Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Kwanini baada ya Uhuru, Nyerere aliwatema waliopambana tangu mwanzo

Inawezekana mkuu unapenda sana migongano ya kidini, nimeanza ku-notice alichosema adriz . Kwan huwezi kujenga hoja yako vyema bila kuwa biased na udini?
Huo nlosema niukwel na siogopi kuusema...Kwenye hoja za kidini tunaiongelea hatuogopi...au ushanikuta kwenye mada za mapenz naongelea dini?
 
If course radicalism ya kidini ilikuja baadaye. Hata ukiangalia wanawake was zamani was kiislam walikuwa hawafuniki vichwa wala kuvaa hijab.

Lakini baadaye likajitokeza kundi LA kina Mohamed Said wanaojifanya wanaijua sana dini. Mpaka sasa Sikh bizi mashuleni ukifika unajua mkrisisto nani, muislam nani ndio wakaona wao kama wao kina kitu walistahili ambacho Nyerere hakuwapa.. Zikaanza SIASA ZA MASJID kuwaka MOTO.
Ndio nauliza kitu gani kilifanya waone inawezekana nchi kuwa ya kidini?
 
Ndio nauliza kitu gani kilifanya waone inawezekana nchi kuwa ya kidini?
Kwasababu Waislam wanaamini Siku zote kuwa nchi hii WAO ndio WENGI.

Wana takwimu zao za mchongo wanadai zinatoka CIA kubwa waislam ni wengi.

Vile vile huwa wanapambana sana kwenye Dodosa LA Sensa kuwe na swali LA dini ili wajue idadi.
 
Bila kumsahau Oscar Kambona ambaye alitemwa sababu ya itikadi zake za kibepari ambazo leo ndio zinaonekana kufanya kazi katika mataifa mengi
Kambona hakupigania Uhuru, na aliingia serikalini Hadi alipogombana na Nyerere akakimbia nchi
 
Kwahiyo wazo la kutaka kufanya nchi ya kidini lilikuja baadaye na lipi lilifanya waone uwezekano huo upo?
Ni kama kuuliza kwanini Nigeria walishirikiana wakapata uhuru kisha baada ya kuupata makabila yakaanza kujizatiti, mapinduzi mara nyingi yakatokea na Biafra wakataka kujitenga wakapambana na Federal government.

Mwanzo mwa struggle lengo kuu ndio hutawala na kuunganisha malengo yote. Baada ya kutimiza hilo ndio mnarejea malengo binafsi ya makundi
 
Inawezekana mkuu unapenda sana migongano ya kidini, nimeanza ku-notice alichosema adriz . Kwan huwezi kujenga hoja yako vyema bila kuwa biased na udini?
Huyo jamaa Mcqueenen ni zaidi ya mdini tena kuna ID yake mpaka iliwahi kupewa BAN ya maisha kwa mambo ya kidini yaliyopitiliza kabla ya kuwa na hii tena anajifanya ndumilakuwili mara awe mkiristo, Muislamu saaa nyingine atheist kila uzi mara chache kumkuta haweki comments zenye udini sijui atakuwa mtu wa aina gani katika maisha yake ya kawaida ...
 
Wengi wao ni waswahili maneno mengi hawakuwa na elimu dunia bali elimu akhera.

Wasingeweza kufaa chochote katika kujenga serikali..mana kuendesha serikali sio maneno bali ni elimu na usomi.

#MaendeleoHayanaChama
Usomi wenu nyinyi wagalatia umepeka wapi nchi hii mpaka leo zaidi ya kuongoza kwenye ufisadi na sera mbaya zilizochangia nchi kuwa hivi mpaka leo ?
 
Huyo jamaa Mcqueenen ni zaidi ya mdini tena kuna ID yake mpaka iliwahi kupewa BAN ya maisha kwa mambo ya kidini yaliyopitiliza kabla ya kuwa na hii tena anajifanya ndumilakuwili mara awe mkiristo, Muislamu saaa nyingine atheist kila uzi mara chache kumkuta haweki comments zenye udini sijui atakuwa mtu wa aina gani katika maisha yake ya kawaida ...
Oya mbona unajifanya unanijua sana? Utakuwa obsessed wewe sio bure.
 
Oya mbn unajifanya unanijua sana? Utakuwa obsessed wewe sio bure. Inabidi nije nikupige miti. Haya ntajie hiyo ID ambayo hata mm siijui.
Mimi Kazi yangu kusawazisha ujinga naona ushaanza kupanic endelea kutukana ila Kazi yangu sitoiacha nitaendelea kusawazisha ujinga na kuwasazisha wajinga kama nyie hapa jamvini mpaka mnichukie kabisa.
 
Oya mbn unajifanya unanijua sana? Utakuwa obsessed wewe sio bure. Inabidi nije nikupige miti. Haya ntajie hiyo ID ambayo hata mm siijui.
Nakujua sana wewe kuna wakati si ulikuwa unaweka avatar ya jamaa shoga nikawa nakupa spana mpaka unabadilisha ukaweka ya jamaa mwenye midevu au haukumbuki ?
 
Tata Historia muhimu ya nchi bado iko gizani
 
Nakujua sana wewe kuna wakati si ulikuwa unaweka avatar ya jamaa shoga nikawa nakupa spana mpaka unabadilisha ukaweka ya jamaa mwenye midevu au haukumbuki ?
Dih mzee inaonekana unanipenda sana...Hayo yote mi sikumbuki
 
Kumbe unaumia kushambuliwa na spana ndogo kama hizi halafu umekuwa kimbelele kwenye kupost ujinga humu na kuchokoza wengine ?

Mimi nipo kamili gado kwa nini uchokoze ugomvi wa mawe wakati unaishi nyumba ya vioo ?
Nan kakuambia naumia?? Sema mimi sio mende ila hii ni fursa kabisa ningekufumua
 
Bahati nzuri mimi sijawahi kuingizwa wala kupanic mtu akinitukana ndio maana miaka mifano sasa sijawahi hata kupewa BAN humu na nimekuwa niliofanya vyema Kazi yangu ya kusawazisha ujinga humu..
Yani jinga eti linajisifu kusawazisha ujinga...Hongera Utapewa tuzo.
 
Back
Top Bottom