Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Uko kiprovide kuna terms and conditions mzee baba sio unaprovide tu kwa sababu wewe mwanaume na yeye mwanamke.Wanawake wanajua sifa yetu ni kuprovide ndo maana ukionesha interest nao lazima watakuomba tu.
Alafu sie wanaume wa kibongo tupunguzeni malalamiko, wanawake wanaomba pesa ndogo ndogo sana ambazo tunapoanzisha hadi mada za kulalamika tunajitia aibu sana.
Najua ninachokiandika fikiria zaidi ya mara moja utaelewa kama hujafikiria huwezi kuelewa kabisaaaMkuu hivi umeelewa ulichokiandika?
Hasira za nini bibie?umesoma heading vizuri kweli?Na wewe mleta mada mpumbavu tu kama wapumbavu wengine ungesema baadhi ya wanawake wa Tanzania lakini kusema wanawake wa Tanzania uliwafanyia utafiti wote mamilioni yote ya wanawake wote Tanzania nzima bwege wewe na lofa mkubwa.
Ulipita nchi nzima,mijiji na vijini vyote na nyumba zote na kuwaangalia wanawake wote hiyo tabia kama wote wanayo wanawake wote akiwemo mama yako mzazi aliyekuzaa kuthibitisha kuwa na yeye ana hiyo tabia?
Iko hivi kisa nina namba yako ndo uanze kunipiga vizinga hapo utanisamehe kwa kweli kwa sababu huna faida kwangu..................Mkuu hivi umeelewa ulichokiandika?
Maandishi hayajawahi kuwa pesa hata siku Moja najua umasikini unakusumbuaSiwezi battle na mtu ana tumillion kumi kwenye kibubu siku ukiwaunaingiza kama hizo Kwa mwezi nitafute tubattle
Wadangaji watakuja kukuambia "Mwanaume kazi yake kuhudumia"Wakuu,
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
View attachment 3123227View attachment 3123229
Wewe ndo unasumbuliwa na umasikini Kwa kuona million 10 tena za madafu ni utajiriMaandishi hayajawahi kuwa pesa hata siku Moja najua umasikini unakusumbua
Narudia tena umasikini unakusumbua najua maisha yamekupiga huna hata laki 1 kwenye account masikini mnashida sana,🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ndo unasumbuliwa na umasikini Kwa kuona million 10 tena za madafu ni utajiri
Wapo ambao tumependwa kwa muda mfupisasa mpaka akupende leo?
Yaani dume kabisa unasema umependwa Kwa muda mfupi yaani unaringa kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wapo ambao tumependwa kwa muda mfupi
Sasa unataka nisemeje demu anakutoa out, anakuomba hela mpaka akiwa na shida haswa, anakutii ukimwambia aje ghetto atakuja hata kama anaumwa, anakuheshimuYaani dume kabisa unasema umependwa Kwa muda mfupi yaani unaringa kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna kitu hapaSasa unataka nisemeje demu anakutoa out, anakuomba hela mpaka akiwa na shida haswa, anakutii ukimwambia aje ghetto atakuja hata kama anaumwa, anakuheshimu
Hamna kitu kwa maana ipi yaani au unahisi anaigiza?Hamna kitu hapa
Siku njemaHamna kitu kwa maana ipi yaani au unahisi anaigiza?
Women are natural receiver and men are natural givers.Wakuu,
Kuna hii tabia ya hawa wanawake wa hapa kwetu Tanzania kupenda kuomba omba sana.
Mfano nimeamka tu asubuhi ya leo nimekutana na vijimeseji vya kuombwa mara elfu 15 mara elfu 10,na cha kushangaza hao wanaonipiga vizinga wako poa tu kiuchumi mmoja ni banker na mwingine yuko kwenye NGO moja ya kimataifa.
Hivi kuomba omba ni sifa kwa wanawake wa Tanzania?
View attachment 3123227View attachment 3123229