Kwanini bado usipuuze Maombi?

Kwanini bado usipuuze Maombi?

Mkuu hapo nadhani unamaanisha kusali/kuswali!

Sala/Swala ni amri, Sala/Swala ni tamko. Ila hadi utie nia. UkiSali/Swali kawaida hutoboi. Ili usali/swali ni lazima uwe na andalio kiroho.

Kuna kipindi nilikuwa nalala pasipo kusali/swali, nilikuwa naota vitu vya ajabu ajabu. Mara vinakuja vitu kunikaba usiku. Nilipoanza kusali, wakati mwingine naamka usiku wa manane nasikia vitu vinakimbia ukutani vinaenda chooni. Toka nilipoanza kusali before sijalala ni usingizi mororo..
 
Mkuu hapo nadhani unamaanisha kusali/kuswali!

Sala/Swala ni amri, Sala/Swala ni tamko. Ila hadi utie nia. UkiSali/Swali kawaida hutoboi. Ili usali/swali ni lazima uwe na andalio kiroho.

Kuna kipindi nilikuwa nalala pasipo kusali/swali, nilikuwa naota vitu vya ajabu ajabu. Mara vinakuja vitu kunikaba usiku. Nilipoanza kusali, wakati mwingine naamka usiku wa manane nasikia vitu vinakimbia ukutani vinaenda chooni. Toka nilipoanza kusali before sijalala ni usingizi mororo..
Ukijua namma ubongo unavyo fanya kazi wala hilo halikupi shida .
 
Bado maombi yana nguvu. Puuza wanaopuuza maombi.

Maombi Yanaweza kugeuza maamuzi ya Serikali na viongozi wakubwa wa nchi. Mfalme wa Iran Koreshi, Altashasta na Dario walijikuta wanaendeshwa na maombi ya wakina Danieli, Nehemia, Ezra licha ya ukatili wao.

Maombi yalimtoa Petro Gerezani.

Maombi yalizuia mvua miaka 3, na kuileta kwa neno la Eliya.

Maombi yalimfanya mtu mmoja Ibrahim aishi kama jeshi, na hakuna aliyemuweza.

Maombi yalimfanya Yakobo apite katikati ya maadui zake bila kuguswa.

Maombi yanaangusha ngome

Maombi yana nguvu ya kupasua bahari.


Maombi maombi maombi

Usipuuze maombi.


Ni hayo tu

Mtumishi Matunduizi
hakika usipuuze maombi kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI
 
Kuna kitu tunakosea.
Maombi hayana nguvu bali Mungu anayejibu maombi ndiye mwenye nguvu.
That's why mwombaji yeyote asipokuwa karibu na mjibu maombi hakuna kitakachofanyika.
Ni wakati sasa tuache kutukuza maombi.
Mungu ndiye mwenye nguvu.
Maombi hayana nguvu
 
Kansa🤣🤣 inahusiano gani na kuomba?
Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.
Kwa hiyo nao bado wanatakiwa kuomba ili Mungu awape akili ya kuendelea nyuzi 360. Kumkataa Mungu kwao ni kiburi tu nq kufungwa
 
hakika usipuuze maombi kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI
Amina
Ingawa Yesu sasa hivi hayuko Nazareth Yuko mbinguni. Tukisema kwa jina la Yesu aliyehai mbinguni inakuwa na nguvu zaidi. Maana adui hataki Yesu asemwe kwa utukufu alionao sasa.
 
Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.
Kwa hiyo nao bado wanatakiwa kuomba ili Mungu awape akili ya kuendelea nyuzi 360. Kumkataa Mungu kwao ni kiburi tu nq kufungwa
Unafahamu nchi ya sweeden Norway dernmark ni kati ya nchi duniani watu wanaishi umri mrefu na ni nchi hawaamini habari za Mungu?
 
Amina
Ingawa Yesu sasa hivi hayuko Nazareth Yuko mbinguni. Tukisema kwa jina la Yesu aliyehai mbinguni inakuwa na nguvu zaidi. Maana adui hataki Yesu asemwe kwa utukufu alionao sasa.
UNabii ulimtaja kama mnazorayo kwa maana ya kuwa mzaliwa wa Nazareth. And this will never change chief mkuu, nguvu ya jina lake bado ipo pale pale
 
Jibu rahisi sana hata yule Kiboko ya wachawi, alisha fanya miujiza mingi tu, ila muda ukatoa majibu mazuri
Ahahahah.
Sasa mbona unajichanganya..
Huamin miujiza ahalaf unasema alifanya miujiza.
By the way yule na wewe hamko mbali mbali sana kwa habar ya kumjua Mungu.

Yule ni tapel ambaye watu kama wale ndio wamewavunja moyo watu kama ninyi na kufanya mumchukie Mungu.Kwasababu sio watu wa Mungu na wala Mungu hawatumii wale.. na wao wala sio wa kwanza.
 
Kansa ni magonjwa. Huwezi kusema umeendelea kama ni mgonjwa. Huwezi kusema unaamani kama ni mgonjwa.
Kwa hiyo nao bado wanatakiwa kuomba ili Mungu awape akili ya kuendelea nyuzi 360. Kumkataa Mungu kwao ni kiburi tu nq kufungwa
sasa ugonjwa unachagua mtu?Papa mwenyewe alipigwa na Korona 😂, nani hapa duniani hajawai kuumwa maisha yake yote?
 
Ahahahah.
Sasa mbona unajichanganya..
Huamin miujiza ahalaf unasema alifanya miujiza.
By the way yule na wewe hamko mbali mbali sana kwa habar ya kumjua Mungu.

Yule ni tapel ambaye watu kama wale ndio wamewavunja moyo watu kama ninyi na kufanya mumchukie Mungu.Kwasababu sio watu wa Mungu na wala Mungu hawatumii wale.. na wao wala sio wa kwanza.
Nimekupa mfano kwasababu nimekuuliza wewe unajuaje hizo nguvu za huyo mtumishi alieponya kiziwi ni za Mungu au kitu kingine? jibu lako ndio likafanya nikupe huo mfano maana limekaa kisanii
 
Back
Top Bottom