Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

walivyo.mwanamke atakupenda kisa tu umemuhonga chips kuku.na sio kama hana hela ya kununua hicho kitu bali ndio walivyo.
Hivi unawajua wanawake au unawasikia 🤣 huyo mwanamke ambaye unahisi amekupenda kisa umemhonga chipsi kuku, ujue alikuwa anakupenda tu kabla hujamhonga hiyo chipsi kuku..

Watu wanahonga Hadi magari na bado hawapendwi, wanawake unawaonaje onaje mkuu 🤣😁 mjingamimi
 
Wanawake wanajua sifa yetu ni kuprovide ndo maana ukionesha interest nao lazima watakuomba tu.

Alafu sie wanaume wa kibongo tupunguzeni malalamiko, wanawake wanaomba pesa ndogo ndogo sana ambazo tunapoanzisha hadi mada za kulalamika tunajitia aibu sana.
Kuna baadhi ya wanaume na wanawake wanasema kuwa "mdada akikuomba hela mda mfupi baada ya wewe kumtongoza, hiyo inamaanisha kuwa hakupendi" hili unalizungumziaje?

Pesa ndogo wanazoomba kama kweli ni ndogo na sio za kuzipa uzito, kwanini wanaziomba? Mwanaume ukizitoa hizo pesa, kwenye hayo mahusiano wewe mwanaume unafaidika na nini au unatarajia kufaidika na nini? Mr. Sound
 
Leo weekend hapo msg imetumwa kwa malofa kama 10. Hakosi maboya 5 yatatuma japo elfu 10 , 5, elfu 20.
Jioni yuko Bar anakula Bata huku akijidai yuko NGO inalipa vizuri
Si bora akae baa anakula bata,😁 wadada wajanja wakipata hela za maboya wanaongeza zao wananunua kiwanja na wanaanza ujenzi, wengine hadi magari wananunua, mwanaume ulietoa hela unaishia kupauka kwa jua na vumbi Bush Dokta
 
Kuna baadhi ya wanaume na wanawake wanasema kuwa "mdada akikuomba hela mda mfupi baada ya wewe kumtongoza, hiyo inamaanisha kuwa hakupendi" hili unalizungumziaje?

Pesa ndogo wanazoomba kama kweli ni ndogo na sio za kuzipa uzito, kwanini wanaziomba? Mwanaume ukizitoa hizo pesa, kwenye hayo mahusiano wewe mwanaume unafaidika na nini au unatarajia kufaidika na nini? Mr. Sound
Kwa dunia ya sasa kuombwa pesa mapema, direct haiwezi kua justification ya kua hupendwi.

kumhudumia mwanamke alie chini yako kwa malengo ya mahusiano/ndoa ni jambo la kawaida.
 
Back
Top Bottom