Midas Touch
Senior Member
- Jan 23, 2008
- 188
- 200
Wiki ilopita Mh. Balozi alifukuzwa kazi tena akiwa nje ya nchi baada ya "Kuvimba kichwa" hadi akenda kewa yule Mzee wa White House na akapiga dina bila ruhusa na hata taarifa kwa boss wake.
Maswali sasa:
1) yuko wapi yuye Mh Balozi kwa sasa?
2) Mh Balozi aligoma/aliogopa kurudi Tz?
3) Mh Balozi alikwishakabidhi ofisi kwa Mh. Tax
4) Mh Balozi alipata wapi guts hadi akatinga Ikulu ya WH bila ruhusa ya boss?
Maswali sasa:
1) yuko wapi yuye Mh Balozi kwa sasa?
2) Mh Balozi aligoma/aliogopa kurudi Tz?
3) Mh Balozi alikwishakabidhi ofisi kwa Mh. Tax
4) Mh Balozi alipata wapi guts hadi akatinga Ikulu ya WH bila ruhusa ya boss?