Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Dogo kila mtu apewe haki yake kama siyo gaidi aachiwe na kama ni Gaidi afungweEeh! kuanzia hapo wanaamini vipi hizo taarifa? pia elewa kuna leve na leve ya taarifa na ukusanyaji wake na aina ya watu.. sio kila taarifa hukusanywa na kila aina ya mtu.. unajua utovu wa nidhamu wa hao jamaa walio achishwa jeshini?
Hivyo tu yaani