BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Kwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake
Nawasilisha
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake
Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa yeye si alikuwa boss, si ungewaacha tu wapige keleleWale walitaka nchi iwe ya kidini iongozwe na Sharia..
Hizo kelele hizo ndio mbaya sasaSasa yeye si alikuwa boss, si ungewaacha tu wapige kelele
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.Kwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake
Nawasilisha
Bibi titi si alikuwa kiongozi kwenye chamaKwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake
Nawasilisha
Nadhani ni baada ya wao kugundua kuwa Nyerere hakuwa na mpango wowote wa kuchukua chochote, na Nyerere kwaougundua kuwa wao walikuwa na mpango wa angalau kupata chochoteKwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake
Nawasilisha
Wao walitaka wawe WAKOLONI namba mbili, na nchi iwe ya kidini.Nadhani ni baada ya wao kugundua kuwa Nyerere hakuwa na mpango wowote wa kuchukua chochote, na Nyerere kwaougundua kuwa wao walikuwa na mpango wa angalau kupata chochote
Hawa nao ni wazalendo. Hujui Kama kabudi alitwambia pesa tunazodai kuwa aliudanganya uma ili mungu wake jpm afurahi? Hujui ndugai alifurahia kutaka kuuawa kwa lisu? Mzalendo ni mmoja tu nchi hii ambaye ni lisu tu mwenye kusema ukweli bila kujali kupigwa lisasiKwa nini samia amewatema wazalendo kama ndugai,kabudi na lukuvi?
Sasa kama ni hivyo basi wasingeshirikiana na Nyerere toka mwanzo ambaye alikuwa dini tofauti na wao, maana hata kama Nyerere angekubali nchi iwe ya kidini ndio ingekuwa ya dini gani?Wao walitaka wawe WAKOLONI namba mbili, na nchi iwe ya kidini.
Wakati Nyerere alitaka nchi IWE Mali ya Kila MTU na ISIYO na DINI.
Haya masuala ya Uhuru karibia kila MTU alishiriki, nchi nzima.Sasa kama ni hivyo basi wasingeshirikiana na Nyerere toka mwanzo ambaye alikuwa dini tofauti na wao, maana hata kama Nyerere angekubali nchi iwe ya kidini ndio ingekuwa ya dini gani?
Walikuwa na elimu za hapa na pale na walitaka support ya kanda ya ziwa na maeneo mengine. Walienda Bukoba wakamtumia mzee Sued Kagasheki ambaye ni mwislamu kwenye idadi ndogo ya waislamu, na walienda maeneo ya Kilimanjaro wakiungana na waislamu wachache uko wakati wengi ni dini nyingine.Sasa kama ni hivyo basi wasingeshirikiana na Nyerere toka mwanzo ambaye alikuwa dini tofauti na wao, maana hata kama Nyerere angekubali nchi iwe ya kidini ndio ingekuwa ya dini gani?
Kwahiyo wazo la kutaka kufanya nchi ya kidini lilikuja baadaye na lipi lilifanya waone uwezekano huo upo?Walikuwa na elimu za hapa na pale na walitaka support ya kanda ya ziwa na maeneo mengine. Walienda Bukoba wakamtumia mzee Sued Kagasheki ambaye ni mwislamu kwenye idadi ndogo ya waislamu, na walienda maeneo ya Kilimanjaro wakiungana na waislamu wachache uko wakati wengi ni dini nyingine.
Exposure ilikuwa muhimu pia, Nyerere kasoma Uingereza. Bado alikuwa na mahusiano mazuri na wakoloni.
Walitaka kijana na msomi wakawa na imani naye. Hata hivyo hawakuwa na udini kwenye struggle, udini ufuata baada ya kupata mlichotaka
Of course radicalism ya kidini ilikuja baadaye. Hata ukiangalia wanawake was zamani was kiislam walikuwa hawafuniki vichwa wala kuvaa hijab.Kwahiyo wazo la kutaka kufanya nchi ya kidini lilikuja baadaye na lipi lilifanya waone uwezekano huo upo?