Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Siku ukibadili mtazamo wako utaona tuko nyuma kwa sababu unatumia scales za Hao Hao unaoona wanatuzidi.
. Wazungu walikuja wakakuta sisi tuna mila zeru, tuna tamaduni zetu tuna dawa zetu za asili na maisha yanaenda poa kabisa wakatu convince kuwa haya yetu ni ushenzi na ya kwao ndo standard, tukaona hivyo sasa unataka kwenye kuyatekeleza ya kwao tuwashinde, Kweli?

. Wazungu walikuja wakakuta tuna demokrasia zetu na namna yetu ya kutawalana wakaita hii yetu ni ya kishenzi na wakatifundisha mashuleni kuiishi demokrasia yao maana ndo nzuri tukageuka na kujifunza yao, sasa unataka sisi tuliyojifunza na wao ni mtindo wao wa maisha tuwashinde, kweli?

. Wazungu walikuja wakasema lugha yetu ni uzushi na mtu mstaarabu anaongea lugha kama yao tukaamua kujifunza yao, unataka tuwashinde, kweli?

. Hebu chagua kitu kimoja ambacho sisi ni asili yetu na wao wanaiga kutoka kwetu alafu Pima Nani anakifanya kwa weledi zaidi

Mkuu, ni bahati mbaya Sana akili zetu zimefundishwa kufikiri mambo ya wazungu na Wageni ni bora kuliko yetu na yetu ni ya kishenzi. Na bahati mbaya zaidi mnayatumia mambo ya wageni na tamaduni zao kulinganisha aliyeko mbele na aliyeachwa nyuma!
Unafikiri sawa sawa mtu ametoka huko ulaya amekukuta unachezea madini bao unafikiri mko nae sawa

Mtu amekuja amekuchukua na kukuuza unafikiri ulikua naye sawa, mwafrika ni mtu dhaifu kuliko race zote sababu kubwa ni uwezo mdogo wa kutumia akili
 
Ngono ngono ngono...mawazo yote mmelekeza huko...hakuna mgunduzi (whites) aliyepata kuwa serious na ngono..anzia Kwa Newton mpaka akina da Vinci...hawajawai hata siku Moja kudili na madem
Haya huko kwenye ngono tumegundua nini? Hata hizo style za kufanya ngono tunawaiga wazungu, wenzetu wanapiga hela kwa filamu za ngono sasa sisi hiyo ngono tumegundua nini?
 
Haya huko kwenye ngono tumegundua nini? Hata hizo style za kufanya ngono tunawaiga wazungu, wenzetu wanapiga hela kwa filamu za ngono sasa sisi hiyo ngono tumegundua nini?
Ukiangalia porno ya kizungu na za-kiafrika ni mbingu ardhi yaani tumezidiwa kila kitu except kwenye michezo Kuna kaahueni Ila ni kwasababu kule matumizi ya nguvu ni makubwa
 
Why uchukue Cha mtu ukidhani ndiyo chema na kuanza kulaumu motherland yako? Kila mmoja ataishi awwzavyo na usitamani mafanikio ya wengine, any way ngoja nikutie moyo, inawezekana iwapo... -

[emoji116]
1. Africa ingekua moja na si hii mipaka ya tunchi tudogo na masikini kama Burundi

2. Elimu iliyojaa misingi ya kiAfrka

3. Fedha ya pamoja

4. Lugha moja

5. Malengo mamoja mpaka tukae nao mezani wakiomba tufanye nao biashara, yamkini dhahabu, Almasi na mengine, hapa tungekua na timu moja huko Qatar inayotoka nchi ya Africa la yamkini ingesumbua sana.

Labda umeelewa kidogo
Walitugawa"scramble & partition" kuuvunja muungano wetu na kutupoteza hata tusiuelewe.. kisha wakatupa dini yao
 
Ngozi nyeusi tumebarikiwa nguvu za kimwili kuliko race nyingine, ila tumenyimwa akili kuliko race nyingine.
Mambo gani mkuu ambayo yanaonesha kuwa yanahitaji akili na sisi afrika tumenyimwa hizo akili?
 
Siku ukibadili mtazamo wako utaona tuko nyuma kwa sababu unatumia scales za Hao Hao unaoona wanatuzidi.
. Wazungu walikuja wakakuta sisi tuna mila zeru, tuna tamaduni zetu tuna dawa zetu za asili na maisha yanaenda poa kabisa wakatu convince kuwa haya yetu ni ushenzi na ya kwao ndo standard, tukaona hivyo sasa unataka kwenye kuyatekeleza ya kwao tuwashinde, Kweli?

. Wazungu walikuja wakakuta tuna demokrasia zetu na namna yetu ya kutawalana wakaita hii yetu ni ya kishenzi na wakatifundisha mashuleni kuiishi demokrasia yao maana ndo nzuri tukageuka na kujifunza yao, sasa unataka sisi tuliyojifunza na wao ni mtindo wao wa maisha tuwashinde, kweli?

. Wazungu walikuja wakasema lugha yetu ni uzushi na mtu mstaarabu anaongea lugha kama yao tukaamua kujifunza yao, unataka tuwashinde, kweli?

. Hebu chagua kitu kimoja ambacho sisi ni asili yetu na wao wanaiga kutoka kwetu alafu Pima Nani anakifanya kwa weledi zaidi

Mkuu, ni bahati mbaya Sana akili zetu zimefundishwa kufikiri mambo ya wazungu na Wageni ni bora kuliko yetu na yetu ni ya kishenzi. Na bahati mbaya zaidi mnayatumia mambo ya wageni na tamaduni zao kulinganisha aliyeko mbele na aliyeachwa nyuma!
Hata hao wazungu waarabu wachina n.k nao wametoka huko huko mkuu kwenye hayo maisha unayoyazungumzia, haturudi nyuma tunasonga mbele.
 
Muvi inaanza kwa kuonesha kuwa Africa ni bara lenye watu wenye nguvu ya mwili na akili kubuni tecnolojia mbalimbali.
Sasa si Wazungu wakaamua kupindua meza. Walifanyeje? ELIMU - wakaweka falsafa zao kwenye elimu. Miafrica ikalazimika kusoma madude magumu na kufanya mitihani isiyo na uhalisia kwenye maisha yao.
Mzungu akafanikiwa kuframe agenda zake zilizobadilisha fikra za miafrica!
Miafrica bila kocha wa kizungu imani yao inashuka sana!
Miafrica bila madawa na tiba za kizungu maisha yanakuwa mashakani.
Miafrica inajiona ipo juu ya fahari zote pale inapotumia vitu vya nje ya Africa.
Miafrica imekuwa brainwashed mbingu wakisikia wanawaza inaweza kuwa sawa au zaidi ya miji ya wazungu!
 
Ngono ngono ngono...mawazo yote mmelekeza huko...hakuna mgunduzi (whites) aliyepata kuwa serious na ngono..anzia Kwa Newton mpaka akina da Vinci...hawajawai hata siku Moja kudili na madem
Acha ujinga na kuendeshwa na uongo, hao watu weupe ndio wapenda ngono kulko mtu mweusi, ni vile wao hawapendi kuzaa, lkn ngono wako vizur, na hao wanasayansi wako unaowaongelea hapo baadhi yao sio hawakupenda ngono, bali walkuwa mashoga.

Na hata hizo gunduzi zao walifanya kucopy na kupaste, walicopy nadharia za sayansi ya kale, ambayo ilibase kwenye masomo ya waKemet(misri).

Mmedanganywa na nyie mnakubali kudanganyika.

Dunia bila afrika haiwezekani kuwepo, bali afrika bila nchi zingine inawezekana kuwepo.

Afrika kinachoikwamisha ni athari za ukoloni, ukoloni mamboleo, kusahau mila na desturi za kiafrika, na mwisho kabisa ni hili la kumuacha Muumba wenu na kuzikumbatia imani na dini haramu za watu weupe, kwa hili tusitegemee kama afrika itakuja kuinuka, mpaka turudi ktk asili ya mababu zetu mafalao mlioaminishwa walikuwa wabaya na hizo dini zenu za kishenzi
 
Habari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Labda mzee wetu nuhu aĺichukulia serious sana suala la mwanae kumchungulia. Baba etu Ham alituponza sanaa aseeh
 
Akili, akili mtu wangu.

Wenzetu wakifanya jambo wanafanya serious, hata kwenye upumbavu wanawekeza nguvu zote. Njoo kwetu sasa, shule inajengwa baada ya mwaka sakafu za madarasa zinabomoka.
 
Akili, akili mtu wangu.

Wenzetu wakifanya jambo wanafanya serious, hata kwenye upumbavu wanawekeza nguvu zote. Njoo kwetu sasa, shule inajengwa baada ya mwaka sakafu za madarasa zinabomoka.
Madarasa menyewe ukiyacheki ni kama box tu! Lina pembe nne ubora wa kuta na miundombinu mingine zero!
 
Muvi inaanza kwa kuonesha kuwa Africa ni bara lenye watu wenye nguvu ya mwili na akili kubuni tecnolojia mbalimbali.
Sasa si Wazungu wakaamua kupindua meza. Walifanyeje? ELIMU - wakaweka falsafa zao kwenye elimu. Miafrica ikalazimika kusoma madude magumu na kufanya mitihani isiyo na uhalisia kwenye maisha yao.
Mzungu akafanikiwa kuframe agenda zake zilizobadilisha fikra za miafrica!
Miafrica bila kocha wa kizungu imani yao inashuka sana!
Miafrica bila madawa na tiba za kizungu maisha yanakuwa mashakani.
Miafrica inajiona ipo juu ya fahari zote pale inapotumia vitu vya nje ya Africa.
Miafrica imekuwa brainwashed mbingu wakisikia wanawaza inaweza kuwa sawa au zaidi ya miji ya wazungu!
Mkuu mbona hata waarabu wametuzidi na wakati wamefuata mambo hayo ya kizungu unayosema kama elimu tiba za kizungu na hutumia teknolijia za wazungu ila mbona wenzetu wameweza kufika mbali na kutuacha sisi nyuma?
 
Acha ujinga na kuendeshwa na uongo, hao watu weupe ndio wapenda ngono kulko mtu mweusi, ni vile wao hawapendi kuzaa, lkn ngono wako vizur, na hao wanasayansi wako unaowaongelea hapo baadhi yao sio hawakupenda ngono, bali walkuwa mashoga.

Na hata hizo gunduzi zao walifanya kucopy na kupaste, walicopy nadharia za sayansi ya kale, ambayo ilibase kwenye masomo ya waKemet(misri).

Mmedanganywa na nyie mnakubali kudanganyika.

Dunia bila afrika haiwezekani kuwepo, bali afrika bila nchi zingine inawezekana kuwepo.

Afrika kinachoikwamisha ni athari za ukoloni, ukoloni mamboleo, kusahau mila na desturi za kiafrika, na mwisho kabisa ni hili la kumuacha Muumba wenu na kuzikumbatia imani na dini haramu za watu weupe, kwa hili tusitegemee kama afrika itakuja kuinuka, mpaka turudi ktk asili ya mababu zetu mafalao mlioaminishwa walikuwa wabaya na hizo dini zenu za kishenzi
Hayo masuala ya imani sasa mkuu.
 
Habari gani ndugu wananchi?
Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Mwenye kipele hana ukucha waswahili walisema, mababu zetu walikuwa wanachezea dhahabu bao huko zama za kale
 
Back
Top Bottom