Kwanini Barabara mpya kwa Jiji la Dar es Salaam zinajengwa kwa njia 4?

Wakimaliza tatizo watakula wapi wakati wanawaza kuiba tu,,,ni sawa uende Kwa mganga eti akutibu upone kabisa wakati matatizo yako ndiyo faida yake tuendelee kula mtori nyama ziko chini😜
 
Ujengaji wa miundo mbinu huendana na 40% sasa wakijenga leo barabara zote then baadae 40% watapata wapi?

Kuimba kupokezana acha leo wajenge mbili ikizinduliwa mpige makofi, 40% wale, then baadae mkilia sana itaongezwa moja jumla ziwe tatu then 40% iliwe.

Baadae wanao wakilia then kizazi cha akina Qylallah nacho ndo kitafikisha ya 4 then na 40 na wao watakula🤣😆😂.
 
Haiingii akilini kabisa. Njia 4 tungejenga njia za ndani kubwa kama ilivyo barabara ya Shekilango ila Barabara kubwa zote za Dar es Salaam zitakiwa kuwa njia 6 hadi 8 pamoja na barabara ya mwendokasi katikati.
Yaani nyie watu wa bongo lala mnataka njia sita nane wakati huku kwetu jiji la miamba hata njia mbili tu tia maji tia maji daah 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…