Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Haya huko kwenye ngono tumegundua nini? Hata hizo style za kufanya ngono tunawaiga wazungu, wenzetu wanapiga hela kwa filamu za ngono sasa sisi hiyo ngono tumegundua nini?
Nothing..tupo tupo tu.

Kitu nacho wapendea wazungu ni wapo committed kwa kile wnachokifanya hata kama nijambo la kipuuzi.


#MaendeleoHayanaChama
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Uongozi mbovu,siasa mbaya,ukabila ukabila,udini udini na umaskini wa kuzaliwa nao.
 
Wale Waarabu si wote...
Na hawajachukua Kila kitu kama sisi.
Wana dini yao, wana lugha zao, wana Mila zao, wana mafuta yao.
Sisi tuna nini?
Mwarabu bila mzungu kuweka teknolojia ya kutafuta na kuchimba mafuta hana hela.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu, ukijigundua kwamba una mapungufu Gani tayari umejiby hiyo swali lako.......
He wewe kama mwafrika unajionaje, kwa maana bara LA afrika ni watu siyo kingine..
Mwafrika ni mbinafsi kuliko kiumbe chochote....
Mwafrika ni mzembe kuliko kiumbe chochote.
Mwafrika ni mfitina kuliko kiumbe chochote....,


Malizia mengine uliyo nayo wewe pia
Mimi huwa nasema ukipata chance hizi nchi zetu ni kuondoka tu..kama huwezi basi ondoa kizazi chako.


#MaendeleoHayanaChama
 
Tukiacha kupiga "madili" tunapopewa kazi za serikali, bara letu litaendelea.
 
Hakuna aliyechukua kila kitu hata sisi tuna lugha zetu,tuna mila zetu na tuna zaidi ya mafuta mkuu kushinda hao waarabu wenye mafuta tu.
Je tulizo nazo... tunazithamini na kuzifundisha kwa uwazi au zinatumika kama sehemu ya hofu na distractions??
Tuanze na Lugha tu ya kujifunzia na kufundishia. Ina switch Kila kitu na kutu-program upya kuwaza na kutenda kitumwa tumwa...
Tumekuwa zaidi ya wasindikizaji... Jaribu kufuatilia world cup utaweza kukubaliana na Mimi!
 
Mwarabu bila mzungu kuweka teknolojia ya kutafuta na kuchimba mafuta hana hela.

#MaendeleoHayanaChama
Ndiyo maana nimesema hawajachukua kila kitu.
Au niseme kwenye kuchagua walifanikiwa kuchagua vizuri.
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?

Kwa sababu ya kutawaliwa na viongozi wa kiafrika. Afrika ilitakiwa itawaliwe na wazungu ndio ingepata maendeleo.
 
Kwa sababu ya kutawaliwa na viongozi wa kiafrika. Afrika ilitakiwa itawaliwe na wazungu ndio ingepata maendeleo.
Tatizo la Afrika kimantiki si la viongozi... Tatizo la Afrika ni la waAfrika wenyewe waliokubali kuwa brainwashed na wakoloni.
Kinachotokea sasa hawajui nini wanataka na wapi wanataka in the next so years.
 
Je tulizo nazo... tunazithamini na kuzifundisha kwa uwazi au zinatumika kama sehemu ya hofu na distractions??
Tuanze na Lugha tu ya kujifunzia na kufundishia. Ina switch Kila kitu na kutu-program upya kuwaza na kutenda kitumwa tumwa...
Tumekuwa zaidi ya wasindikizaji... Jaribu kufuatilia world cup utaweza kukubaliana na Mimi!
Worldcup kuna nini? Au unakusudia waarabu kutumia kiarabu chao?
 
Tatizo la Afrika kimantiki si la viongozi... Tatizo la Afrika ni la waAfrika wenyewe waliokubali kuwa brainwashed na wakoloni.
Kinachotokea sasa hawajui nini wanataka na wapi wanataka in the next so years.
Ok, ni kweli tatizo ni mwafrika mwenyewe...Je wewe kama mwafrika unayetambia hiyo umeifanyia Nini nafasi Yako ya uafrika,
Tunapolaaumu uongozi..... Wetu vilevile tuangalie hasili ya huyu mwafrika Toka kwa Babu zetu.....
Sisi ni WABINAFSI /SELFINESS sana....
Tusinge wabinafsi hata Wazungu wasingetutawala kizembe ivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Ndg ridhika tu,umeona jana Rais wa chama cha mpira Camerun ni Samwel Ettoo mchezaji aliyeupiga mwingi mbele anaheshima zake.Hapa kwetu rais wa chama cha soka sijuwi hata kama aliwahi kuwa mchezaji hata wa timu ya Taifa!.
 
Ok, ni kweli tatizo ni mwafrika mwenyewe...Je wewe kama mwafrika unayetambia hiyo umeifanyia Nini nafasi Yako ya uafrika,
Tunapolaaumu uongozi..... Wetu vilevile tuangalie hasili ya huyu mwafrika Toka kwa Babu zetu.....
Sisi ni WABINAFSI /SELFINESS sana....
Tusinge wabinafsi hata Wazungu wasingetutawala kizembe ivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umeanza vizuri alafu ukarudi mle mle yalipo matatizo yetu.
 
Ngono ngono ngono...mawazo yote mmelekeza huko...hakuna mgunduzi (whites) aliyepata kuwa serious na ngono..anzia Kwa Newton mpaka akina da Vinci...hawajawai hata siku Moja kudili na madem
Mbona na Wazee wa Chaputa hapa Bongo hawagundui hata sindano?
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Kama unataka kujilinganisha na wao lazima uwe nyuma. But kama uta set your own standard utaendana na standard zako na utakua ahead ya kila kitu...

Mbona ulalamiki mpo nyuma kwenye upunga?
 
uwezo wetu wa kufikiri na kitatua changamoto uko chini sana.
Kubwa Africa Haina viongozi wazuri,watu weledi hashikishwi katika kutoa weledi wao kwa maendeleo ya nchi zao mbona wako ulaya na wanatoa michango mikubwa huko!, Africa Ina viongozi wengi mafisadi,walarushwa,wanaopendelea,,si wazalendo,wazandiki,Africa Ina watumishi wenye vyeti makaratasi ambao hawana uwezo wa kutafsiri ,mambo mengi Africa ni Siri Siri hata jambo dogo la kawaida utakuta linafanywa na watawala kwa Siri.itoshe kusema si kizazi au vizazi viwili vinavyofuata wataona maendeleo Africa hii,badosana.
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Africa tunaongoza kwa rasilimali, Kama madini, misitu wanyama wa kila Aina ardhi kubwa yenye rutuba ya kutosha. Maziwa mito na bahari. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanahitaji uongozi bora utakaoweza kutumia rasilimali hizi kwa manufaa ya bara la Africa.
 
Back
Top Bottom