Kwanini baadhi ya wanawake wa Tanzania ni omba omba sana hata kama uwezo wa kifedha wanao?

Uko kiprovide kuna terms and conditions mzee baba sio unaprovide tu kwa sababu wewe mwanaume na yeye mwanamke.

Kaa kitaalamu mjini hapa, utaishia kuwajengea nyumba wanawake wakati wewe umepanga.
 
Mkuu hivi umeelewa ulichokiandika?
Najua ninachokiandika fikiria zaidi ya mara moja utaelewa kama hujafikiria huwezi kuelewa kabisaaa

Nb; maandishi yangu ni kama mistari ya bible bila kutafakari huwezi kuelewa
 
Hasira za nini bibie?umesoma heading vizuri kweli?
 
Mkuu hivi umeelewa ulichokiandika?
Iko hivi kisa nina namba yako ndo uanze kunipiga vizinga hapo utanisamehe kwa kweli kwa sababu huna faida kwangu..................

Na pia iko hivi 99% ya wanaume wanaojiweza wakimuona mwanamke anateseka watamsaidia

Lakini 99% ya wanawake wanaojiweza wakimuona mwanaume anateseka hawawezi kumsaidia

Ni bora nikamsaidia mwanaume mwenzangu ambaye kesho yake atakuja kunishukuru lakini sio mwanamke asiye mama yangu ambaye ukimsaidia atakuja kukudharau mbeleni(ijapokuwa sio wote)
Naongea hivo kwa sababu yameshawahi kunikutaa nadhani umenielewa dada Shadeeya
Over...........
 
Mungu mwenyewe alijua Adam hatoweza kutumia pekeake ndio akamletea hawa amsaidie kwenye kutumia.
Acheni ubahili, tupeni mahela hayo 😄😆
 
Wadangaji watakuja kukuambia "Mwanaume kazi yake kuhudumia"
 
Wewe ndo unasumbuliwa na umasikini Kwa kuona million 10 tena za madafu ni utajiri
Narudia tena umasikini unakusumbua najua maisha yamekupiga huna hata laki 1 kwenye account masikini mnashida sana,🤣🤣🤣🤣🤣
 
Moja tafuta anayekupanda au size yako
2. Njia rahisi ya kumnyima ni kumwambia aifuate
Wanawake karibia wote wanauza, wengine ni direct, wengine ni kwa gia kukwambia ukipenda kigharamie (indirect)
Maamuzi ni yako
 
Yaani dume kabisa unasema umependwa Kwa muda mfupi yaani unaringa kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa unataka nisemeje demu anakutoa out, anakuomba hela mpaka akiwa na shida haswa, anakutii ukimwambia aje ghetto atakuja hata kama anaumwa, anakuheshimu
 
Pole sn mkuu,

Naomba namba za hao wanawake niwapigie simu niwakanye .

Kwa kweli sio tabia nzr.
 
Women are natural receiver and men are natural givers.
Men are logical thinker and women are emotional feeler.

Kuna demu mmoja nakumbuka tulienda mbeya kwenye semina fulani nilipofika kule kuna mshikaji alikutana na pisi kali ila alikuwa analala nayo chumba kimoja kwa wiki nzima licha ya kila mtu kupewa per diem yake ila kulipia room tu aliliwa kimasikhara mwanamke hata afanye kazi huwezi ona hela yake waulize walio oa wafanyakazi tena wana njaa kuliko hata wanawake wanaokaa nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…