Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
We
Duh
Ama kweli
mbaazi ishindwapo kuzaa, husingizia jua.
Why uchukue Cha mtu ukidhani ndiyo chema na kuanza kulaumu motherland yako? Kila mmoja ataishi awwzavyo na usitamani mafanikio ya wengine, any way ngoja nikutie moyo, inawezekana iwapo... -
[emoji116]
1. Africa ingekua moja na si hii mipaka ya tunchi tudogo na masikini kama Burundi
2. Elimu iliyojaa misingi ya kiAfrka
3. Fedha ya pamoja
4. Lugha moja
5. Malengo mamoja mpaka tukae nao mezani wakiomba tufanye nao biashara, yamkini dhahabu, Almasi na mengine, hapa tungekua na timu moja huko Qatar inayotoka nchi ya Africa la yamkini ingesumbua sana.
Labda umeelewa kidogo
Duh
Ama kweli
mbaazi ishindwapo kuzaa, husingizia jua.