Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

dini zimetufunga mno, kila changamoto tunasemaga tumuachie Mungu kisha tunavuta shuka uku tukisubiri Mungu atende miujiza
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Akina NAPE WAPO WACHACHE ILA WAKIONGEZEKA TUTAKUWA LEVEL NA ULAYA FASTA TU😝
 
Sijajua wewe unaona nini mkuu ila kwa mazingira yetu sioni kwamba kuna kingebadilika kwa hata hilo kombe lingefanyika Tanzania.
Tukubaliane tu kuwa tumejirahisisha sana. Yaani tumechagua kuwasindikiza wenzetu maishani.
Na kwa janja zao wanafanikisha nia zao kupitia kwetu!!
 
Mkuu unaongelea Afrika hii hii ambayo mwaka huu watalaam wetu watalaza mabomba ya maji mwaka mmoja baadaye mabomba hayo yatakatwa wakati ujenzi wa barabara unaendelea?
 
Back
Top Bottom