwanini mwanajeshi alifanya kazi ya upolisi wakati polisi wapo? Je, Command yake ilijua haya aliyokuwa akiyafanya?

Kwenye level ya DCI, Urio hawezi kufanya kazi na Boaz bila Gen. Mabeyo kujua

Je, alifanya haya binafsi kukichafua jeshi au kwa maslahi ya nani? Inafikirisha maana inaonesha wazi ni shahidi wa kutengeneza.
.... usiwe na shaka mkuu; hayo yote na zaidi atamweleza jaji na dunia ilikuwaje hadi akatenda hayo. No stone will be left unturned!
 
Najiuliza swali moja, why aliamua kuwatumia wana kuwaingiza mkenge.. ilhali kuna watu ( ndani ya vitengo vyao) angepenyezewa bwana Mbowe.. hapa ndio ananiacha hoi kabisa akili mwangu.. kila niki digest sipati majibu.. kwanini atumie watovu wa nidhamu kufanya jambo nyeti kama lile
It means labda wangefanikisha kama walivyoagizwa, wangerudishwa jeshini.
 
Sasa mbona hausemi ukweli ni upi?
kamanda urio anasema alikutana na mbowe mikocheni haya tuambie Kama kamanda ni muongo
Mbowe ni Mwenyekiti wa CDM, mbowe ni baba wa familia, mbowe alikuwa KUB.. anakutana na watu wengi na kwa madhumuni mengi na si rahisi kukumbuka wote..Urio akapimwe akili huenda nae ana utovu wa nidhamu kama hao wenzake anaosema wana utovu wa nidhamu.. huenda ame kengeuka
 
It means labda wangefanikisha kama walivyoagizwa, wangerudishwa jeshini.
Jeshini huwa wana utaratibu wa kurudisha watu wemye utovu wa nidhamu?.. hilo inaonekana halifanyiki ndio maana kwa maelezo ya Urio jamaa wanasema walikengeuka.. hapo ndio kuna maswali zaidi? waamini kurudishwa kazini ( waliondoka kwa utovu wa nidhamu) na wakati huo huo wakengeuke na wato taarifa kwa mtu ambae.... kuna maswali mengi sana.. leo bwa Urio kazi anayo..
 
Hizo ni shutuma.
mtu mpaka anamuita home boy upo wapi?
Njoo mikocheni,anapanga nae mipango anamtumia hela.
Kaka kweli?
Na messa za wishing alikuwa anamtumia.
Na yeye mbowe ndiye aliyemtafuta kamanda urio.
Mimi sitaki kushikiwa akili.
Mbowe ni Mwenyekiti wa CDM, mbowe ni baba wa familia, mbowe alikuwa KUB.. anakutana na watu wengi na kwa madhumuni mengi na si rahisi kukumbuka wote..Urio akapimwe akili huenda nae ana utovu wa nidhamu kama hao wenzake anaosema wana utovu wa nidhamu.. huenda ame kengeuka
 
Hizo ni shutuma.
mtu mpaka anamuita home boy upo wapi?
Njoo mikocheni,anapanga nae mipango anamtumia hela.
Kaka kweli?
Na messa za wishing alikuwa anamtumia.
Na yeye mbowe ndiye aliyemtafuta kamanda urio.
Mimi sitaki kushikiwa akili.
Hayo ni maelezo ya urio.. Umemsikia mbowe upande wa pili? lazima mwisho wa siku kuwe na balance.. Urio anasema wamefahamiana 2009.. walifahamiana vipi hatujui.. na kama unajua umesikia upande mmoja wa Urio tu.. hujasikia upande wa mbowe
 
Unataka kusema mbowe atakuja kumkana kamanda urio kuwa hamfahamu?
vipi mawasiliano yao?
Hayo ni maelezo ya urio.. Umemsikia mbowe upande wa pili? lazima mwisho wa siku kuwe na balance.. Urio anasema wamefahamiana 2009.. walifahamiana vipi hatujui.. na kama unajua umesikia upande mmoja wa Urio tu.. hujasikia upande wa mbowe
 
Unataka kusema mbowe atakuja kumkana kamanda urio kuwa hamfahamu?
vipi mawasiliano yao?
Urio katoa majibu, kasema mwamba alikuwa anatumia simu tofauti tofauti.. unathibitisha vipi pasipo kuacha mashaka kuwa alikuwa mbowe alikuwa akitumia hizo namba? Mbowe sio lazima amkane anamfahamu what next?
 
Ni kwasababu makosa ya jinai Wana deal nayo polisi ndo maana kaenda kutoa taarifa polis , na ninafikiri mwanzo ilishaelezwa kuwa alieleza viongozi wake alaf viongozi wake ndo wakamuelekeza aende kwa DCI labda tu kama hukuifatilia hii kesi tangu mwanzo ndo utakua hujui kuhusu hilo ila lipo wazi
 
Sasa Kati ya kamanda urio na nyie Nani anayetakiwa kuleta uthibitisho?
Mwenzenu amesema mbowe alikuwa anampigia simu,alimuita mikocheni akamwamb amtafutie vijana wa kazi,akamtumia na hela.
Sasa ninyi ndo mnatakiwa mlete uthibitisho kuwa kamansa urio NI MUONGO.hayo mbowe hakuyafanya.
Mbona vitu vipo wazi tu.
Mnakwama. Wapi?
Vijana wa kazi.
Kazi gani ?!
 
Ni kwasababu makosa ya jinai Wana deal nayo polisi ndo maana kaenda kutoa taarifa polis , na ninafikiri mwanzo ilishaelezwa kuwa alieleza viongozi wake alaf viongozi wake ndo wakamuelekeza aende kwa DCI labda tu kama hukuifatilia hii kesi tangu mwanzo ndo utakua hujui kuhusu hilo ila lipo wazi
Kama ni kweli, why wametumia njia ambayo sio sahihi na yenye utaratibu katika kusanya taarifa.. huwezi tumia mtu mwenye utovu wa nidhamu kwa jambo ambalo unahisi lina hatarisha usalama wa nchi
 
Kama ni kweli, why wametumia njia ambayo sio sahihi na yenye utaratibu katika kusanya taarifa.. huwezi tumia mtu mwenye utovu wa nidhamu kwa jambo ambalo unahisi lina hatarisha usalama wa nchi
Taarifa inakusanywa kwa mtu yeyote hata kichaa akienda kutoa taarifa polisi taarifa yake itapokelewa na itachunguzwa ikigundulika ni ya kweli itachukuliwa hatua ikiwa ni ya uongo wataachana nayo, kwahiyo mtu kuwa na utovu wa nidham haimaanishi hawezi kutoa taarifa ya kweli
 
Taarifa inakusanywa kwa mtu yeyote hata kichaa akienda kutoa taarifa polisi taarifa yake itapokelewa na itachunguzwa ikigundulika ni ya kweli itachukuliwa hatua ikiwa ni ya uongo wataachana nayo, kwahiyo mtu kuwa na utovu wa nidham haimaanishi hawezi kutoa taarifa ya kweli
Eeh! kuanzia hapo wanaamini vipi hizo taarifa? pia elewa kuna leve na leve ya taarifa na ukusanyaji wake na aina ya watu.. sio kila taarifa hukusanywa na kila aina ya mtu.. unajua utovu wa nidhamu wa hao jamaa walio achishwa jeshini?
 
Sasa mbona hausemi ukweli ni upi?
kamanda urio anasema alikutana na mbowe mikocheni haya tuambie Kama kamanda ni muongo
Usiwe unatetea tu,kama hao makomando watatu hawakuandaliwa na Urio kuhusu kumkamatisha Mbowe kwenye mpango wake,basi,Boaz na timu yake wameonyesha udhaifu mkubwa sana.

Urio kuwatafuta wastaafu/walioachishwa kazi tayari aliaminiwa na Mbowe,nini kilimshinda kuwapanga hao makomando kuhusiana na uovu utakaoenda kutokea?

Hata kama Urio na Boaz walikuwa na lengo zuri ila njia iliyo tumika imeumiza wasio(makomando) na hatia,labda tu waje wakiri kosa hapo mbeleni japo maelezo ya nyuma wanaonekana hawajui lolote kuhusiana na mipango ya kigaidi zaidi ya ulinzi.
Uccm tuuache pembeni,tusaidiane kutokomeza njia za mkato kuondoa maumivu kwa wasio na hatia.

Kumbuka magaidi walivyoyatekeleza mauaji kwa watoto wa Chechnya miaka ya nyuma...
 
Najiuliza swali moja, why aliamua kuwatumia wana kuwaingiza mkenge.. ilhali kuna watu ( ndani ya vitengo vyao) angepenyezewa bwana Mbowe.. hapa ndio ananiacha hoi kabisa akili mwangu.. kila niki digest sipati majibu.. kwanini atumie watovu wa nidhamu kufanya jambo nyeti kama lile
Si yeye tu hata wasuka mchongo wamezingua, wangempelekea Mbowe watu sahihi ili wawe wanapeleka taarifa na mwisho wa siku sauti na video za wao kufanya vikao zingeonekana
 
Si yeye tu hata wasuka mchongo wamezingua, wangempelekea Mbowe watu sahihi ili wawe wanapeleka taarifa na mwisho wa siku sauti na video za wao kufanya vikao zingeonekana
kweli kabisa. Kwenye jambo hatarishi kama lile huwezi tuma mtu asie aminika.. uzuri wameisha waterm watovu wa nidhamu na walifukuzwa kazi.. wamejitia lock wenyewe labda kama hao watu ni undercove wao.. kitu ambacho tayari wamepingana nacho mahakamani.. jamaa snitch sana Urio kawatoa watu kwenye maisha yao ya kila siku kawaingiza matatizoni
 
kweli kabisa. Kwenye jambo hatarishi kama lile huwezi tuma mtu asie aminika.. uzuri wameisha waterm watovu wa nidhamu na walifukuzwa kazi.. wamejitia lock wenyewe labda kama hao watu ni undercove wao.. kitu ambacho tayari wamepingana nacho mahakamani.. jamaa snitch sana Urio kawatoa watu kwenye maisha yao ya kila siku kawaingiza matatizoni
Kwa nionavyo wahusika wameboronga
Na mwisho wataboronga
 
Kwa nionavyo wahusika wameboronga
Na mwisho wataboronga
wame jirock wenyewe.. pa kutokea wanategemea nguvu za muhimili basi.. maana hawanaga aibu.. hao watu paka sasa hivi walitakiwa wawe nje hata kwa dhamana.. maana hakuna kiashiria cha ugaidi
 
Back
Top Bottom