mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mwanamke ni ngumu kupenda.Hela ya mwanamke inaweza kuwa ya wote kama mnapendana na kakupenda kweli ila kama hakupendi jiandae kuwa buzi na ukifulia anakuacha au anakudharau waziwazi
Unao wangapi
Huenda hiyo tabia ni kipimo kutaka kujua unawathamini? Wana mashaka wanafanya utafiti hapo
Leo weekend hapo msg imetumwa kwa malofa kama 10. Hakosi maboya 5 yatatuma japo elfu 10 , 5, elfu 20.Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Huyohuyo anayeangalia maslahi kwako Kuna mtu anayempenda ila sio weweMwanamke ni ngumu kupenda.
yeye anaangalia maslahi.mpaka umpate anayekupenda ni kazi.
Upo sahihi mkuu asipokuelewa hapa basi ni mbishi by natureHuyohuyo anayeangalia maslahi kwako Kuna mtu anayempenda ila sio wewe
Mwanamke akikupenda haangalii maslahi hawezi kukuomba ovyo ovyo na hata huyo unayemuona ni omba omba akiwa kwa mwanaume mwingine humkuti akiombaomba cos yupo na anayempendaMwanamke ni ngumu kupenda.
yeye anaangalia maslahi.mpaka umpate anayekupenda ni kazi.
Mwanamke akikupenda pesa huwa sio issue sana kwanza wanawake wanapenda sana kusex na wanaume wenye hisia nao Sasa mwanamke hakutaki anaangalia maslahi Sasa utaenjoy vipi sxUpo sahihi mkuu asipokuelewa hapa basi ni mbishi by nature
Wewe una nyota ya kuwa masikini! Jitathimini! Mimi siombwagi hela! Najiongezaga tu mimi mwenyewe ili kulinda hadhi ya uanaume wangu!Wakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
πππ Inaweza kuwa kweli NGO inamlipa vzr ila hatak kutumia hela yake,so anatumia gear ya kuomba hela ndogo kwa wanaume wengi.Leo weekend hapo msg imetumwa kwa malofa kama 10. Hakosi maboya 5 yatatuma japo elfu 10 , 5, elfu 20.
Jioni yuko Bar anakula Bata huku akijidai yuko NGO inalipa vizuri
na hao maboya kama wa 5 huwa wanapiga kwa wakati tofauti;Leo weekend hapo msg imetumwa kwa malofa kama 10. Hakosi maboya 5 yatatuma japo elfu 10 , 5, elfu 20.
Jioni yuko Bar anakula Bata huku akijidai yuko NGO inalipa vizuri
Maamuzi mazuriSasa chief,kama huna pesa unaweka number za wanawake kwenye phone book yako za kazi gani?
Binafsi baada ya kufulia nilifuta na kublock number za wanawake wote kwenye simu yangu,nikabakiza za ndugu zangu tu.
Huyo atakuwa zuzu, acha ahonge gari halafu demu Huyo huyo sisi tutamkula kwa kumletea ice cream.Nyie ndio mnaharibunsoko na kuwapa mabichwa hawa warembo watuombe mihela mingi...so buku kumi ndogo kweli jamani...mbona hela nyingi sana hiyo
Zetu ni zetu na zao ni zetu hapo lazima tuombe tu hakuna namnaWakuu
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
Ugonge demu Kwa ice cream miaka hii unaota wewe labda choka mbaya wenzio ila sio demu anaejielewa endelea kujifarijiHuyo atakuwa zuzu, acha ahonge gari halafu demu Huyo huyo sisi tutamkula kwa kumletea ice cream.
sasa mpaka akupende leo?Mwanamke akikupenda haangalii maslahi hawezi kukuomba ovyo ovyo na hata huyo unayemuona ni omba omba akiwa kwa mwanaume mwingine humkuti akiombaomba cos yupo na anayempenda
Tena mademu choka mbaya ndo wanavizinga kweli na K zao ni biashara demu anayejielewa K anatoa Kwa upendo tuUgonge demu Kwa ice cream miaka hii unaota wewe labda choka mbaya wenzio ioa sio demu anaejielewa endelea kujifariji