Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

We
Why uchukue Cha mtu ukidhani ndiyo chema na kuanza kulaumu motherland yako? Kila mmoja ataishi awwzavyo na usitamani mafanikio ya wengine, any way ngoja nikutie moyo, inawezekana iwapo... -

[emoji116]
1. Africa ingekua moja na si hii mipaka ya tunchi tudogo na masikini kama Burundi

2. Elimu iliyojaa misingi ya kiAfrka

3. Fedha ya pamoja

4. Lugha moja

5. Malengo mamoja mpaka tukae nao mezani wakiomba tufanye nao biashara, yamkini dhahabu, Almasi na mengine, hapa tungekua na timu moja huko Qatar inayotoka nchi ya Africa la yamkini ingesumbua sana.

Labda umeelewa kidogo

Duh
Ama kweli
mbaazi ishindwapo kuzaa, husingizia jua.
 
Race nyingine ni kama walikua ahead of time wametumanipulate sisi kila kitu misingi yake tumewekewa na wao kwahio hatuwez kutoka kwenye vivuli vyao tukipga hatua 100 wao watakua na 1000
Ulishawai kusoma "how europe underdeveloped africa"?
 
Una Rais bogus kama Sa100 unategemea kutoboa kweli?
 
1. Limechelewa kijitawala.

2. Lipo kwenye mkwamo unaosababishwa na soko huria.
 
Siasa chafu na za kishabiki zisizojali maslahi ya Taifa
Ubinafsi,
Uchawa,
Sera mbovu, both long and short terms
Uongozi wa hovyo uliojaa wizi na rushwa
Mifumo dhaifu ya udhibiti wa pesa za umma
Katiba mbovu zinazozaa sheria kandamizi kwa baadhi ya makundi.
Katiba mbovu zinazowapa watawala mamlaka makubwa ambayo wana ya abuse
Wananchi wengi mambumbubu - awareness ya elimu ya raia ni ndogo sana - hence advantage kwa watawala kufanya wanavyotaka.
 
Siasa chafu na za kishabiki zisizojali maslahi ya Taifa
Ubinafsi,
Uchawa,
Sera mbovu, both long and short terms
Uongozi hovyo uliojaa Wizi na rushwa
Katiba mbovu zinazozaa sheria kandamizi kwa baadhi ya makundi.
Katiba mbovu zinazowapa watawala mamlaka makubwa ambayo wana ya abuse
Wananchi wengi mambumbubu - awareness ya elimu ya raia ni ndogo sana - hence advantage kwa watawala
Points tupu
 
Siasa chafu na za kishabiki zisizojali maslahi ya Taifa
Ubinafsi,
Uchawa,
Sera mbovu, both long and short terms
Uongozi hovyo uliojaa Wizi na rushwa
Katiba mbovu zinazozaa sheria kandamizi kwa baadhi ya makundi.
Katiba mbovu zinazowapa watawala mamlaka makubwa ambayo wana ya abuse
Wananchi wengi mambumbubu - awareness ya elimu ya raia ni ndogo sana - hence advantage kwa watawala
More than fact🙏🙏
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Usiumize kichwa kijana wangu nikwasababu bara hili viongozi hawachaguliwi na wananchi uongozi unatoka kwa mabeberu kwahiyo hufanyakazi kwakuwatumikia wao siowananchi mfano wananchi tumekataa kuiunga mkono chadema Leo wapokwamabeberu kutafuta kuungwa mkono jiulize wakipata madaraka watamtumikia nani?kamasiohao mabeberu
 
Tatizo la Africa tuna idadi nyingi ya watu wapumbavu kama kina Lucas mwashambwa. Huwezi tegemea upate maendeleo kwa kuwa na idadi nyingi ya hawa viumbe
 
Tatizo la Africa tuna idadi nyingi ya watu wapumbavu kama kina Lucas mwashambwa. Huwezi tegemea upate maendeleo kwa kuwa na idadi nyingi ya hawa viumbe
😆😆 Naona unajiona kuwa wewe tu ndio mwenye Akili ukiwa hapo ufipa kwenye kibanda chenu mlichoshindwa hata kukipaka rangi ili kipendeze ,Sasa miaka Zaid ya 30 mmeshindwa kukipaka hata rangi je mngeweza kuijenga nchi yetu na kuipa maendeleo Kama ilivyofanya CCM? Au mngetafuna na kufuja pesa za umma Kama mlivyo ziswaga Ruzuku na michango yote iliyoingia chamani kwenu
 
huwezi ukapewa kila kitu,sie tumepewa vyura(wanawake)na wanaume wamejaaliwa nguvu za kiume akili zero
Tuendelee kubailojiana na kuijaza nchi
 
Tatizo siyo afrika tatizo ni fikra na mtazamo wako.

Tatizo Mnataka Tufanane tufanye kama wao kwani ni lazima

Kwani ni lazima tucheze soka.

Kwani Kupata nafasi ya kujitangaza kimataifa na kuacha alama hapa Duniani lazima. Tufanane na wao.

Tufanye mambo yetu kivyetu .. ova

Neno
 
Ngozi nyeusi tumebarikiwa nguvu za kimwili kuliko race nyingine, ila tumenyimwa akili kuliko race nyingine.

Kabda ni wewe na familia yako ndio mmenimwa akili!
Wazungu wana nguvu kweli kweli!
Na akili Mwenye Enzi Mungu anawaondolea wakati huu walahi kama alivyo ziondoa wakati ule Egyptian!
AFRIKA inaamka sasa hivi maana ni kipindi chetu walahi!
Wewe unaye jiponda ukae hivyo hivyo milele pamoja na kizazi chako walahi!
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Mkoloni mweusi ni hatari na asiejielewa kuliko mkoloni mweupe!!
 
huwezi ukapewa kila kitu,sie tumepewa vyura(wanawake)na wanaume wamejaaliwa nguvu za kiume akili zero
Tuendelee kubailojiana na kuijaza nchi

Ni wewe na familia yako ndio hivyo itakavyo kuwa milele walahi
 
Habari gani ndugu wananchi?

Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar.

Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho kabisa, michezo ndo usiseme, Afya na Miundombinu ni shida tupu.

Shida nini Africa mbona kila siku huwa tunajinadi kuwa Africa tumejaliwa kila kitu na Mungu kwann sisi ndo tunaonekana Ovyo kabisa kwenye kila nyanja ukifananisha na mabala mengine?
Bara la Afrika limekosa uongozi bora wenye maono.
 
Back
Top Bottom