Kwanini baadhi ya vitabu vimetolewa katika biblia?

Kuficha ukweli
Ukweli upi uliofichwa? WAFUASI WA YESU HAWATEGEMEI KUSOMA VIPANDE VYA KARATASI ILI WAJUE HILI NI JEMA NA HILI SIO JEMA! YESU AMETUFUNDI MEMA NA MAOVU KUPITIA DHAMIRA NJEMA ALIYO TUUMBIA NDANI![emoji106] Tofauti sana na nyinyi waisilamu ili kujua ZINAA NI UOVU hadi usome vipande vya karatasi [emoji12] ndipo ibilisi [emoji83]Alipo wapata kwa KUCHANGANYA KWELI YA MUNGU NA KWELI YAKE KUWATUPIA KWENYE KARATASI NA NA YOOTE MKAPOKEA KUWA NI KWELI YA MUNGU[emoji12] ref; suratul muuminun.1-6 sita uone ibilisi ALIVYO RUHUSU ZINAA KWA KIPUNJO [emoji44][emoji12] nikuulize jee HAO UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKO??
 
Mbona unatuletea story za vijiweni? Humu hakuna Habari za kusikia,. leta reference ukweli ujulikane.
 
 
Hakuna KILICHO fichwa bro!
BIBLIA TAKATIFU YENYEWE IMEJIWEKA WAZI!
 
Vinawasema wazungu kuwa ni nefilimu. Havifichi ukweli wao
 
hivi siwezi kupata link ya kusoma hivyo vitabu vilivyoondolewa??
 
Naogopa kuchangia LAKINI NAOMBA NITAKACHOKICHANGIA KUBAKI KUWA MAWAZO BINAFSI NA NIKO TAYARI KUWA CHALLENGED

Haya maswali hata mimi yaliwahi kunisumbua sana, namshukuru Mungu nilipata ambacho kwa upande wangu niliamini ni MAJIBU...

Kulingana na ONE MUSLIM THEOLOGIAN aliwahi kunifafanulia kuwa Mitume Wote kabla ya MUHAMMAD waliletwa kwa mataifa maalum na nyakati maalum hivyo HATA VITABU VYAO VILILETWA KWA AJILI YA MATAIFA HUSIKA KWA NYAKATI HUSIKA hivyo it served its purpose ndiyo maana baadaye either vimeonekana kutoendana na wakati au kuonekana kugongana maandiko mengine HIVYO KUONEKANA VITABU HIVI HAVINA UMUHIMU SANA....

Ndugu zangu DINI hizi iwe Uislam, Ukiristu, Uhindu, Uyahudi, Ubudha n.k zinatakiwa kutupa majibu ya maswali magumu hasa ya kiimani na maisha yetu baada ya hapa... nashauri tufanye tafiti na kupata majibu juu ya maandiko tunayoyaamini...

Jamani msinipige mawe ni.mtazamo wangu tu... hata mini AM NOT THAT MUCH A PRACTICING FOLLOWER... hivyo am not propagating any faith
 
Weyee! nyegeze nawe ??!! saa hapo ndo umesema nini wajameni!! kabisaaa!! unaona umechangia???mweee!!
 
Kitabu cha ufunuo hakikuandikwa na Yohana Mbatizaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…