Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Wakuu,

Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.

Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.

Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Screenshot_20241013_081628_Messages.jpg
Screenshot_20241013_082243_Messages.jpg
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Na wewe mleta mada mpumbavu tu kama wapumbavu wengine ungesema baadhi ya wanawake wa Tanzania lakini kusema wanawake wa Tanzania uliwafanyia utafiti wote mamilioni yote ya wanawake wote Tanzania nzima bwege wewe na lofa mkubwa.

Ulipita nchi nzima,mijiji na vijini vyote na nyumba zote na kuwaangalia wanawake wote hiyo tabia kama wote wanayo wanawake wote akiwemo mama yako mzazi aliyekuzaa kuthibitisha kuwa na yeye ana hiyo tabia?
 
Zinakutosha kweli kichwani mkuu?
Yani mzinga wa elfu 25 ndio unakuja kuanzisha uzi huku?
Ukipigwa mzinga wa kununua gari si utakufa wewe?
Afu mbona unaruka na mademu wenye njaa kali hivyo?demu anaomba elfu 10 seriously?
 
uwa mnafeli sana.
Mnapohisi kuwa hela za mwanamke zinaweza kuwa Za wa wote.
hao kiasili wameumbwa kupewa ndivyo walivyo.mwanamke atakupenda kisa tu umemuhonga chips kuku.na sio kama hana hela ya kununua hicho kitu bali ndio walivyo.
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Wanawake wanajua sifa yetu ni kuprovide ndo maana ukionesha interest nao lazima watakuomba tu.

Alafu sie wanaume wa kibongo tupunguzeni malalamiko, wanawake wanaomba pesa ndogo ndogo sana ambazo tunapoanzisha hadi mada za kulalamika tunajitia aibu sana.
 
uwa mnafeli sana.
Mnapohisi kuwa hela za mwanamke zinaweza kuwa Za wa wote.
hao kiasili wameumbwa kupewa ndivyo walivyo.mwanamke atakupenda kisa tu umemuhonga chips kuku.na sio kama hana hela ya kununua hicho kitu bali ndio walivyo.
Hela ya mwanamke inaweza kuwa ya wote kama mnapendana na kakupenda kweli ila kama hakupendi jiandae kuwa buzi na ukifulia anakuacha au anakudharau waziwazi
 
Zinakutosha kweli kichwani mkuu?
Yani mzinga wa elfu 25 ndio unakuja kuanzisha uzi huku?
Ukipigwa mzinga wa kununua gari si utakufa wewe?
Afu mbona unaruka na mademu wenye njaa kali hivyo?demu anaomba elfu 10 seriously?
Nyie ndio mnaharibunsoko na kuwapa mabichwa hawa warembo watuombe mihela mingi...so buku kumi ndogo kweli jamani...mbona hela nyingi sana hiyo
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Unao wangapi

Huenda hiyo tabia ni kipimo kutaka kujua unawathamini? Wana mashaka wanafanya utafiti hapo
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Wenyewe umewauliza binamu?
 
Back
Top Bottom