Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Mimi sifuatilii mtu na wala sichukii siriaz fake ID na maisha ya hapa Jf ndio maana hata mtu anitukane hata kunisema vipi sipanic maisha yanasonga ..
Umetoka kusema tu sasaivi una file dedicated kufuatilia comments za watu lenye picha 300+
Huoni kama hiyo ni ishara kuna tishio la afya ya akili?
 
Umetoka kusema tu sasaivi una file dedicated kufuatilia comments za watu lenye picha 300+
Huoni kama hiyo ni ishara kuna tishio la afya ya akili?
Unatumia vigezo gani kusema ni tishio kwa afya ya akili unaweza kuthibitisha ? hii si sawa mtu aseme kuwa Jf nayo ni tishio la afya ya akili ?

Unajua vipi yaliyomo kwenye hizo screenshot kama hazina umuhimu na kwa vigezo vipi ?
 
Sasa yeye si alikuwa boss, si ungewaacha tu wapige kelele
Wangempindua kama walivyopinduliwa Viongozi wengi wa enzi yake!
Nyerere alikua ana haki ya kuwaweka watu Vizuizini ama hata kuwaondosha, la sivyo Tanzania ingekua kama Congo ama Mozambique.
Hao watu wa Dini ya MnyaaziMungu walitaka kumfanya Nyerere kama Tingatinga la kusafisha Barabara.

Maghufuri ndo aliyetakiwa kuwaacha Wapinzani waongee tu yeye achape kazi! Ikawa kinyume chake.
 
Umetoka kusema tu sasaivi una file dedicated kufuatilia comments za watu lenye picha 300+
Huoni kama hiyo ni ishara kuna tishio la afya ya akili?
Kwani Jf comments za watu zinakuwa ujinga mtupu ?ngoja niweke moja niende kwa ushahidi
Screenshot_20211124_011821.jpg
 
Sasa kama unakiri kwamba si kila kitu kitamfurahisha mtu na kuchozana ni lazima mbona unanipa ushauri ni ache kufuatilia mtu wakati uhuru ni wangu kama wewe unavyofuatikia na kuchokoza wengine ?
Duh, hili somo gumu sana.
Mimi kwanza sifuatilii watu humu hiyo ni A.

B, mimi wala sijasema unakosea kunichokoza infact nakupa uhuru uongeze kunichokoza na kunichallenge kila comment yangu.

C, labda ntoe mfano: Imagine uwe na watoto wa3 halafu siku moja uwapeleke hotel kubwa uwaambie ''leo nawapa uhuru wa kula chochote mnachojisikia haijalishi bei au idadi"
Mmoja akala oysters za million 50 , Mwingine akala magadi ya alo vera na mwingine akala mavi yake.
Lazima umkemee aliekula mavi...Sasa apa ishu sio ule uhuru wa kula chochote na wala aina ya chakula wanachokula kwasababu ulishakubali gharama yoyote.
Na unapomkemea anayekula mavi sio kwamba ukimuacha ayale itakuathiri wewe kivyovyote, ila unamhurumia afya yake mwenyewe.

Relate na Jf, hapa kuna uhuru w kuandika chochote, na ukinichokoza hainiaffect vyovyote, ukinifuatilia hainiaffect vyovyote, ila naona kama inakuaffect wewe mwenyewe ndo maana nkakushauri uache.
 
Kwani Jf comments za watu zinakuwa ujinga mtupu ?ngoja niweke moja niende kwa ushahidiView attachment 2388392
Poa basi kama unaona zina faida we tunza.
ila nachokuambia ni ufuatile content ya comment na sio mlolongo wa aliyeandika.
Yani kuanza kuunganisha dots jana alisema nini na juzi alisema nini inamaana unaanza kumtengenezea personality yako kichwani.
Unaanza kumtreat kama mtu fulan kwa kuexpect tabia zake zilivyo basi anatakiwa Atembee na chaki uliyomchorea wewe kichwani.
This is not real life. Humu watu wanakuja kupotezea stress tu mostly
 
Duh, hili somo gumu sana.
Mimi kwanza sifuatilii watu humu hiyo ni A.

B, mimi wala sijasema unakosea kunichokoza infact nakupa uhuru uongeze kunichokoza na kunichallenge kila comment yangu.

C, labda ntoe mfano: Imagine uwe na watoto wa3 halafu siku moja uwapeleke hotel kubwa uwaambie ''leo nawapa uhuru wa kula chochote mnachojisikia haijalishi bei au idadi"
Mmoja akala oysters za million 50 , Mwingine akala magadi ya alo vera na mwingine akala mavi yake.
Lazima umkemee aliekula mavi...Sasa apa ishu sio ule uhuru wa kula chochote na wala aina ya chakula wanachokula kwasababu ulishakubali gharama yoyote.
Na unapomkemea anayekula mavi sio kwamba ukimuacha ayale itakuathiri wewe kivyovyote, ila unamhurumia afya yake mwenyewe.

Relate na Jf, hapa kuna uhuru w kuandika chochote, na ukinichokoza hainiaffect vyovyote, ukinifuatilia hainiaffect vyovyote, ila naona kama inakuaffect wewe mwenyewe ndo maana nkakushauri uache.
Acha uongo na unafiki ,wapi nimesema inaniaffect au unajua yaliyo moyoni kwangu na umekuwa msemaji wangu ?

Uhuru gani unaonipa wakati umeniQuote zaidi ya mara mbili nyuma hapo ukisema niache kukufuatikia tena kwa msisitizo ,umeniita "maku" na maneno mengine ya hovyo kisa kuandika usiyopenda huo si udikteta ?

'Eti unanihurumia itaniaaffect ndio maana unasema niache ' wapi nimesema inaniaffect wakati ndio starehe yangu ? kama unahuruma na kujali wenzako si ujirekebishe wewe kwanza kutokana na tabia dhidi ya wenzako kuliko kuwa na huruma wakati wakikupiga spana eti inawaaaffect si uache tu iwe hivyo...
 
Unatumia vigezo gani kusema ni tishio kwa afya ya akili unaweza kuthibitisha ? hii si sawa mtu aseme kuwa Jf nayo ni tishio la afya ya akili ?

Unajua vipi yaliyomo kwenye hizo screenshot kama hazina umuhimu na kwa vigezo vipi ?
Nimejua havina umuhimu kwasababu we mwenyewe umesema ni ujinga
Nimekuambia nina file zima kwenye simu yangu la kudili na wapumbavu maana ndio Kazi yangu humu na nina ijali Kazi yangu sioni hasara kutafuta maana nina kila details na screenshots zaidi ya miatatu(300) mtu naweza kumuonyeshea ujinga wake ambao hata yeye mwenyewe haukumbuki tena sio kwa porojo bali kwa ushahidi wa wazi kabisa na najiamini..

Haya Mcqueenen sema unaniruhusu niweke picha yako halisi ya jamaa shoga ?

cc: mr chopa
 
Kwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake

Nawasilisha
aliwaona wadini, ndio maana amehubiri dhidi ya udini hadi anakufa. na angewasikilizza wala tusingekuwa hivi tulivyo, tungeishi kama afghanistan au yemen.
 
Poa basi kama unaona zina faida we tunza.
ila nachokuambia ni ufuatile content ya comment na sio mlolongo wa aliyeandika.
Yani kuanza kuunganisha dots jana alisema nini na juzi alisema nini inamaana unaanza kumtengenezea personality yako kichwani.
Unaanza kumtreat kama mtu fulan kwa kuexpect tabia zake zilivyo basi anatakiwa Atembee na chaki uliyomchorea wewe kichwani.
This is not real life. Humu watu wanakuja kupotezea stress tu mostly
Na mimi hiyo ndio starehe yangu sio mjinga ndio maana simfanyii kila mtu najua yupi anastahili kwa sababu wapo wengi nina battle nao kwenye mashaka ya sports ,dini ,siasa tena tuzozana kisawasawa ila sijawahi kuwaattack namna hii coz najua ni kawaida katika maisha watu kutofautiana ila wewe upo far kwenye ndio maana na mimi naenda far ..
 
Of course radicalism ya kidini ilikuja baadaye. Hata ukiangalia wanawake was zamani was kiislam walikuwa hawafuniki vichwa wala kuvaa hijab.

Lakini baadaye likajitokeza kundi LA kina Mohamed Said wanaojifanya wanaijua sana dini. Mpaka sasa Sikh bizi mashuleni ukifika unajua mkrisisto nani, muislam nani ndio wakaona wao kama wao kina kitu walistahili ambacho Nyerere hakuwapa.. Zikaanza SIASA ZA MASJID kuwaka MOTO.
huyo mzee anakufa masikini kwasababu ya udini, hajalisaidia chochote taifa hili.
 
Na mimi hiyo ndio starehe yangu sio mjinga ndio maana simfanyii kila mtu najua yupi anastahili kwa sababu wapo wengi nina battle nao kwenye mashaka ya sports ,dini ,siasa tena tuzozana kisawasawa ila sijawahi kuwaattack namna hii coz najua ni kawaida katika maisha watu kutofautiana ila wewe upo far kwenye ndio maana na mimi naenda far ..
Mkuu usitake kunifanya mimi kama special case jf nzima...yani umefuatilia mpaka avatar za zamani ambazo hata mimi mwenyewe sizikumbuki.
Itakuwa ndio tabia zako hizo na unafanyia wengi....ndomaana nkawa concerned na afya ya akili yako.
 
Mkuu usitake kunifanya mimi kama special case jf nzima...yani umefuatilia mpaka avatar za zamani ambazo hata mimi mwenyewe sizikumbuki.
Itakuwa ndio tabia zako hizo na unafanyia wengi....ndomaana nkawa concerned na afya ya akili yako.
Sawa ,huo ni mtizamo wako sikupingi
Mkuu usitake kunifanya mimi kama special case jf nzima...yani umefuatilia mpaka avatar za zamani ambazo hata mimi mwenyewe sizikumbuki.
Itakuwa ndio tabia zako hizo na unafanyia wengi....ndomaana nkawa concerned na afya ya akili yako.
Mtu akiwa anavuka mipaka lazima aambiwe ,mimi mbona nataniana na wengi humu katika masuala ya kidini nk na wao wananitania mbona sioni noma tofauti ya kimtazamo maisha yanaenda kila mtu na life yake ila ninachozingatia nisivuke mipaka na wao hawavuki mipaka mfano hapo nimechoka jamaa mkiristo na kafurahi fresh tu .
Screenshot_20221015_230526.jpg
 
Ujumbe wangu mkuu ni kuwa usifuatilie ID za watu, wewe fuatilia content zao kwa muda huo.

Sasa kukuita wewe maku au kukuambia kwa upole navofanya saivi zote ni techniques za kukuambia kitu kile kile.
Na mimi nakuambia na wewe acha kufuatilia watu ishi maisha y'all usipoteze muda wako na nguvu zako kutafuta vibonzo na upuuzi mwingine usio kufaidisha kwa lolote..
 
Sawa ,huo ni mtizamo wako sikupingi

Mtu akiwa anavuka mipaka lazima aambiwe ,mimi mbona nataniana na wengi humu katika masuala ya kidini nk na wao wananitania mbona sioni noma tofauti ya kimtazamo maisha yanaenda kila mtu na life yake ila ninachozingatia nisivuke mipaka na wao hawavuki mipaka mfano hapo nimechoka jamaa mkiristo na kafurahi fresh tu .
Sasa hiyo mipaka ni nani anaiweka?Je kama mimi nikisema hata kumtaja Magufuli ni dhambi kwangu basi nao uwe mpaka kwa wote au?
Unajua nyie waislam hata concept ya free speech ni kama ngeni sana kwenu hamuielew.
Na ni aina ya thinking ya authoritarian/totalitarian society yoyote.

Mimi nasema kila mtu anaruhusiwa kutoa mawazo yake bila kujali mipaka as long as havunji sheria za jukwaa.

Wewe kama yanakukera unamblock tu ila sio kumzuia eti asiyatoe, huo ni udikteta.

So hapa tunadiscuss ideas sio watu.
 
Sasa hiyo mipaka ni nani anaiweka?Je kama mimi nikisema hata kumtaja Magufuli ni dhambi kwangu basi nao uwe mpaka kwa wote au?
Unajua nyie waislam hata concept ya free speech ni kama ngeni sana kwenu hamuielew.
Na ni aina ya thinking ya authoritarian/totalitarian society yoyote.

Mimi nasema kila mtu anaruhusiwa kutoa mawazo yake bila kujali mipaka as long as havunji sheria za jukwaa.

Wewe kama yanakukera unamblock tu ila sio kumzuia eti asiyatoe, huo ni udikteta.

So hapa tunadiscuss ideas sio watu.
Sawa ,umejuaje kama mimi ni Muislamu wapi nimekuambia ?
 
Na mimi nakuambia na wewe acha kufuatilia watu ishi maisha y'all usipoteze muda wako na nguvu zako kutafuta vibonzo na upuuzi mwingine usio kufaidisha kwa lolote..
Mimi narudia tena kusema sijawahi na sitakuja kufuatilia maisha ya mtu humu.
Mimi nadiscuss ideas na hoja tu.

Vibonzo navyoweka vinadiscuss hoja fulani wala sio ID fulan...elewa bas. Na huwezi kunipangia cha kupost hapa.
 
Back
Top Bottom