Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

Tena mademu choka mbaya ndo wanavizinga kweli na K zao ni biashara demu anayejielewa K anatoa Kwa upendo tu
Hamna kitu kama hicho miaka hii upendo anatoa Kwa baba yake sio wewe yaani uwe choka mbaya akupende miaka hii sahau kiufupi mwanaume ukiwa choka mbaya ni mzigo Kwa mwanamke na mwanamke hawezi beba mzigo vinginevyo ni kujifariji tu kwakua ni masikini
 
Hamna kitu kama hicho miaka hii upendo anatoa Kwa baba yake sio wewe yaani uwe choka mbaya akupende miaka hii sahau kiufupi mwanaume ukiwa choka mbaya ni mzigo Kwa mwanamke na mwanamke hawezi beba mzigo
Kuna tofauti kubwa ya kuwa na kipato na kuwa buzi wewe unazingumzia kuchunwa harafu wakati unaongea hayo Kuna mme na mke wametandika godoro chini maisha yanaendelea
 
Kuna tofauti kubwa ya kuwa na kipato na kuwa buzi wewe unazingumzia kuchunwa harafu wakati unaongea hayo Kuna mme na mke wametandika godoro chini maisha yanaendelea
Endelea kujifariji mzee hela ndio Kila kitu ufukura hauna tuzo ukiwa huna pesa utagongewa huku unaona na la kufanya huna mifano ipo mingi sana tena mme anajua kabisa jamaa anagonga mkewe kisa pesa
 
Mwanamke kaumbwa kuhudumiwa na kulindwa unatakiwa kuwa proud kukidhi haja zake sio kulialia
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Naona mmoja hapo anakuelekeza na mtandao wa kumtumia, mshenzi sana huyo dada 😡😡
 
Endelea kujifariji mzee hela ndio Kila kitu ufukura hauna tuzo ukiwa huna pesa utagongewa huku unaona na la kufanya huna mifano ipo mingi sana tena mme anajua kabisa jamaa anagonga mkewe kisa pesa
Watu wasio na pesa za kutosha wanaongoza kuhonga ili wajitutumue waonekane wanazo
 
Endelea kujifariji mzee hela ndio Kila kitu ufukura hauna tuzo ukiwa huna pesa utagongewa huku unaona na la kufanya huna mifano ipo mingi sana tena mme anajua kabisa jamaa anagonga mkewe kisa pesa
Mimi sijifariji kwasabab kipato Cha uhakika ninacho huyo mwanamke anayegongwa ili apate pesa ni Malaya mbona wapo wengi kwenye madanguro?
 
Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Naomba alf amsini, Eve from Zambia
 
uzuri mnalalamika tu,lakini hamjawahi acha kutupatia vibunda😌
 
Mimi sijifariji kwasabab kipato Cha uhakika ninacho huyo mwanamke anayegongwa ili apate pesa ni Malaya mbona wapo wengi kwenye madanguro?
We huna kipato Cha uhakika bhana mwenye kitu hawezi kuongea pole sana Mimi mambo ya kujifariji miaka hii Sina Sababu nimeshahudia mengi kwenye hii dunia Kwa huu umri wangu kama bado unafikra za KUPENDWA miaka hii tena dume pole sana tena sanaaa unapoteza mda
 
We huna kitu bhana mwenye kitu hawezi kuongea pole sana Mimi mambo ya kujifariji miaka hii Sina Sababu nimeshahudia mengi kwenye hii dunia Kwa huu umri wangu kama bado unafikra za KUPENDWA miaka hii tena dume pole sana tena sanaaa unapoteza mda
Wewe ndo utakuwa huna na kitu maana masikini ndo wanaongoza kwa kutafuta sifa Kwa wanawake ili kuficha inferiority complex
 
Wewe ndo utakuwa huna na kitu maana masikini ndo wanaongoza kwa kutafuta sifa Kwa wanawake ili kuficha inferiority complex
Sawa naomba nionyeshe hata kiwango Cha pesa kama hichi changu tu Ili nijue unayoongea ni kweli pesa unazo
 

Attachments

  • Screenshot_20241013-142356.jpg
    Screenshot_20241013-142356.jpg
    107.2 KB · Views: 2
Hiyo million 10 kwako wewe ndo Hela ya maana?😂😂😂😂😂😂 Young unachekesha sana
Ndio maana nikasema onyesha hata hiyo sio kelele nyingi fanya vitendo kama Mimi nilovyofanya si umeniita masikini Nina. Njaa haya onyesha hata hiyo wewe mwenye hela
 
Ndio maana nikasema onyesha hata hiyo sio kelele nyingi fanya vitendo kama Mimi nilovyofanya si umeniita masikini Nina. Njaa haya onyesha hata hiyo wewe mwenye hela
Siwezi battle na mtu ana tumillion kumi kwenye kibubu siku ukiwaunaingiza kama hizo Kwa mwezi nitafute tubattle
 
Back
Top Bottom