Huamini katika Mungu, why ujishughulishe kuyajua makuu ya Mungu na namna anavyofanya kazi.Sweden ni kati ya taifa lenye wetu walio fanikiwa mno na 80% hawaamini habari za Mungu.
Ukijua namma ubongo unavyo fanya kazi wala hilo halikupi shida .Mkuu hapo nadhani unamaanisha kusali/kuswali!
Sala/Swala ni amri, Sala/Swala ni tamko. Ila hadi utie nia. UkiSali/Swali kawaida hutoboi. Ili usali/swali ni lazima uwe na andalio kiroho.
Kuna kipindi nilikuwa nalala pasipo kusali/swali, nilikuwa naota vitu vya ajabu ajabu. Mara vinakuja vitu kunikaba usiku. Nilipoanza kusali, wakati mwingine naamka usiku wa manane nasikia vitu vinakimbia ukutani vinaenda chooni. Toka nilipoanza kusali before sijalala ni usingizi mororo..
Kabisa mkuu. π€Ukijua namma ubongo unavyo fanya kazi wala hilo halikupi shida .
Good..mengine kubaliana nao tu wala hakuna ulazima kutumia nguvu kuwaaminisha..Kabisa mkuu. π€
hakika usipuuze maombi kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETIBado maombi yana nguvu. Puuza wanaopuuza maombi.
Maombi Yanaweza kugeuza maamuzi ya Serikali na viongozi wakubwa wa nchi. Mfalme wa Iran Koreshi, Altashasta na Dario walijikuta wanaendeshwa na maombi ya wakina Danieli, Nehemia, Ezra licha ya ukatili wao.
Maombi yalimtoa Petro Gerezani.
Maombi yalizuia mvua miaka 3, na kuileta kwa neno la Eliya.
Maombi yalimfanya mtu mmoja Ibrahim aishi kama jeshi, na hakuna aliyemuweza.
Maombi yalimfanya Yakobo apite katikati ya maadui zake bila kuguswa.
Maombi yanaangusha ngome
Maombi yana nguvu ya kupasua bahari.
Maombi maombi maombi
Usipuuze maombi.
Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi
Sweden ndio nchi inayoongoza duniani kwa vifo vinavyotokana na kansa na circulatory system duniani. Maendeleo maana yako ni niniSweden ni kati ya taifa lenye wetu walio fanikiwa mno na 80% hawaamini habari za Mungu.
kuweka pesa kwenye mifuko iliyotoboka.Sweden ndio nchi inayoongoza duniani kwa kansa na ba circulatory system duniani. Maendeleo maana yako ni nini
.
Hao hawajaendelea wanamuhitaji Mungu sema viburi tu.
Kansaπ€£π€£ inahusiano gani na kuomba?Sweden ndio nchi inayoongoza duniani kwa kansa na ba circulatory system duniani. Maendeleo maana yako ni nini
.
Hao hawajaendelea wanamuhitaji Mungu sema viburi tu.
Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.Kansaπ€£π€£ inahusiano gani na kuomba?
π€ππΎGood..mengine kubaliana nao tu wala hakuna ulazima kutumia nguvu kuwaaminisha..
Aminahakika usipuuze maombi kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI
Unafahamu nchi ya sweeden Norway dernmark ni kati ya nchi duniani watu wanaishi umri mrefu na ni nchi hawaamini habari za Mungu?Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.
Kwa hiyo nao bado wanatakiwa kuomba ili Mungu awape akili ya kuendelea nyuzi 360. Kumkataa Mungu kwao ni kiburi tu nq kufungwa
UNabii ulimtaja kama mnazorayo kwa maana ya kuwa mzaliwa wa Nazareth. And this will never change chief mkuu, nguvu ya jina lake bado ipo pale paleAmina
Ingawa Yesu sasa hivi hayuko Nazareth Yuko mbinguni. Tukisema kwa jina la Yesu aliyehai mbinguni inakuwa na nguvu zaidi. Maana adui hataki Yesu asemwe kwa utukufu alionao sasa.
we acknowledge Nazareth because of his dignityAmina
Ingawa Yesu sasa hivi hayuko Nazareth Yuko mbinguni. Tukisema kwa jina la Yesu aliyehai mbinguni inakuwa na nguvu zaidi. Maana adui hataki Yesu asemwe kwa utukufu alionao sasa.
Jibu rahisi sana hata yule Kiboko ya wachawi, alisha fanya miujiza mingi tu, ila muda ukatoa majibu mazuriCz am in.. and u dint know that cz u r out.
Ahahahah.Jibu rahisi sana hata yule Kiboko ya wachawi, alisha fanya miujiza mingi tu, ila muda ukatoa majibu mazuri
sasa ugonjwa unachagua mtu?Papa mwenyewe alipigwa na Korona π, nani hapa duniani hajawai kuumwa maisha yake yote?Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.
Kwa hiyo nao bado wanatakiwa kuomba ili Mungu awape akili ya kuendelea nyuzi 360. Kumkataa Mungu kwao ni kiburi tu nq kufungwa
Nimekupa mfano kwasababu nimekuuliza wewe unajuaje hizo nguvu za huyo mtumishi alieponya kiziwi ni za Mungu au kitu kingine? jibu lako ndio likafanya nikupe huo mfano maana limekaa kisaniiAhahahah.
Sasa mbona unajichanganya..
Huamin miujiza ahalaf unasema alifanya miujiza.
By the way yule na wewe hamko mbali mbali sana kwa habar ya kumjua Mungu.
Yule ni tapel ambaye watu kama wale ndio wamewavunja moyo watu kama ninyi na kufanya mumchukie Mungu.Kwasababu sio watu wa Mungu na wala Mungu hawatumii wale.. na wao wala sio wa kwanza.