Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,710
- 2,951
Mbona unaandika pumba mkuu,!! Luten sio askari😀😀 😀😀 jamaa kama askari tena special force tena ni luteni katoa boko la maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaandika pumba mkuu,!! Luten sio askari😀😀 😀😀 jamaa kama askari tena special force tena ni luteni katoa boko la maana
luteni ni rank ambayo anakuwa nayo askari.. mbona una akili mavi weweMbona unaandika pumba mkuu,!! Luten sio askari
We ulikuwepo?ulikuwepo?
We ulikuwepo?
Hawa ndio wachawi wa CCMNimesoma comment zako we mtu una roho mbaya sana , hivi mbowe akifungwa utafaidika nini ? Acha roho mbaya kama shetani ,
Hiyo ni sinemaNi suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake.
Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI?
Ni kwanini mwanajeshi alifanya kazi ya upolisi wakati polisi wapo? Je, Command yake ilijua haya aliyokuwa akiyafanya?
Kwenye level ya DCI, Urio hawezi kufanya kazi na Boaz bila Gen. Mabeyo kujua
Je, alifanya haya binafsi kukichafua jeshi au kwa maslahi ya nani? Inafikirisha maana inaonesha wazi ni shahidi wa kutengeneza.
KWA TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANANi suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake.
Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI?
Ni kwanini mwanajeshi alifanya kazi ya upolisi wakati polisi wapo? Je, Command yake ilijua haya aliyokuwa akiyafanya?
Kwenye level ya DCI, Urio hawezi kufanya kazi na Boaz bila Gen. Mabeyo kujua
Je, alifanya haya binafsi kukichafua jeshi au kwa maslahi ya nani? Inafikirisha maana inaonesha wazi ni shahidi wa kutengeneza.