Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Yani jinga eti linajisifu kusawazisha ujinga...Hongera Utapewa tuzo.
Sawa kwa leo nimeshamaliza dozi yangu ,sitaki nijaribu uzi wa watu kwa malumbano yasiyo na tija kwa heshima hiki jukwaa na mleta mada ngoja niishie hapa na najipongeza kwa kukamilsha Kazi yangu kawa ufanisi mkubwa..

Kwa levo ya ujinga uliyofikia haustahili kujibiwa tena kwa sasa
IMG_20220919_065830.jpg

IMG_20220419_163155.jpg

#Nimemaliza Nakupuuza Kwa Sasa nisiharibu uzi kwa comments zisizohusiana na huu uzi..
 
Kwanini aliwatema watu Kama
Abdulwahid Sykes
Bibi Titi
Na baadhi katika serikali yake

Nawasilisha
Mwalimu alikuwa akiambiwa basi anakubali. Angekuwa hakubali ya kuambiwa asingemkubalia Mkapa kumwondoa Profesa Rweyemamu mshauri wake wa uchumi kisa harawara liyemnyang'anya profesa halafu anakuja kuwa mke wake badala ya mama Anna. Hiyo ni moja tu ila Mwalimu aluhusudu watu kuliko ukweli.
 
Ngoja nisiwaingilie kwenye kijiwe chenu cha umbea
Sawa ,hii ni avatar yako iliyopita kabla ya hii nyuma yake ilikuwa jamaa midevu kama Osama mbona ya jamaa shoga haipo mitandaoni nimetumia gugo lens kuisaka kuona kama umeichua mtandaoni lakini wapi hakuna majibu au ilikuwa picha yako halisi ? vipi niiweke humu au ... Na ile ID .....
obama-middle-finger.jpg
 
Ukiwa na watu wengi mnapambania kitu humo kuna matarajio tofauti. Nyerere alikuwa mzalendo ili asiongoze kwa miluzi mingi alibidi ajitenge na wale waliojikuta wazalendo sana na kuamini wanastahili mafao fulani. Kwamba wao wamejitoa na ni first class citizens.

Kati ya nchi zilizofanikiwa, naweza reference Marekani tu iliyokuwa na statesmen waliokubaliana wote na waliaminiana wakitanguliza uzalendo. Kila mtu aliwekewa nguvu zake kwa kujenga taifa. Wakati wajuzi wa sheria ambao ndio walikuwa wengi walisaidia kuunda katiba ambayo inatumika hadi leo, wafanyabishara waliionesha nchi inatakiwa iweje kibiashara na kimataifa, makamanda wa kijeshi walisaidia mbinu za ulinzi, madaktari maarufu na wakulima wakubwa nao walitoa mchango wao. Kati ya walioianzisha Marekani hakukuwa na mbumbumbu au kilaza, kila mtu alikuwa na proffesion yake, smart na alikuwa na ajira kabla wala hakuna aliyekuja kuponea serikalini. Waliendelea hivi hivi na hawakugeukana.

Kinyume chake ni nchi nyingi zinazopitia msuguano. Mfano USSR ilipoanza Lenin hakuwa anawaamini watu kadhaa, akafariki ikatokea mgogoro baina ya team ya Leon Trotsky na Josef Stalin, Trotsky akauwawa baadae na team yake ikauwawa. Alidumu sana kwa mauaji na purges alipokufa ikatokea mgogoro tena, Lavrentiy Beria aliyekuwa mkuu wa usalama alikuwa anaandaa maafisa wake kwenye msiba wakimaliza tu wateke top government officials. Nikita Khrushchev akafanikiwa kumshawishi General Zhukov amkamate Beria ambaye alikuwa ni the worst kuongoza nchi kati ya wote waliokuwa na uwezekano. Beria akasomewa mashtaka haraka akahukumiwa kifo. Hali iliendelea hivihivi kukaa chonjo.

I suspect Nyerere asingefanya vile ingekuwa hali kama Nigeria, alilazimika tu
Umedadavua vizuri sana
 
Haya ulikuwa unasema nimegugo picha na unanibishia haya bisha tenaView attachment 2388259

Nimekuambia nina file zima kwenye simu yangu la kudili na wapumbavu maana ndio Kazi yangu humu na nina ijali Kazi yangu sioni hasara kutafuta maana nina kila details na screenshots zaidi ya miatatu(300) mtu naweza kumuonyeshea ujinga wake ambao hata yeye mwenyewe haukumbuki tena sio kwa porojo bali kwa ushahidi wa wazi kabisa na najiamini..

Haya Mcqueenen sema unaniruhusu niweke picha yako halisi ya jamaa shoga ?

cc: mr chopa
Baada ya kuwa sober ngoja nikushauri mdogo wangu.
Inaonekana una akili ila hujui pa kuzielekezea.
Huo muda unaotumia kufuatilia watu humu fanya mambo ya msingi kama kutafuta hela. Huenda ukaongeza nguvu kujenga taifa.
Humu jf watu wana fake ID for a reason..Usimchukulie mtu serious sana maana wengi wanatunga vistory humu na wapo ambavyo hawapo in real life.
Na fake ID unajua maana yake? It means kuanzia jina mpaka Avatar huwa fake umeelewa?
Wewe jadili hoja anazosema mtu achana na kumjadili huyo mtu.
Mambo ya kumfuatilia sijui jana alisemaje ni aina fulani ya ujobless na frankly speaking ni umbea wa kishoga.
Discuss mtu anachosema kwa wakati huo, achana na mwaka jana alisemaje maana mtu anaweza kuongea kitu kwasababu ya stress, pombe, utani, mzaha, nk.
And btw binadamu sio static kama jiwe kwamba milele atakuwa na mawazo yaleyale...Leo anaweza kuwa Chadema ila kesho akashawishika na hoja flan za CCM akabadilika...Usiwe so biased kwamba lazima uwe na upande fulani CCm au chadema uislam au ukristo. Usiwe biased kwamba ukiwa upande fulan basi kazima ukubali kila kitu kuhusu huo upande bila kuhoji na ukatae kila kitu kuhusu upande wa pili unaooppose, its not always black and white.

Wewe usikariri sijui jana mtu alisemaje, we dili na anachosema wakati huo.
Achana na kumfuatilia mtu.
Achana na kumfuatilia mtu.
Narudia tena, achana na kufuatulia ID yoyote.
You are greater than that mkuu.
 
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.

Wasingeweza kufaa chochote katika kujenga serikali..mana kuendesha serikali sio maneno bali ni elimu na usomi.

#MaendeleoHayanaChama
Fundikira, Bibi TT na Kaarumay walikua na elimu gani?
 
Baada ya kuwa sober ngoja nikushauri mdogo wangu.
Inaonekana una akili ila hujui pa kuzielekezea.
Huo muda unaotumia kufuatilia watu humu fanya mambo ya msingi kama kutafuta hela. Huenda ukaongeza nguvu kujenga taifa.
Humu jf watu wana fake ID for a reason..Usimchukulie mtu serious sana maana wengi wanatunga vistory humu na wapo ambavyo hawapo in real life.
Na fake ID unajua maana yake? It means kuanzia jina mpaka Avatar huwa fake umeelewa?
Wewe jadili hoja anazosema mtu achana na kumjadili huyo mtu.
Mambo ya kumfuatilia sijui jana alisemaje ni aina fulani ya ujobless na frankly speaking ni umbea wa kishoga.
Discuss mtu anachosema kwa wakati huo, achana na mwaka jana alisemaje maana mtu anaweza kuongea kitu kwasababu ya stress, pombe, utani, mzaha, nk.
And btw binadamu sio static kama jiwe kwamba milele atakuwa na mawazo yaleyale...Leo anaweza kuwa Chadema ila kesho akashawishika na hoja flan za CCM akabadilika...Usiwe so biased kwamba lazima uwe na upande fulani CCm au chadema uislam au ukristo. Usiwe biased kwamba ukiwa upande fulan basi kazima ukubali kila kitu kuhusu huo upande bila kuhoji na ukatae kila kitu kuhusu upande wa pili unaooppose, its not always black and white.

Wewe usikariri sijui jana mtu alisemaje, we dili na anachosema wakati huo.
Achana na kumfuatilia mtu.
Achana na kumfuatilia mtu.
Narudia tena, achana na kufuatulia ID yoyote.
You are greater than that mkuu.
😂😂 😂 kuna file nimezungushia duara hapo ndani yake nimecategorize kwa Kazi maalumu na lina folder zaidi ya kumi
IMG_20221015_211731.jpg
 
😂😂 😂 kuna file nimezungushia duara hapo ndani yake nimecategorize kwa Kazi maalumu na lina folder zaidi ya kumiView attachment 2388280
Nmeacha kubishana nimeanza kushauri.
Kuna muda wa matani na kuna muda tuwe serious na maisha.
Acha kunifuatilia humu Jf
Acha kufuatilia mtu yeyote Jf
Acha kufuatilia mtu yeyote in life.
Itakusaidia sana.
 
Nmeacha kubishana nimeanza kushauri.
Kuna muda wa matani na kuna muda tuwe serious na maisha.
Acha kunifuatilia humu Jf
Acha kufuatilia mtu yeyote Jf
Acha kufuatilia mtu yeyote in life.
Itakusaidia sana.
Ni vizuri kushauriana hapa sasa ndipo ninapo pataka mimi ,sheria zipo hivi

1.ukitaka uheshimiwe na wewe uwaheshimi wenzako.
2.Ukitaka usifuatiliwe na wewe avha kufuatilia wenzako
3.Ukitaka usiudhiwe na wewe usiwaudhi wenzako.

Nb: Kila jambo linasababu muhimu kabla ya kujihukumu au kuwaangalia wenzako ujitathimini na wewe mwenyewe kwanza je unaishije na watu ?

Soma hiyo image kisha tafakari Law ya kwanza na ya tatu ndio summary ya maneno yangu kama yatakuwa marefu au haujaolewa mahali fulani.
slide_2.jpg
 
Nlidhani utaelewa...ila wewe tena unadouble down kuonesha ulivyo dedicated na ujinga wako
Vizuri umekiri ninachofanya ni ujinga na mimi nikitaka ufike stage hii ,ni kweli nafanya ujinga lakini wewe haufanyi kama ninavyofanya mimi ?umesahau tabia yako ya kushambulia upande mmoja si kama mimi ninavyofanya au wewe haufanyagi ujinga kila siku na kila kwenye nyuzi hata jukwaa la photos unaleta mambo yasiyohusiana tena kushambulia upande mmoja au umesahau ?
image-4(3).jpg
 
Ni vizuri kushauriana hapa sasa ndipo ninapo pataka mimi ,sheria zipo hivi

1.ukitaka uheshimiwe na wewe uwaheshimi wenzako.
2.Ukitaka usifuatiliwe na wewe avha kufuatilia wenzako
3.Ukitaka usiudhiwe na wewe usiwaudhi wenzako.

Nb: Kila jambo linasababu muhimu kabla ya kujihukumu au kuwaangalia wenzako ujitathimini na wewe mwenyewe kwanza je unaishije na watu ?

Soma hiyo image kisha tafakari Law ya kwanza na ya tatu ndio summary ya maneno yangu kama yatakuwa marefu au haujaolewa mahali fulani.View attachment 2388328
Mzee btw mimi sijawahi kuuzika na chochote humu jf, na sijawahi kukwazika kwa lolote...ukiona nmeandika kama nmepanick almost always huwa nacheka na naandika kwa utan tu.
Mimi hata in real life ni ngumu sana kuniuzi, because huwa sijali what people say na huwa sifuatilii maisha ya watu, lakini pia spendi kufuatiliwa.
So huo ushauri wako naujibu hivi.
1.Sihitaji kuheshimiwa na yoyote humu, I simply dont give a fack, ukiamua niheshimu ukiamua niteme idc
2.Sijawahi kufuatilia mtu yeyote humu
3.Sijawahi na haiwezekani mimi kuuzika kisa maneno fulan katype mtandaon

Imagine kama Ndugu zangu, friends & workmates walishajaribu sana kunichokoza wakaishia kujiona wanapigana na ukuta...sembuse humu jf?
 
Haya ulikuwa unasema nimegugo picha na unanibishia haya bisha tenaView attachment 2388259

Nimekuambia nina file zima kwenye simu yangu la kudili na wapumbavu maana ndio Kazi yangu humu na nina ijali Kazi yangu sioni hasara kutafuta maana nina kila details na screenshots zaidi ya miatatu(300) mtu naweza kumuonyeshea ujinga wake ambao hata yeye mwenyewe haukumbuki tena sio kwa porojo bali kwa ushahidi wa wazi kabisa na najiamini..

Haya Mcqueenen sema unaniruhusu niweke picha yako halisi ya jamaa shoga ?

cc: mr chopa
Mkuu mpotezee tu
 
Mzee btw mimi sijawahi kuuzika na chochote humu jf, na sijawahi kukwazika kwa lolote...ukiona nmeandika kama nmepanick almost always huwa nacheka na naandika kwa utan tu.
Mimi hata in real life ni ngumu sana kuniuzi, because huwa sijali what people say na huwa sifuatilii maisha ya watu, lakini pia spendi kufuatiliwa.
So huo ushauri wako naujibu hivi.
1.Sihitaji kuheshimiwa na yoyote humu, I simply dont give a fack, ukiamua niheshimu ukiamua niteme idc
2.Sijawahi kufuatilia mtu yeyote humu
3.Sijawahi na haiwezekani mimi kuuzika kisa maneno fulan katype mtandaon

Imagine kama Ndugu zangu, friends & workmates walishajaribu sana kunichokoza wakaishia kujiona wanapigana na ukuta...sembuse humu jf?
Unaweza usimchokoze mtu moja kwa moja ila ukamchokoza kwa namna fulani mfano mimi hapa nikimtukana Papa Francis nitakuwa nimewachokoza wafuasi wote wa Papa moja kwa moja tena itakuwa zaidi ya kuwachokoza mwenyewe .

Mimi nikichukua picha ya Mzazi wako au mwanao nikaiedit hovyo kwa kudhihaki na kejeli kisha kupost utafurahi kisa sijakuchokoza wewe ?

Umesahau vibonzo ulivyopost siku za karibuni kwenye uzi mmoja kisa kudhihaki upande mmoja hapo kiitifaki imekaa sawa ?
 
Vizuri umekiri ninachofanya ni ujinga na mimi nikitaka ufike stage hii ,ni kweli nafanya ujinga lakini wewe haufanyi kama ninavyofanya mimi ?umesahau tabia yako ya kushambulia upande mmoja si kama mimi ninavyofanya au wewe haufanyagi ujinga kila siku na kila kwenye nyuzi hata jukwaa la photos unaleta mambo yasiyohusiana tena kushambulia upande mmoja au umesahau ?View attachment 2388329
😂😂kwahyo unasawazisha ujinga?
Tatizo unachukulia sana serious hizi ID za mtandaon.
Mimi sipo concerned na wewe una opinions gani, sijui unatype nini, lini na wapi....ila nmekuwa concerned baada kukuona kuwa kumbe hata nje ya jf unadedicate time yako kudeal na vitu visivyo na faida kwako na jamii.

So kwangu mm ujinga wangu ni justifiable(bcs hakuna sheria inayonzuia kutype nachotaka popote as long as situkani), ila we ujinga wa kwako ni laughable. Kwasababu ni issue ya time mgt.

ila pia usidhani nmemaind wala nn, I simply dont care ulivyotunza mafile yangu... mm nmekuwa concerned on your personal mental health & welfare as a fellow human being.

ila ukikaza ukaendelea kufuatilia maisha ya watu humu na yangu, I simply would not give a shit.
 
Unaweza usimchokoze mtu moja kwa moja ila ukamchokoza kwa namna fulani mfano mimi hapa nikimtukana Papa Francis nitakuwa nimewachokoza wafuasi wote wa Papa moja kwa moja tena itakuwa zaidi ya kuwachokoza mwenyewe .

Mimi nikichukua picha ya Mzazi wako au mwanao nikaiedit hovyo kwa kudhihaki na kejeli kisha kupost utafurahi kisa sijakuchokoza wewe ?

Umesahau vibonzo ulivyopost siku za karibuni kwenye uzi mmoja kisa kudhihaki upande mmoja hapo kiitifaki imekaa sawa ?
Mzee bado hujaelewa.
Hii ni jamii usitegemee kila oni lako litamfurahisha kila mtu kwasababu tunatofautiana mawazo...na usitarajie kila mtu ataandika mambo yanayokufurahisha.
So kuchokozana humu ni lazima.
Na ili jamii iendelee lazima kuwe na malumbano maana tukikubaliana kila kitu tutakuwa wavivu wa kufikiri na hatutawaza hoja zingine mpya.

Kwahyo unapoandika kitu usiandike kumfurahisha mtu yeyote, simply andika unavojisikia wakati huo.

Kwahyo ishu ya sijui mada unazoandika au ninazoandika sio ishu hapa kabisa.

ishu ni tabia uliyojijengea ya kutunza mafile ambayo hayatakusaidia kitu chochote.
Ishu ni kwamba unataka kila mtu aandike vitu vya kukufurahisha.
Na watu kama nyie ndio huwa mnakuwa madikteta kama Muhamad.
 
😂😂kwahyo unasawazisha ujinga?
Tatizo unachukulia sana serious hizi ID za mtandaon.
Mimi sipo concerned na wewe una opinions gani, sijui unatype nini, lini na wapi....ila nmekuwa concerned baada kukuona kuwa kumbe hata nje ya jf unadedicate time yako kudeal na vitu visivyo na faida kwako na jamii.

So kwangu mm ujinga wangu ni justifiable(bcs hakuna sheria inayonzuia kutype nachotaka popote as long as situkani), ila we ujinga wa kwako ni laughable. Kwasababu ni issue ya time mgt.

ila pia usidhani nmemaind wala nn, I simply dont care ulivyotunza mafile yangu... mm nmekuwa concerned on your personal mental health & welfare as a fellow human being.

ila ukikaza ukaendelea kufuatilia maisha ya watu humu na yangu, I simply would not give a shit.
Mimi sifuatilii mtu na wala sichukii siriaz fake ID na maisha ya hapa Jf ndio maana hata mtu anitukane hata kunisema vipi sipanic maisha yanasonga ..
 
Mzee bado hujaelewa.
Hii ni jamii usitegemee kila oni lako litamfurahisha kila mtu kwasababu tunatofautiana mawazo...na usitarajie kila mtu ataandika mambo yanayokufurahisha.
So kuchokozana humu ni lazima.
Na ili jamii iendelee lazima kuwe na malumbano maana tukikubaliana kila kitu tutakuwa wavivu wa kufikiri na hatutawaza hoja zingine mpya.

Kwahyo unapoandika kitu usiandike kumfurahisha mtu yeyote, simply andika unavojisikia wakati huo.

Kwahyo ishu ya sijui mada unazoandika au ninazoandika sio ishu hapa kabisa.

ishu ni tabia uliyojijengea ya kutunza mafile ambayo hayatakusaidia kitu chochote.
Ishu ni kwamba unataka kila mtu aandike vitu vya kukufurahisha.
Na watu kama nyie ndio huwa mnakuwa madikteta kama Muhamad.
Sasa kama unakiri kwamba si kila kitu kitamfurahisha mtu na kuchozana ni lazima mbona unanipa ushauri ni ache kufuatilia mtu wakati uhuru ni wangu kama wewe unavyofuatikia na kuchokoza wengine ?
 
Back
Top Bottom